ALAMA ya 666 tuipokee, Itarahisisha mengi. Watu waache kupotosha.


Kifo ni mipango ya UTH 07 hao
 
Shetani ni UTH 07 ambao mnatawala watu wakiwa WATUMWA
Huo Uhuru unaouzungumzia wewe ni Uhuru gani? Mifumo ya kubadilishana fedha iwekwe kwenye miili yenu ilo ni jambo LA kufurahia? Kwani kadi kama ATM zimeshindwa kufanya kazi? Some I maandiko acheni kudanganywa na mashetani mwisho umekalibia
 
Umetumwa na mabeberu?!
 
Huo Uhuru unaouzungumzia wewe ni Uhuru gani? Mifumo ya kubadilishana fedha iwekwe kwenye miili yenu ilo ni jambo LA kufurahia? Kwani kadi kama ATM zimeshindwa kufanya kazi? Some I maandiko acheni kudanganywa na mashetani mwisho umekalibia


Maandiko Yana muda wake, huenda umeisha au upo mbioni Kuisha. Hatuwezi kujidanganya
 
Mkuu ROBERT HERIEL umepewa shilingi ngapi kuja kuwapigia chapuo 666? Hao jamaa kiufupi wanaenda kasi sana ila kwenye negative line.

Wanataka tuhalalishe ndoa za jinsia moja kwa kigezo za uhuru wa watu. Wameshatuaminisha mwanaume na mwanamke haki sawa, mpaka sasa ni chaos.

Mwisho wamehalalisha abortion (kutoa mimba) na mpaka sasa ulaya watu wanaona ni kawaida.

Sasa hivi wapo kwenye projects za kuzalishwa watoto maabara.

Uzazi wa mpango na vita vya kibaolojia, wametuletea UKIMWI ili tusifurahie mema ya nchi.

Lengo lao binadamu wasio na faida (waafrika) wapungue duniani. Wanajiona bora kuliko wengine.

Mpango wa Mungu ni tuzaliane wao wanapinga.

Kama kuna hela umepewa rudisha mkuu hao ndio wanataka kututawala. Lengo la Mungu tuwe huru ila tufuate sheria zake tu.
 
666 ni ishu ya kiroho zaidi na sio kimwili pili imekuwepo tangu enzi za yesu.
666 ni ishu ya mfumo zaidi
 

mkuu wewe upo upande gani?
 
Mpotoshaji analaumu ukweli ulioonwa miaka elfu mbili iliyopita kuwa 'lijalo ni anguko likimbieni' akisahau kuwa uongo hauna vipandio, utakubwaga tu...

yye anazani kwa kuongea hivyo ataonekana genious, na inavyoonesha hamna anachokijua, kamezeshwa stor za kwenye vijiwe kaamua aje kujamba jamba humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…