Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
NI Moja Kati ya msanii ambaye Obama alikiri hadharani kuwa anamsikiliza ....
Pia mkewe Michelle
Pia mkewe Michelle
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nijaribu kuweka nyimbo hapa:mkuu lete link basi
Hata mama Magufuli anamsikiliza Harmonize jamani,NI Moja Kati ya msanii ambaye Obama alikiri hadharani kuwa anamsikiliza ....
Pia mkewe Michelle
Nikweli mkuu kama mtu nimskilizaji namuelewa mzuri lazima utagundua hilo, kwenye nyimbo zetu zakibongo nikama utaona aidha sauti ya muimbaji iko chini Sana kuliko sauti za vyombo au sauti ya muimbaji iko juu sana nahata vyombo huvisikii.Mimi hii album nimeiskiliza ila niliangalia ktk angle ya production,yaani biti ya nyimbo zote zimetulia masikioni na zipo ktk viwango vya juu nikajaribu kusikiliza hits songs za nchi yetu nikaja kugundua tuna safari ndefu ya kuproduce nyimbo zenye ubora.
Mpaka najiuliza hivi kwa nini wasiwalipe hela nzuri Master Jay na P Funky hasa upande wa mixing ili wapate nyimbo zenye ubora.
Biti zetu kusema kweli hazipo kwenye std nzuri.Nyimbo nilizo zikubali ile ya Naughty by Nature na Twice as tall ft Youssou N'dour.
Daah, waacheni wenzenu bwana!!!! 😂 😂Halafu kuna mtu anakuja kumsifia eyo laizaaa😂😂😂
Nitumie link Basi pmHuwaga nazipata Telegram mkuu...!!
Believe me Braza, 😎😎😎😎😎😎
Mimi ningekuwa Manager wao basi leo hii wangekuwa ni wasanii wakubwa sana Afrika!
Kaka napenda sanaa lakini mazingira yangu hayaniruhusu kujihusisha nayo moja kwa moja!sasa unashindwa nini kuingia kwenye showbiz kaka
[emoji122] [emoji122] [emoji122]Ngoja nijaribu kuweka nyimbo hapa:
majibu yako yanazalisha maswali zaidi..Kaka napenda sanaa lakini mazingira yangu hayaniruhusu kujihusisha nayo moja kwa moja!
Wewe jamaa unajua music.Ewaah ndiyo wenyewe,!
Sasa huo wimbo wa Jamboree ndiyo Burna Boy ameurudia humo!
Tanzania huwa tunaangalia view milioni kwa dakika ngapi, hatuangalii content.Ukiona jamii inang'ang'ana kumdhihaki msanii mwenye uwezo mkubwa kama Lady Jay Dee "Komando" kwa kumlinganisha na mtoto kama Zuchu basi fahamu kwamba kuna tatizo pahala (Like Seriously!!!) . Shida ni kwamba tunachanganya kati ya umaarufu na kipaji na hata hao watangazaji wa burudani wenye dhamana ya kukuza muziki wetu huko redioni hawajui kabisa muziki. Nakumbuka Burna Boy anavyoanza miaka hiyo kuna mtangazaji wa redio kubwa alisema hamuelewi kabisa jamaa, niliishia kusikitika tu.
Burna boy kila siku anakomaa na anajifunza sana, walimu wake wa muziki (Mentors) ni Femi Kuti na Angelique Kidjo sasa mtu kama huyu akifikisha One Billion Streams utashangaa kweli ??? Ukweli ni kwamba muziki ni kama taaluma nyingine na inahitaji kukaa chini na kujifunza kila siku, kitu ambacho watanzania wengi hatutaki kabisa kukisikia (Sauti Sol wanajitahidi sana kwenye hili). Tunaweza kupata Views nyingi You-Tube lakini tusiweze kuacha alama yoyote ile kwenye tasnia ya muziki hapa barani Afrika.
Hahah mzee umeisikiliza after hours ya the weekend ?Nimeielewa sana "monsters you made" inaweza kua album bora ya dunia kwa mwaka huu
Yaani kitendo cha Burna Boy kulinganishwa na watu kama The Weeknd kinanipa furaha kubwa sana.Hahah mzee umeisikiliza after hours ya the weekend ?
Huyu mtu anasubiria Grammy yake tuu maana mpaka sasa hana mpinzani kwenye album kali
Ndo nasikilizaaa saizii najikutaa nimeachaa kazii zanguu zote [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] [emoji91][emoji91][emoji91]
Kitu cha PowerAmp,muziki mzito