Albamu mpya ya Burna Boy ni moto mkali sana

Albamu mpya ya Burna Boy ni moto mkali sana

Hawa jamaa walikuwa wanajitahidi sana, na walau walikuwa wanajua muziki! Lakini nakumbuka waliwahi kupigwa sana vita na vyombo vikubwa vya burudani.
Ndipo tunapofeli sisi,sio tu kwenye mziki hata maofisini ukiwa unajua sana watu watakupiga majungu na kukatisha tamaa.

Ila P Funky,Master Jay walikuwa vizuri sana.
 
Hapa nakubaliana kabisa na wewe, zama zile zingekuwa na Digital Technology tungefika mbali sana!
Hivi yule jamaa wa Fish-Club Cook Out alipotelea wapi na kazi zake za FL Studio ???
Kaachana na uproducer sasa hivi ana simamia Car Wash na mgahawa wake,ila studio bado anayo anatengeneza matangazo ya biashara.
 
Watu wakutusaidia kututoa ktk huo mkwamo tunao(P Funky &Master Jay no) ila wasanii hawataki kuwatumia sababu wanaogopa gharama.

Asikudanganye mtu Wanaija wamewekeza hela nyingi sana kwenye mziki wao,kuanzia promotion mpaka production na mshika dau anaheshimu uweledi wa mwenzake.

Hapa Tanzania msanii anaongea kabisa na kumjibu shit producer "...bila mimi wewe usingekuwa producer mkubwa......",hii kauli ni ya dharau.
Mzee unamsahau vipi hermy b..mnyama alifanya production Hadi interscope
 
Ukiona jamii inang'ang'ana kumdhihaki msanii mwenye uwezo mkubwa kama Lady Jay Dee "Komando" kwa kumlinganisha na mtoto kama Zuchu basi fahamu kwamba kuna tatizo pahala (Like Seriously!!!) . Shida ni kwamba tunachanganya kati ya umaarufu na kipaji na hata hao watangazaji wa burudani wenye dhamana ya kukuza muziki wetu huko redioni hawajui kabisa muziki. Nakumbuka Burna Boy anavyoanza miaka hiyo kuna mtangazaji wa redio kubwa alisema hamuelewi kabisa jamaa, niliishia kusikitika tu.

Burna boy kila siku anakomaa na anajifunza sana, walimu wake wa muziki (Mentors) ni Femi Kuti na Angelique Kidjo sasa mtu kama huyu akifisha One Billion Streams utashangaa kweli ??? Ukweli ni kwamba muziki ni kama taaluma nyingine na inahitaji kukaa chini na kujifunza kila siku, kitu ambacho watanzania wengi hatutaki kabisa kukisikia (Sauti Sol wanajitahidi sana kwenye hili). Tunaweza kupata Views nyingi You-Tube lakini tusiweze kuacha alama yoyote ile kwenye tasnia ya muziki hapa barani Afrika.
Imagine ngoma ya kwanza kwenye album hii ni Collaboration na Youssou N’Doir. Mwanamziki bora na Tajiri zaidi Africa. Nina uhakika ukiwauliza wasanii wa hapa bongo hakuna mtu atakuwa anamjua, au wachache sana watakujibu, real recognize real.
 
Imagine ngoma ya kwanza kwenye album hii ni Collaboration na Youssou N’Doir. Mwanamziki bora na Tajiri zaidi Africa. Nina uhakika ukiwauliza wasanii wa hapa bongo hakuna mtu atakuwa anamjua, au wachache sana watakujibu, real recognize real.
Ukisema hivi watakuita "Hater" na "Mjuaji", lakini ndiyo ukweli wenyewe!
 
Hii album ina promo lakini african giant ni moto wa kuotea mbali..
Mpaka leo bado nairudia african giant wakati hii kuna ngoma mbili tu ndo nasikiliza
 
Watu wakutusaidia kututoa ktk huo mkwamo tunao(P Funky &Master Jay no) ila wasanii hawataki kuwatumia sababu wanaogopa gharama.

Asikudanganye mtu Wanaija wamewekeza hela nyingi sana kwenye mziki wao,kuanzia promotion mpaka production na mshika dau anaheshimu uweledi wa mwenzake.

