Albamu mpya ya Burna Boy ni moto mkali sana

Attachments

Nikweli mkuu kama mtu nimskilizaji namuelewa mzuri lazima utagundua hilo, kwenye nyimbo zetu zakibongo nikama utaona aidha sauti ya muimbaji iko chini Sana kuliko sauti za vyombo au sauti ya muimbaji iko juu sana nahata vyombo huvisikii.
Kuna msanii wa hapa bongo anaitwa Damian soul anaimba nyimbo Nzuri sana kama hakuna matata, nothing but love lakin shida nihio
 
Tanzania huwa tunaangalia view milioni kwa dakika ngapi, hatuangalii content.
 
Hahah mzee umeisikiliza after hours ya the weekend ?

Huyu mtu anasubiria Grammy yake tuu maana mpaka sasa hana mpinzani kwenye album kali
Yaani kitendo cha Burna Boy kulinganishwa na watu kama The Weeknd kinanipa furaha kubwa sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…