Alama ya herufi "M" kiganjani

Alama ya herufi "M" kiganjani

Hahahaaaa umenisema na M yangu yaan mulemule
Nyinyi watu wa m mnaweza kuthibitisha uongo ukawa ukweli na hauwezi kugundua kirahisi kama ni uongo na hampendi kuulekebisha mpo tayari kuongeza uongo ili kuutetea uongo, uliousema mwanzo ambao unahisi utagundulika ndio mana ni rahisi kumgundua mtu anapokudanganya ila nyinyi kwa nyinyi mnajuana, kuna jamaa alimdanganya mkewe usinione maskini nina nyumba ipo mkoani bas mke kaish kwenye ndoa mwaka ukapita jamaa akaona nitaumbuka siku akarudi nyumbani ana huzuni sana baada ya kusikia taarifa ya habari kuhusu bomoa bomoa na kumwambia mke ya kuwa katika list na nyumba yangu ipo humo sijui kama nitalipwa fidia, end the day uongo ukadhibitishwa ndio ukawa ukweli jamaa kweli alikuwa na nyumba stor ni ndefu ila watu wa m ni waongo wenye kutumia mbinu za kijasusi
Na hauwezi pita siku tatu bila kudanganya
 
Akhsante sana na mno Mwenyezi Mungu kwa kunipa Alama hili ya M tena katika Viganja vyangu vyote Viwili.

Ama hakika sijiiti MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' Kimakosa.

Mwisho nitoe Shukran nyingi zaidi Kwako Mleta Mada ( Uzi ) kwa Ufafanuzi wako na Maelezo yako mazuri juu ya hili Alama M kwani mengi uliyoyaelezea hapa kwa 99.999999% ninayo.

Uwe na Maisha Marefu na Baraka tele.
Amina
 
16644273086577081454034879875552.jpg
 
Twenye M tupo lakini kila kilichoongelewa humu kwangu ni kinyume mtindo mmoja!
 
Mm nina M perfect kabisa
1.ni kweli nina akili sio ya kawaida kabisa
2.ni kweli ukiwa na M ni rahisi sana kupata hela ila hii ni kutokana na brain pia
3.ni kweli unavuka changamoto yoyote ambayo mtu wa kawaida anaweza kujiua
4.na ni kweli M wana bahati sana

Ila: uwe karibu na MUNGU na uepuke tu umalaya utajishangaa mno kila kitu kinaenda

20221002_141048.jpg
 
Back
Top Bottom