Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, wewe una alama herufi"M kiganjani? Ni asilimia 1% tu ya watu duniani walio nayo alama hiyo! Hapa ndipo unapohitaji kujua sasa maana ya alama hiyo! Tiba za kiganjani au alama za kiganjani (Palmistry) ni njia ya zamani ya kutabiri siku zijazo na tafsiri ya utu wa mtu kutoka kwenye muundo wa mistari ya mikono.
Wakati mwingine mistari hii inaweza kuunda hata nambari na herufi. Moja ya herufi hizi inaweza kuwa herufi "M" ambayo umuhimu wake umechunguzwa na wataalamu wengi. Kama wengi wanavyoamini, mistari kwenye kiganja inaonyesha tabia na hatima ya maisha yetu. Herufi "M" imepewa kwa watu maalum tu.
Wamejaaliwa ufahamu (akili) wa ajabu na inawakilisha kuwa ni washirika bora kwa biashara yoyote. Ikiwa una watu unaowapenda wana herufi "M" ndani ya kiganja cha mkono, lazima ujue ukweli kwamba huwezi kuwadhihaki na huwezi kusema uwongo au kumdanganya mtu huyo kwa njia yoyote ile. Kwa kuwa na akili nyingi na ufahamu mkubwa, watu walio na herufi "M" kwenye kiganja hugundua kwa urahisi kuwa wamedanganywa au wamepotoshwa.
Wanawake ambao wana herufi "M" kwenye kiganja wana ufahamu (akili) wenye nguvu zaidi kuliko wanaume, hata kuliko wale wenye herufi "M" pia. Wamejaaliwa uwezo wa kusimamia na kuvuka vikwazo vyovyote maishani, na kujua jinsi ya kutumia rasilimali na fursa zinazopatikana.
MAANA YA HERUFI "M" KIGANJANI KWAKO
- ustadi wa uongozi yaani kuongoza vizuri kwenye jambo lolote
- utajiri (mtiririko rahisi wa pesa)
- wenye matumaini, furaha
- fursa nzuri kumimimika
Pia ishara hii ni tabia kwa manabii. Kwa hiyo ukiwa una alama hii mkononi mwako, wewe kweli ni mtu maalum katika ulimwengu huu!
Kumbe iko hivi !! Asante
Hata hiyo mihogo anayouza inaanza na M! Hapa utajua hujui.Kuna ndugu yang ana M mikono yote, na isitoshe majina yake yote matatu yanaanza na herufi M, yani jina lake linaanza na M, la baba yake linaanza na M na la ukoo pia linaanza na M lkn bado ana hustle kuuza mihogo ya kukaanga shuleni maana kila analolifanya halishikiki.
Hata hiyo mihogo kuna kipindi akiuza hata hiyo faida haioni.
Sasa na hapo napo vipi ndugu mtaalam wa nyota?
Na wao ni waongo wakubwa sana ila huwezi kuwagundua kwenye uongo wao labda utumie muda sana na kuchambuaNakubalian na wew mkuu haswaa apo kweny kudanganywa asilimia kubwa huwa wanajua kabisaa izi ni kamba ukiona umemdanganya na akajaa bas kuna mawili either hajaamua kufuatilia iyo issue au kajua unamdangany na kakukaushia kimtindo
Mkuu wengine ni wakulima na mafundi.Hapa ni kwa wachora tattoo M lazima ipatikane tuuu hata kwa kufosii.
Hiyo M unayoongelea inafanana na hii?Je, wewe una alama herufi"M kiganjani? Ni asilimia 1% tu ya watu duniani walio nayo alama hiyo! Hapa ndipo unapohitaji kujua sasa maana ya alama hiyo! Tiba za kiganjani au alama za kiganjani (Palmistry) ni njia ya zamani ya kutabiri siku zijazo na tafsiri ya utu wa mtu kutoka kwenye muundo wa mistari ya mikono.
Wakati mwingine mistari hii inaweza kuunda hata nambari na herufi. Moja ya herufi hizi inaweza kuwa herufi "M" ambayo umuhimu wake umechunguzwa na wataalamu wengi. Kama wengi wanavyoamini, mistari kwenye kiganja inaonyesha tabia na hatima ya maisha yetu. Herufi "M" imepewa kwa watu maalum tu.
Wamejaaliwa ufahamu (akili) wa ajabu na inawakilisha kuwa ni washirika bora kwa biashara yoyote. Ikiwa una watu unaowapenda wana herufi "M" ndani ya kiganja cha mkono, lazima ujue ukweli kwamba huwezi kuwadhihaki na huwezi kusema uwongo au kumdanganya mtu huyo kwa njia yoyote ile. Kwa kuwa na akili nyingi na ufahamu mkubwa, watu walio na herufi "M" kwenye kiganja hugundua kwa urahisi kuwa wamedanganywa au wamepotoshwa.
