Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #81
Siku ukipata ukweli wa ufunuo wa Yohana hutarudia kuandika hoyo unayo sema fikra huru sijui mawazo huru na kujigamba wewe ni mwandishi makini. Lilith ameguagiza nini? Tueleze ukweli si kurukaruka.
Kuzaliana bila mpangilio ni kosa kubwa Sana Mana utazaa vibaka na makahaba .Zaa kulingana na uwezo wako wa kiuchumi,Uzae watoto ambao Watakua kimwili kiroho na kiuchumi.Mkuu ROBERT HERIEL umepewa shilingi ngapi kuja kuwapigia chapuo 666? Hao jamaa kiufupi wanaenda kasi sana ila kwenye negative line.
Wanataka tuhalalishe ndoa za jinsia moja kwa kigezo za uhuru wa watu. Wameshatuaminisha mwanaume na mwanamke haki sawa, mpaka sasa ni chaos.
Mwisho wamehalalisha abortion (kutoa mimba) na mpaka sasa ulaya watu wanaona ni kawaida.
Sasa hivi wapo kwenye projects za kuzalishwa watoto maabara.
Uzazi wa mpango na vita vya kibaolojia, wametuletea UKIMWI ili tusifurahie mema ya nchi.
Lengo lao binadamu wasio na faida (waafrika) wapungue duniani. Wanajiona bora kuliko wengine.
Mpango wa Mungu ni tuzaliane wao wanapinga.
Kama kuna hela umepewa rudisha mkuu hao ndio wanataka kututawala. Lengo la Mungu tuwe huru ila tufuate sheria zake tu.
Mshana Jr:Hivi unajua Lucifer na Yesu wote ni watoto wa Mungu?Na ugomvi wao ni swala la urithi?Na baba yao anawapenda wote na ushahidi upo kwenye kisa Cha Nabii Ayubu .Shetani aliongea na Mungu akamluhusu amjalibu kwa hali hiyo hawana ugomvi .Ya kimungu pembe moja ndio inaangalia juu ya satanism pembe mbili ndio zinaangalia juu
Ufafanuzi hapa kwenye nukuuuuuMifumo ya ubadilishano wa Bidhaa, Huduma na Mali utawekwa katika miili yetu.
Upotishaji mkubwa huu. Yesu hana undugu na shetani na wala sio mdogo wa ibirisiMshana Jr:Hivi unajua Lucifer na Yesu wote ni watoto wa Mungu?Na ugomvi wao ni swala la urithi?Na baba yao anawapenda wote na ushahidi upo kwenye kisa Cha Nabii Ayubu .Shetani aliongea na Mungu akamluhusu amjalibu kwa hali hiyo hawana ugomvi .
Ukitaka kuprove hili Jambo kama mtu kashikwa na mapepo ukatumia jina la Mungu kuyakemea mapepo yatoke hayatatoka hadi utumie jina la Yesu.
Kwa hiyo ugomvi wa Yesu na Shetani ni WA ndugu wawili ambao ishu kubwa ni urithi.Shetani ni mkubwa na Yesu ni mdogo kwa uumbaji wao hivo Shetani anapinga mdogo wake kupata haki ya kurithi anaona kwamba haki yake imepokonywa.
Kwa hiyo ugomvi wa Yesu na Shetani ni WA ndugu wawili ambao ishu kubwa ni urithi.Shetani ni mkubwa na Yesu ni mdogo kwa uumbaji wao hivo Shetani anapinga mdogo wake kupata haki ya kurithi anaona kwamba haki yake imepokonywa.[emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827]Duh[emoji1545][emoji1545][emoji1545]Mshana Jr:Hivi unajua Lucifer na Yesu wote ni watoto wa Mungu?Na ugomvi wao ni swala la urithi?Na baba yao anawapenda wote na ushahidi upo kwenye kisa Cha Nabii Ayubu .Shetani aliongea na Mungu akamluhusu amjalibu kwa hali hiyo hawana ugomvi .
Ukitaka kuprove hili Jambo kama mtu kashikwa na mapepo ukatumia jina la Mungu kuyakemea mapepo yatoke hayatatoka hadi utumie jina la Yesu.
Kwa hiyo ugomvi wa Yesu na Shetani ni WA ndugu wawili ambao ishu kubwa ni urithi.Shetani ni mkubwa na Yesu ni mdogo kwa uumbaji wao hivo Shetani anapinga mdogo wake kupata haki ya kurithi anaona kwamba haki yake imepokonywa.
I'd Yako inasanifu akili zako zilivyo ushazeeka wewe huna ulijualo zaidi ya propaganda mlizoaminishwa zama za ujima this is New generation hakuna kitu kinafichwa Kila kitu kipo wazi via technology tatizo watu Kama nyie mmebaki mmekumbatia nadharia uchwara za kianology wakati wenzenu ndio tunaenda kuitengeneza New WorldWewe ndiye maana harisi ya shabiki maandazi
HahahahahaMshana Jr:Hivi unajua Lucifer na Yesu wote ni watoto wa Mungu?Na ugomvi wao ni swala la urithi?Na baba yao anawapenda wote na ushahidi upo kwenye kisa Cha Nabii Ayubu .Shetani aliongea na Mungu akamluhusu amjalibu kwa hali hiyo hawana ugomvi .
Ukitaka kuprove hili Jambo kama mtu kashikwa na mapepo ukatumia jina la Mungu kuyakemea mapepo yatoke hayatatoka hadi utumie jina la Yesu.
Kwa hiyo ugomvi wa Yesu na Shetani ni WA ndugu wawili ambao ishu kubwa ni urithi.Shetani ni mkubwa na Yesu ni mdogo kwa uumbaji wao hivo Shetani anapinga mdogo wake kupata haki ya kurithi anaona kwamba haki yake imepokonywa.
I'd Yako inasanifu akili zako zilivyo ushazeeka wewe huna ulijualo zaidi ya propaganda mlizoaminishwa zama za ujima this is New generation hakuna kitu kinafichwa Kila kitu kipo wazi via technology tatizo watu Kama nyie mmebaki mmekumbatia nadharia uchwara za kianology wakati wenzenu ndio tunaenda kuitengeneza New World
Vizee vibishi Kama nyie mtaachwa nyuma na Kila kitu mtaona miujiza tu Kwa project zinazoendelea na mtaendelea kuamini et ni mpango wa mashetani kuitawala Dunia na nyie mnamsubilia mwokozi hewa arudi Huku wenzenu wanasonga mbele!
haya Lete hoja wewe uliyevimbilwa magimbi nizione maana vioja hupingwa na hojaMkuu wewe ushavimbiwa matango pori huna unachokijua?