Hapa Tanzania msanii anaongea kabisa na kumjibu shit producer "...bila mimi wewe usingekuwa producer mkubwa......",hii kauli ni ya dharau.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Nahreal aliboresha studio akapandisha bei weusi wakamkimbia licha ya kuwatengenezea hit songs nyingi, hapo utaona wasanii hawapp serious na production maana wengi huwa wanapenda upcoming producers ili wapewe kazi za bure ama bei chee kama return ya kuwatengenezea jina.

inshort structure ya music industry bongo ipo vibaya na inatoa support ndogo kwa watu kwenda international. Naamini hata Burna anaeka standards kubwa zaidi globally maana peak yake imekuja kipindi Nigeria imeshapiga hatua kubwa ukilinganisha na kipindi cha 2face ama P square
 
Wanigeria Mafundi sana aiseee...!!
Screenshot_20200817-130047.jpeg
Screenshot_20200817-130100.jpeg
Screenshot_20200817-130108.jpeg
 
Mimi hii album nimeiskiliza ila niliangalia ktk angle ya production,yaani biti ya nyimbo zote zimetulia masikioni na zipo ktk viwango vya juu nikajaribu kusikiliza hits songs za nchi yetu nikaja kugundua tuna safari ndefu ya kuproduce nyimbo zenye ubora.

Mpaka najiuliza hivi kwa nini wasiwalipe hela nzuri Master Jay na P Funky hasa upande wa mixing ili wapate nyimbo zenye ubora.

Biti zetu kusema kweli hazipo kwenye std nzuri.Nyimbo nilizo zikubali ile ya Naughty by Nature na Twice as tall ft Youssou N'dour.
Mastering bado sana bongona wasanii hawaoni umuhimu, mfano nyimbo za Mensen selekta ni mbovu sana ukizisikiliza kwenye mziki mkubwa yani ni mbovu sana lakini kwakuwa wanapiga show wanapata pesa nobody cares
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Nahreal aliboresha studio akapandisha bei weusi wakamkimbia licha ya kuwatengenezea hit songs nyingi, hapo utaona wasanii hawapp serious na production maana wengi huwa wanapenda upcoming producers ili wapewe kazi za bure ama bei chee kama return ya kuwatengenezea jina.

inshort structure ya music industry bongo ipo vibaya na inatoa support ndogo kwa watu kwenda international. Naamini hata Burna anaeka standards kubwa zaidi globally maana peak yake imekuja kipindi Nigeria imeshapiga hatua kubwa ukilinganisha na kipindi cha 2face ama P square
Wasanii wakubwa hasa weusi wakiwa namba moja wanapenda dezo, wallianza Bhits baada ya kutaka na producer afaidike iwepo mikataba inayoeleweka siyo producer anatengeneza mziki halafu anakupa bure au unalipa laki ndo imetoka, wakakimbia, nahreal same story, wakaenda wanene kwa lufa, nako mara kwa s2kizzy, yani wasanii wa bongo wanapenda dezo mtu akitaka wafanye boashar hapo wanahama haijalishi ni hit song ngapi wametengeneza watahama.
 
Wasanii wakubwa hasa weusi wakiwa namba moja wanapenda dezo, wallianza Bhits baada ya kutaka na producer afaidike iwepo mikataba inayoeleweka siyo producer anatengeneza mziki halafu anakupa bure au unalipa laki ndo imetoka, wakakimbia, nahreal same story, wakaenda wanene kwa lufa, nako mara kwa s2kizzy, yani wasanii wa bongo wanapenda dezo mtu akitaka wafanye boashar hapo wanahama haijalishi ni hit song ngapi wametengeneza watahama.
ndio maana kuendelea ni ngumu maana watu wanalalamika kutopewa stahiki zao wakati wao wanawanyonya wenzao
 
Mimi hii album nimeiskiliza ila niliangalia ktk angle ya production,yaani biti ya nyimbo zote zimetulia masikioni na zipo ktk viwango vya juu nikajaribu kusikiliza hits songs za nchi yetu nikaja kugundua tuna safari ndefu ya kuproduce nyimbo zenye ubora.

Mpaka najiuliza hivi kwa nini wasiwalipe hela nzuri Master Jay na P Funky hasa upande wa mixing ili wapate nyimbo zenye ubora.

Biti zetu kusema kweli hazipo kwenye std nzuri.Nyimbo nilizo zikubali ile ya Naughty by Nature na Twice as tall ft Youssou N'dour.
Ubahili wa wasanii wanakimbilia kwa kina kimambo sijui kizzy
 
ndio maana kuendelea ni ngumu maana watu wanalalamika kutopewa stahiki zao wakati wao wanawanyonya wenzao
Ubahili wa wasanii wanakimbilia kwa kina kimambo sijui kizzy
Wasanii wakubwa hasa weusi wakiwa namba moja wanapenda dezo, wallianza Bhits baada ya kutaka na producer afaidike iwepo mikataba inayoeleweka siyo producer anatengeneza mziki halafu anakupa bure au unalipa laki ndo imetoka, wakakimbia, nahreal same story, wakaenda wanene kwa lufa, nako mara kwa s2kizzy, yani wasanii wa bongo wanapenda dezo mtu akitaka wafanye boashar hapo wanahama haijalishi ni hit song ngapi wametengeneza watahama.
Jamani wasameheni wenzenu, maisha yamekuwa magumu siku hizi!😂😂
 
Back
Top Bottom