Wanawake ambao wana herufi "M" kwenye kiganja wana ufahamu (akili) wenye nguvu zaidi kuliko wanaume, hata kuliko wale wenye herufi "M" pia. Wamejaaliwa uwezo wa kusimamia na kuvuka vikwazo vyovyote maishani, na kujua jinsi ya kutumia rasilimali na fursa zinazopatikana.
MAANA YA HERUFI "M" KIGANJANI KWAKO
- ustadi wa uongozi yaani kuongoza vizuri kwenye jambo lolote
- utajiri (mtiririko rahisi wa pesa)
- wenye matumaini, furaha
- fursa nzuri kumimimika
Pia ishara hii ni tabia kwa manabii. Kwa hiyo ukiwa una alama hii mkononi mwako, wewe kweli ni mtu maalum katika ulimwengu huu!
Hicho kiganja ni cha mkono wako mkuu?
Yuko hai anaendelea kupambana na tozo kupitia biashara yake ya mihogo.Ameshakufa au yupo hai? Kama yupo hai iko siku atasimama kimaisha
[emoji38][emoji38][emoji38]Je, wewe una alama herufi"M kiganjani? Ni asilimia 1% tu ya watu duniani walio nayo alama hiyo! Hapa ndipo unapohitaji kujua sasa maana ya alama hiyo! Tiba za kiganjani au alama za kiganjani (Palmistry) ni njia ya zamani ya kutabiri siku zijazo na tafsiri ya utu wa mtu kutoka kwenye muundo wa mistari ya mikono.
Wakati mwingine mistari hii inaweza kuunda hata nambari na herufi. Moja ya herufi hizi inaweza kuwa herufi "M" ambayo umuhimu wake umechunguzwa na wataalamu wengi. Kama wengi wanavyoamini, mistari kwenye kiganja inaonyesha tabia na hatima ya maisha yetu. Herufi "M" imepewa kwa watu maalum tu.
Wamejaaliwa ufahamu (akili) wa ajabu na inawakilisha kuwa ni washirika bora kwa biashara yoyote. Ikiwa una watu unaowapenda wana herufi "M" ndani ya kiganja cha mkono, lazima ujue ukweli kwamba huwezi kuwadhihaki na huwezi kusema uwongo au kumdanganya mtu huyo kwa njia yoyote ile. Kwa kuwa na akili nyingi na ufahamu mkubwa, watu walio na herufi "M" kwenye kiganja hugundua kwa urahisi kuwa wamedanganywa au wamepotoshwa.
Wanawake ambao wana herufi "M" kwenye kiganja wana ufahamu (akili) wenye nguvu zaidi kuliko wanaume, hata kuliko wale wenye herufi "M" pia. Wamejaaliwa uwezo wa kusimamia na kuvuka vikwazo vyovyote maishani, na kujua jinsi ya kutumia rasilimali na fursa zinazopatikana.
MAANA YA HERUFI "M" KIGANJANI KWAKO
- ustadi wa uongozi yaani kuongoza vizuri kwenye jambo lolote
- utajiri (mtiririko rahisi wa pesa)
- wenye matumaini, furaha
- fursa nzuri kumimimika
Pia ishara hii ni tabia kwa manabii. Kwa hiyo ukiwa una alama hii mkononi mwako, wewe kweli ni mtu maalum katika ulimwengu huu!
Who told you wako group O? Majority duniani wana group O, few wana AB, na wenye M duniani wapo 1% tuu.Most of them wako group O la damu pia
Mbona umeitoboa toboa? Au ndio uganga wenyewe? Waafrika tunaamini sana kwenye haya mambo yasiyosadikika kuliko ukweli kwamba actions zetu, ndio zinafungua au kufunga ,milango yetu wenyewe.
Ana M nyingi sana ukijumlisha na ya mihogo junla yake 4.Kuna ndugu yang ana M mikono yote, na isitoshe majina yake yote matatu yanaanza na herufi M, yani jina lake linaanza na M, la baba yake linaanza na M na la ukoo pia linaanza na M lkn bado ana hustle kuuza mihogo ya kukaanga shuleni maana kila analolifanya halishikiki.
Hata hiyo mihogo kuna kipindi akiuza hata hiyo faida haioni.
Sasa na hapo napo vipi ndugu mtaalam wa nyota?
Una uhakika group O ni wengi kuliko group zingine?Who told you wako group O? Majority duniani wana group O, few wana AB, na wenye M duniani wapo 1% tuu.
Sasa fanya cross multiplication hapo.
Una uhakika group O ni wengi kuliko group zingine?
Mtoto laini huyu, mashaallah. Sipati picha kiuno kipojeMimi ninayo na nina akili kubwa na za ajabu sana, kwani mpaka sasa hivi nimefanikiwa kugundua mambo makubwa sana.Imagine juzi nimegundua time katika universal model.
View attachment 2370527View attachment 2370528View attachment 2370529