johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hiyo Biashara iko kitambo
Wakaanga samaki ndio wateja Wakuu
Wakaanga samaki ndio wateja Wakuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
12 February 2024
TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM
Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum
View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw
Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa
Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo
Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Mpemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar.
Na hili pia ni tishio la usalama, maana mbali ya magendo pia silaha, nyaraka za kichochezi, 'hela chafu' n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo kipindi hiki tukielekea uchaguzi zikitoka Zanzibar, RC Albert
Vilevile RC Chalamila amesema lazima tulinde kama tulivyo kula kiapo hatuwezi kuruhusu magendo katika Mkoa huu tuko imara sana kwa masilahi mapana ya ustawi wa jamii na amani ya Taifa hili
Hii ipo kule Kisiju na Nyamisati pia.Ukweli ukanda huo hasa bunju jamaa wa kaisari walijiachia mno na hayo magendo tena ilikuwa wazi wazi na dili za mafuta ya kula hayo. Yaani mpaka unijiuliza hii nchi itakuja kuwa na jamii ya kistaarabu kweli miaka kumi ijayo?.
Kwa nini wamevuliwa nguo?Ngoja waje spin Doctors.
Utawasikia.....
"Oh wanaleta mitutu"
![]()
Halafu wale wa Utengano nao
"Oh tuuvunje huu Muungano"
...sio hao tu wapo wale watakaosema
"Matumizi mabaya ya madaraka na Rasilimali"
Yaani sijasema bado, hata kataa ndoa nao watadai ...
"Ona hao vijana wenyewe ni mijambazi" Untill proven Innocent.😁😅![]()
Unauliza mimi nitasema nini?
Kama zinapita kutoka Zanzibar kuna shida gani si tumesema sisi ni nchi moja?Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.
12 February 2024
TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM
Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum
View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw
Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa wa task force kufuatia hali aliyosema RC Albert Chalamila inahitaji aunde na kukiwezesha zaidi kikosi kazi / task force.
Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo
RC Albert Chalamila asema atafurahi silaha atazongeza zikizaa matunda kwa kuwa dola haiwezi kuchezewa, na silaha zikitumika watu wasilaumu wala kupiga kelele.
Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Mpemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar.
Na hili pia ni tishio la usalama, maana mbali ya magendo pia silaha, nyaraka za kichochezi, 'hela chafu' n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo kipindi hiki tukielekea uchaguzi zikitoka Zanzibar, RC Albert Chalamila aonya.
Watuhumiwa Zaidi ya 7 Wakamatwa Dar
Posted On: February 11th, 2024
View attachment 2901348
- RC Chalamila atangaza Operesheni kali kuendelea maeneo yote ambayo bidhaa hizo hupitishwa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.
RC Chalamila amebainisha bidhaa za magendo zilizokamatwa ni mifuko ya sukari zaidi ya 100, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya 700 pamoja watuhumiwa zaidi ya 7 ambapo ameagiza watuhumiwa wote wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Aidha RC Chalamila amesema bidhaa hizo zilizokamatwa zimetoka upande wa Zanzibar kuja Tanzania bara kwa kutumia mashua " Kushamiri kwa uingizaji wa bidhaa za magendo ni kulikosesha Taifa mapato lakini pia ni hatari kwa afya za binadamu kwa kuwa bidhaa hizo zinakuwa hazija pimwa ubora" Alisisitiza RC Chalamila.
Vilevile RC Chalamila amesema lazima tulinde kama tulivyo kula kiapo hatuwezi kuruhusu magendo katika Mkoa huu tuko imara sana kwa masilahi mapana ya ustawi wa jamii na amani ya Taifa hili
Ifahamike kuwa bidhaa hizo za magendo zimekamatwa usiku wa kuamkia jana Februari 10 kupitia kikosi kazi cha kudhibiti mtandao mzima wa upitishwaji wa bidhaa za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi
Source : https://dsm.go.tz/new/watuhumiwa-zaidi-ya-7-wakamatwa-dar
Swali zuri. Hata mie nimeona hivyo hivyo tu. Labda wao ni guilty untill proven otherwise?Kwa nini wamevuliwa nguo?
Umemsikia Chalamila, anaongeza silaha, kwamba inawezekana wanaohusika ni watu wakubwa wa Serikalini. Kwa kifupi anawaogopa.wawakamate wafanyabiashara wakubwa ambao ndo waagizaji!hao vijana wanaonewa tuu
Kuna mifumo miwili ya Kodi Kodi za Zanzibar ziko chini kodi zetu ziko juu juu juu zaidi.Bidhaa toka zanzibari zinakuwaje ni magendo?
Acha mufumo iliyopo iendelee kufanya kazi hata kama ni midhaifu.
2023 Mbunge wa Mbarali, Francis Mtega ameibua madai mazito bungeni, akiwatuhumu askari wa wanyamapori (TANAPA), kuwafanyia ukatili mkubwa wananchi, kwa madai ya kuingia hifadhini kinyume cha sheria.
