Albamu mpya ya Burna Boy ni moto mkali sana

Albamu mpya ya Burna Boy ni moto mkali sana

Hii album itafika mbali zaidi ya African Giant..
Kwanza Diddy kaipa promo kubwa sana .
Ni one of the best album for 2020.
So far my favourite tracks kwa hii album ni
Wonderful, way too big na time flies.
Kwenye hii time flies saut Sol wamefanya unyama sana.
Burna boy anajua sana .
Ifike mbali Mara ngapi mkuu ... Yaani jamaa anajua kujitangaza. Juzi nimeona mabango ya nyimbo zake yakiwa yame bandikwa katika miji mbali mbali ya USA .. Yaani ni balaa ... Imagine uwekewe bango lako Newyork city
 
Ifike mbali Mara ngapi mkuu ... Yaani jamaa anajua kujitangaza. Juzi nimeona mabango ya nyimbo zake yakiwa yame bandikwa katika miji mbali mbali ya USA .. Yaani ni balaa ... Imagine uwekewe bango lako Newyork city
Jamaa hawazuzuki tu na umaarufu uchwara,,wanapiga kazi kwa kutumia akili na ubunifu wa juu kabisa..
 
Nimeisikiliza hii album,aisee Burna katulia sana humu..hii album ni ya moto..

✓Time flies ft Sauti Sol nimeilewa sana

✓23 ipo poa sana pia

✓ Na single iliyobeba jina la album nayo ya moto

Kama unaisikiliza hii album kwenye kifaa kizuri cha muziki utakubaliana na mimi Production ya hii album ya kiwango cha Juu...Bongo kuna utiriri wa maproducer wanaotoa ngoma zenye makelele,yaani hazina balance kabisa wala ladha
 
Hii album itafika mbali zaidi ya African Giant..
Kwanza Diddy kaipa promo kubwa sana .
Ni one of the best album for 2020.
So far my favourite tracks kwa hii album ni
Wonderful, way too big na time flies.
Kwenye hii time flies saut Sol wamefanya unyama sana.
Burna boy anajua sana .
Kitendo cha kuikuta hii album kwenye torrent sites ina maana kubwa sana kwa msanii Burna Boy
 
Nimeisikiliza hii album,aisee Burna katulia sana humu..hii album ni ya moto..

✓Time flies ft Sauti Sol nimeilewa sana

✓23 ipo poa sana pia

✓ Na single iliyobeba jina la album nayo ya moto

Kama unaisikiliza hii album kwenye kifaa kizuri cha muziki utakubaliana na mimi Production ya hii album ya kiwango cha Juu...Bongo kuna utiriri wa maproducer wanaotoa ngoma zenye makelele,yaani hazina balance kabisa wala ladha
Balaa chief
 
Mimi hii album nimeiskiliza ila niliangalia ktk angle ya production,yaani biti ya nyimbo zote zimetulia masikioni na zipo ktk viwango vya juu nikajaribu kusikiliza hits songs za nchi yetu nikaja kugundua tuna safari ndefu ya kuproduce nyimbo zenye ubora.

Mpaka najiuliza hivi kwa nini wasiwalipe hela nzuri Master Jay na P Funky hasa upande wa mixing ili wapate nyimbo zenye ubora.

Biti zetu kusema kweli hazipo kwenye std nzuri.Nyimbo nilizo zikubali ile ya Naughty by Nature na Twice as tall ft Youssou N'dour.
Halafu kuna mtu anakuja kumsifia eyo laizaaa😂😂😂
 
Back
Top Bottom