Eyce
JF-Expert Member
- Mar 16, 2016
- 7,185
- 24,330
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani wasameheni wenzenu, maisha yamekuwa magumu siku hizi![emoji23][emoji23]
brother kwani kuna ubaya kusema ukweli ulio mchungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Jamani wasameheni wenzenu, maisha yamekuwa magumu siku hizi![emoji23][emoji23]
Ok unatumia app gani kudownloadia miziki maana naona hiko good sanaWanigeria Mafundi sana aiseee...!! View attachment 1540025View attachment 1540026View attachment 1540027
At least try to Sugar-Coat it,... 😂 😂 😂[emoji23][emoji23][emoji23]
brother kwani kuna ubaya kusema ukweli ulio mchungu
Ifike mbali Mara ngapi mkuu ... Yaani jamaa anajua kujitangaza. Juzi nimeona mabango ya nyimbo zake yakiwa yame bandikwa katika miji mbali mbali ya USA .. Yaani ni balaa ... Imagine uwekewe bango lako Newyork cityHii album itafika mbali zaidi ya African Giant..
Kwanza Diddy kaipa promo kubwa sana .
Ni one of the best album for 2020.
So far my favourite tracks kwa hii album ni
Wonderful, way too big na time flies.
Kwenye hii time flies saut Sol wamefanya unyama sana.
Burna boy anajua sana .
Jamaa hawazuzuki tu na umaarufu uchwara,,wanapiga kazi kwa kutumia akili na ubunifu wa juu kabisa..Ifike mbali Mara ngapi mkuu ... Yaani jamaa anajua kujitangaza. Juzi nimeona mabango ya nyimbo zake yakiwa yame bandikwa katika miji mbali mbali ya USA .. Yaani ni balaa ... Imagine uwekewe bango lako Newyork city
au brother wewe ndo manager wa weusi [emoji23]At least try to Sugar-Coat it,... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kama wanasoma hapa wanaweza kulia sana!
Kwangu LTG ya fireboy still the best of allWanigeria Mafundi sana aiseee...!! View attachment 1540025View attachment 1540026View attachment 1540027
Noma sana bro jamaa Ana hatariii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Baada ya Marekani ni Nigeriaa...Kwangu LTG ya fireboy still the best of all
Huwaga nazipata Telegram mkuu...!!Ok unatumia app gani kudownloadia miziki maana naona hiko good sana
Remind me naughty by nature ndo waliimba Jamboree?Ukisema hivi watakuita "Hater" na "Mjuaji", lakini ndiyo ukweli wenyewe!
Ewaah ndiyo wenyewe,!Remind me naughty by nature ndo waliimba Jamboree?
Believe me Braza, 😎😎😎😎😎😎au brother wewe ndo manager wa weusi [emoji23]
Kitendo cha kuikuta hii album kwenye torrent sites ina maana kubwa sana kwa msanii Burna BoyHii album itafika mbali zaidi ya African Giant..
Kwanza Diddy kaipa promo kubwa sana .
Ni one of the best album for 2020.
So far my favourite tracks kwa hii album ni
Wonderful, way too big na time flies.
Kwenye hii time flies saut Sol wamefanya unyama sana.
Burna boy anajua sana .
mkuu lete link basiHuwaga nazipata Telegram mkuu...!!
mkuu lete link basi
Balaa chiefNimeisikiliza hii album,aisee Burna katulia sana humu..hii album ni ya moto..
✓Time flies ft Sauti Sol nimeilewa sana
✓23 ipo poa sana pia
✓ Na single iliyobeba jina la album nayo ya moto
Kama unaisikiliza hii album kwenye kifaa kizuri cha muziki utakubaliana na mimi Production ya hii album ya kiwango cha Juu...Bongo kuna utiriri wa maproducer wanaotoa ngoma zenye makelele,yaani hazina balance kabisa wala ladha
Halafu kuna mtu anakuja kumsifia eyo laizaaa😂😂😂Mimi hii album nimeiskiliza ila niliangalia ktk angle ya production,yaani biti ya nyimbo zote zimetulia masikioni na zipo ktk viwango vya juu nikajaribu kusikiliza hits songs za nchi yetu nikaja kugundua tuna safari ndefu ya kuproduce nyimbo zenye ubora.
Mpaka najiuliza hivi kwa nini wasiwalipe hela nzuri Master Jay na P Funky hasa upande wa mixing ili wapate nyimbo zenye ubora.
Biti zetu kusema kweli hazipo kwenye std nzuri.Nyimbo nilizo zikubali ile ya Naughty by Nature na Twice as tall ft Youssou N'dour.