Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,109
Noo sio mHii ndo M sasaView attachment 2370875
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noo sio mHii ndo M sasaView attachment 2370875
Tazama ya picha ya pili kwenda juu toka kwenye hiy comment yakoWeka picha tuone
Nyinyi watu wa m mnaweza kuthibitisha uongo ukawa ukweli na hauwezi kugundua kirahisi kama ni uongo na hampendi kuulekebisha mpo tayari kuongeza uongo ili kuutetea uongo, uliousema mwanzo ambao unahisi utagundulika ndio mana ni rahisi kumgundua mtu anapokudanganya ila nyinyi kwa nyinyi mnajuana, kuna jamaa alimdanganya mkewe usinione maskini nina nyumba ipo mkoani bas mke kaish kwenye ndoa mwaka ukapita jamaa akaona nitaumbuka siku akarudi nyumbani ana huzuni sana baada ya kusikia taarifa ya habari kuhusu bomoa bomoa na kumwambia mke ya kuwa katika list na nyumba yangu ipo humo sijui kama nitalipwa fidia, end the day uongo ukadhibitishwa ndio ukawa ukweli jamaa kweli alikuwa na nyumba stor ni ndefu ila watu wa m ni waongo wenye kutumia mbinu za kijasusiHahahaaaa umenisema na M yangu yaan mulemule
Hapa na huwa sehemu zote MkuuNa ni kushoto tu. Haijawahi kukaa mkono wa kulia
AminaAkhsante sana na mno Mwenyezi Mungu kwa kunipa Alama hili ya M tena katika Viganja vyangu vyote Viwili.
Ama hakika sijiiti MINOCYCLINE 'Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person' Kimakosa.
Mwisho nitoe Shukran nyingi zaidi Kwako Mleta Mada ( Uzi ) kwa Ufafanuzi wako na Maelezo yako mazuri juu ya hili Alama M kwani mengi uliyoyaelezea hapa kwa 99.999999% ninayo.
Uwe na Maisha Marefu na Baraka tele.
Why my life is so f*cked up then? Nadhani hii ni imani tu haina ukweli wowoteYap hiyo ndio m nazan katika wote ww waliotuma picha ww ndio mwenye m
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Wewe una M tatizo lako no genius mvivu
duh hii mikono inaonekana nilaini sanaMimi ninayo na nina akili kubwa na za ajabu sana, kwani mpaka sasa hivi nimefanikiwa kugundua mambo makubwa sana.Imagine juzi nimegundua time katika universal model.
View attachment 2370527View attachment 2370528View attachment 2370529
Mimi ni wa kishua😁😁😁duh hii mikono inaonekana nilaini sana
Daah!!Halafu wewe ni cheusi Mangala,tunamatch kuoana!White hujambo?
Mtoto laini huyu, mashaallah. Sipati picha kiuno kipoje
Kama hii yako ni M basi basi tupo twenye M tena iliyokamilika kwa mistari yote kukutana.[emoji2365][emoji2365][emoji2365]Mimi ninayo na nina akili kubwa na za ajabu sana, kwani mpaka sasa hivi nimefanikiwa kugundua mambo makubwa sana.Imagine juzi nimegundua time katika universal model.
View attachment 2370527View attachment 2370528View attachment 2370529
Mkuu hii ni M kweli?!
Na kuna mwaka(M)tu atakuja kupata mahela(M)Hata hiyo mihogo anayouza inaanza na M! Hapa utajua hujui.