Alama ya jicho moja: Je, ni ishara katika vikundi vya siri, ishara katika Uungu (Ukristo), ishara ya Mungu wa Misri au uwakilisho wa mpinga Kristo??

ALL SEEING EYE, EYE OF
ROVIDENCE
- 2






ALAMA YA JICHO KATIKA JAMII ZA SIRI (FREEMASONRY/ILLUMINANT)
NA MAANA YAKE.










Wasalaam,






Na vipi kuhusu Vikundi vya siri Chini ya illuminant na alama hii ya Jicho, ??


Basi vipi kuhusu Illuminati?
Maelezo ya mwanzo ya vikundi hivi na asili, iliyoanzishwa huko Bavaria 1776 , utumiwaji wa alama hii katika vikundi vingi vya siri ikaunganishwa na uwekaji wa alama hii katika mihuri ya nembo za mataifa makubwa ambapo inaelezwa serikali zake zina mkono na mwongozo wa shetani



Ni kweli kwamba Illuminati wanaongoza vikundi vingi vya siri kama Freemasonry na vinginevyo ambavyo mara kadhaa vilitumia Jicho la Providence kama ishara yao kwa Mbunifu Mkuu (Mungu), kufuatia mwongozo wa makanisa mengine mengi wakati huo


Na ni kwawaida kwa vikundi hivi kujinasibu katika sehemu mbalimbali yakuwa havina tofauti na dini nyingine kuwa vinaabudu Mungu mmoja lakini si ajabu kuona members wao pia wakitukuza uwepo wa shetani na hivi ndivyo tujuavyo kikawaida.


Kinyume na imani hizo nyingine inaelezwa katika makundi haya ya siri, watu wengi wanaamini hiyo ishara ipo kuwakilisha jicho la Lusifa au Shetani ambaye nguvu zake zisizo za kawaida huathiri kila kitu kinachotokea ulimwenguni.

Na hivyo ndivyo Tujuavyo katika makundi haya kuwa ruled under Satan, Jicho hili lipo huwekwa juu ya Pyramid au Ndani yake huaminika kama Ndiyo nyenzo na utambulisho wa supernatural power yao , Au system of controll



Jicho hili la Providence pia ni ishara muhimu sana ya haya makundi ya siri (illuminant) ambayo kawaida ina utukufu wake, na pia jicho hilo , Freemason chini ya Illuminant wanamtaja Mungu wao mwenye nguvu zote kama 'Mbunifu Mkuu wa Ulimwengu' na ishara hiyo hutumiwa kukumbusha kila Mwanachama wa siri kukumbuka mawazo yake pamoja na matendo ambayo yanazingatiwa na Mungu wakati wote.


Na kumbuka habari ya makundi haya ya Siri yaongozayo Duniani kwa sasa yapo chini ya Shetani mwenyewe kama Mungu wao mkuu, hivyo jicho hili ni kama Uangalizi wa Lucifer dhidi ya Dunia yetu.
Na hapa ndipo ikaja taarifa kuhusu uhusihwaji wa alama hizi na mataifa makubwa ya dunia katika mihuri yao.



Na katika zama zetu za kisasa Wasanii na watu mashuhuri ambao wamekuwa wakihusishwa na kuwa Chini ya Vikundi vya Siri mara nyingi Freemasons N.k wameonekana wakionesha sehemu mbali ishara ya Jicho hili ,All seeing Eye , Watu wameshutumu wakina Madonna, Jay-Z , Beyonce , Lady Gaga , Justin Bieber, na wengineo wengi wakiwemo viongozi wengi





Hata hivyo ishara ya Jicho hili pia imeonekana katika Tattoo za watu mashuhuri wengi sana wengi wakidai ni utambulisho wa shetani., jicho la Shetani.




Lakini wasanii na Watu maarufu waliotumia ishara hii wote wameshtumiwa kwa kutumia Ishara za kiIlluminati, pamoja na Jicho la Providence wameonekana wapo chini ya makundi ya Shetani na ndiye anayewapa Nguvu ya umaarufu wao, pesa,mvuto na kadhalika Heshima kwa kuonyesha ishara ni kitu muhimu sana kwao

Hivyo ishara hii ni kama utukuzo wa kazi ya Satan










ITAENDELEA



ALAMA YA JICHO NA UWAKILISHO WA MPINGA KRISTO ( MASIH DAJAL/ANTI CHRIST)









daVinci XV


 
ALL SEEING EYE, EYE OF
ROVIDENCE
- 3

Tunaendelea


ALAMA YA JICHO NA UWAKILISHO WA MPINGA KRISTO ( MASIH DAJAL/ANTI CHRIST)
 
Mambo ya Babylon ya Nabukadneza

Kitabu cha Daniel kimeeleza kwa kina.
 