Mbunge huyo akalitaka bunge lisimamishe shughuli zake kwa muda ili kuijadili hoja hiyo kwa dharura, ambapo baadaye Spika Ackson Tulia na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa walilitolea ufafanuzi.
Hili swali nikijibiwa notajiunga na CCM leoBidhaa toka zanzibari zinakuwaje ni magendo?
12 February 2024
TASK FORCE / KIKOSI KAZI CHINI YA MKUU WA MKOA, CHAKAMATA WATU KADHAA MKOA WA DAR ES SALAAM
Hayo yasemwa na mkuu wa mkoa wa DSM alipokuwa katika operesheni maalum
View: https://m.youtube.com/watch?v=oHAwL1r-kfw
Mkuu wa mkoa ameyasema mbele ya mkuu wa wilaya ya kinondoni mkoani Dar es Salaam Mhe. Saad Mtambule na maofisa wa task force kufuatia hali aliyosema RC Albert Chalamila inahitaji aunde na kukiwezesha zaidi kikosi kazi / task force.
Sasa task force itajumuisha Polisi, na vikosi vingine siri kwa kuwa inaonesha kuna watu ndani ya vyombo vya umma wanahusika na magendo
RC Albert Chalamila asema atafurahi silaha atazongeza zikizaa matunda kwa kuwa dola haiwezi kuchezewa, na silaha zikitumika watu wasilaumu wala kupiga kelele.
Ukanda wa bahari wa kuanzia kusini kwa mkoa wa DSM Pemba Mnazi hadi Bunju mpakani na Bagamoyo mkoa wa Pwani ni maeneo yanayotumika kuingiza bidhaa za magendo toka Zanzibar.
Na hili pia ni tishio la usalama, maana mbali ya magendo pia silaha, nyaraka za kichochezi, 'hela chafu' n.k zinaweza kuingizwa kwa magendo kipindi hiki tukielekea uchaguzi zikitoka Zanzibar, RC Albert Chalamila aonya.
Watuhumiwa Zaidi ya 7 Wakamatwa Dar
Posted On: February 11th, 2024
View attachment 2901348
- RC Chalamila atangaza Operesheni kali kuendelea maeneo yote ambayo bidhaa hizo hupitishwa.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Februari 11, 2024 ametangaza kuendelea kwa Operesheni kali ya kudhibiti upitishwaji holela wa bidhaa mbalimbali za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi ambapo amesema yoyote atakaye kamatwa adhabu kali itachukuliwa dhidi yake kwa mujibu wa sheria za nchi.
RC Chalamila amebainisha bidhaa za magendo zilizokamatwa ni mifuko ya sukari zaidi ya 100, madumu ya mafuta ya kupikia zaidi ya 700 pamoja watuhumiwa zaidi ya 7 ambapo ameagiza watuhumiwa wote wachukuliwe hatua kali za kisheria.
Aidha RC Chalamila amesema bidhaa hizo zilizokamatwa zimetoka upande wa Zanzibar kuja Tanzania bara kwa kutumia mashua " Kushamiri kwa uingizaji wa bidhaa za magendo ni kulikosesha Taifa mapato lakini pia ni hatari kwa afya za binadamu kwa kuwa bidhaa hizo zinakuwa hazija pimwa ubora" Alisisitiza RC Chalamila.
Vilevile RC Chalamila amesema lazima tulinde kama tulivyo kula kiapo hatuwezi kuruhusu magendo katika Mkoa huu tuko imara sana kwa masilahi mapana ya ustawi wa jamii na amani ya Taifa hili
Ifahamike kuwa bidhaa hizo za magendo zimekamatwa usiku wa kuamkia jana Februari 10 kupitia kikosi kazi cha kudhibiti mtandao mzima wa upitishwaji wa bidhaa za magendo katika fukwe za bahari ya Hindi
Source : https://dsm.go.tz/new/watuhumiwa-zaidi-ya-7-wakamatwa-dar
Mheshimiwa Spika, Sehemu ya Kumi ya Muswada
inapendekeza kurekebisha Sheria ya Ulinzi wa Taifa, Sura ya 192.
Inapendekezwa kutambua katika Sheria Kamati ya Mipango na
Utekelezaji ambayo ni moja ya vyombo vya juu vya utekelezaji wa
shughuli za majeshi. Lengo la marekebisho haya ni kuipa Kamati
hiyo nguvu ya kisheria. Hivyo, inapendekezwa kuongeza kifungu
kipya cha 7A kinachohusu uanzishwaji, majukumu na mamlaka ya
Kamati ya Mipango na Utekelezaji. Kutokana na mabadiliko haya,
inapendekezwa Kamati ya Ulinzi ambayo imeanzishwa kwa
mujibu wa Sheria hiyo ibadilishwe na kuwa Baraza la Ulinzi ambalo
litakuwa chombo cha juu kabisa katika masuala ya Jeshi la
Wananchi.
Mheshimiwa Spika, Sehemu ya Kumi na Moja ya Muswada