ALL SEEING EYE, EYE OF
ROVIDENCE
- 3







ALAMA YA JICHO NA UWAKILISHO WA MPINGA KRISTO ( MASIH DAJAL/ANTI CHRIST)






Dajjal au Mpinga kristo (ant christ) ameonekana pia katika simulizi ya Kiislamu. Anasemekana atakuja kutoka maeneo kadhaa tofauti, lakini kwa ujumla kutoka Mashariki, kawaida kati ya Syria au Iraq kulinganishwa na uelewa wa Kikristo juu ya kuonekana kwa Mpinga Kristo katika simulizi ya Kikristo.

Huyu mwamba ni katika miongoni mwa makundi ya Upande wa Lucifer ambaye atakuja kudanganya wanaadamu kwamba, yeye ndiye Yesu (Issa)


Kwa kufanya baadhi ya Miujiza na watu kumwamini.



Maeneo kadhaa yanahusishwa na kuibuka kwa Dajjal, lakini kawaida, imeelezwa atatokea kutoka mashariki,

Kwa muonekano wa kawaida huelezewa kama kipofu katika jicho moja, na wengine husema kuwa ana jicho moja, inaelezwa Kumiliki jicho hilo lenye kasoro mara nyingi humwezesha kama kutoa nguvu (miujiza) katika malengo yake ya kupotosha Ulimwengu kama Masih Fake na hapa Ndipo makundi haya Shetani yanapochukua Alama hii ya Jicho kumwakilisha Baba yao huyu.



Anasimuliwa atazuguka ulimwenguni kote akiingia kila mji , Kama Masihi wa uwongo, inaaminika kwamba wengi watadanganywa naye na watajiunga katika msafara wake, kati yao Wayahudi, Wabedouins, watu wa kawaida(dini tofauti tofauti), wachawi wengine.


Zaidi Dajjal (Anti christ) atasaidiwa na jeshi la shetani, na inaelezwa wafuasi wake wengi wa kuaminika watakuwa Wayahudi

Dhana hii ya Wayahudi kuwa wengi zaidi katika wafuasi wengi wa Dajjal labda ni mabaki kutoka kwa hadithi za Kikristo za Mpinga Kristo.
Dajjal ataweza kufanya miujiza, kama vile kuponya wagonjwa, kufufua wafu (Hapa zitatumika nguvu za Shetani), na Miujiza mingimingi.



Miujiza yake inafanana na ile iliyofanywa na Yesu. Na hapo ndipo watu wengi watakapomuamini kama Masih halisi na kupotezwa nae, Nguvu ya jicho lake ambalo nadharia hii inalihusisha kama Jicho ambalo ni Alama katika makundi na watawala wa Dunia kumuwakilisha.


Mwishowe, Dajjal(antichrist) atakufa pale atakaporudi Yesu na kumuua Katika tafsiri nyingi inasemwa atakufa kwa kumtazama tu Yesu.


Lakini wakati huo tayari ashakusanya kundi kubwa la watu katika Upande wa shetani
Na kwa kutambua mchango wake Jicho lake likawa kama identity na Heshima ya Kazi yake katika makundi haya.


Hiyo ni Miongoni mwa nadharia zinazoelezewa kuhusu Jicho hilo. katika Upande huu.









daVinci XV


 
Kwa maneno yako yasiozidi 10 unakipi chakutuambia kuhusu ilo jicho la 3 kama ulivyoandika?
 
Itabidi tushushe nyingine mkuu ,, ikihusisha vitabu vya ufunuo ,Daniel na Mengineyo

Well said mkuu...

Nafukua mambo ya personal and physical presence of God Almighty. Acha tuone inakuwaje!
 
Misri ya kale ndio chimbuko la dini ya kiislamu na kiyahudi na kikristu
 
Mwamba anataka tumpiganie Mungu wa Abraham, Isaac na Jacob. Hajui kwamba huyu Mungu anajipigania mwenyewe. Na hajawahi kushindwa jambo lake.

Alishindwa Nabukadneza Mfalme wa Babylonian, aliyekuwa na taasisi za kufundisha uchawi, ulozi, kuongea na wafu, kusoma nyota nk ndio itokee leo? HAIWEZEKANI.





 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…