Albert Chalamila: Sasa naunda task force kubwa itakayokuwa na silaha

Albert Chalamila: Sasa naunda task force kubwa itakayokuwa na silaha

Upuuzi mtupu huu, kwa nini serekali isitengeneze flat rate za customs duties, ili zifanane kwa zanzibar na bara, hii ujinga utaisha kabisa, viwango vya bara vishushwe kidogo, na vya zanzibar viongezwe kidogo alimradi tupate fair rates ambazo zinalingana, we call this balancing, the rates.
Zanzibar ni Nchi nyingine na ina waziri wake wa fedha, ina Mamlaka yake ya kodi na wanajiangia kodi. Kama bara mnawekewa kodi za kinyonyaji na hamlalamiki usitake na Zanzibar wapandishiwe.
 
Na atakuja Mkuu mwingine mwenye Wazfa nae ataita Vyombo vya Habari na kujifanya kakasirika kweli kweli nae ataanzisha Anti Smuggling Force kwa mbwembwe zaidi ya hizi za Chalamila.

Imetokea

Waziri Kigwangalla atoa siku 14 kukamilishwa sheria ya jeshi usu. ...
1707752648100.png

Sheria ya uanzishwaji Jeshi Usu ukamilike. “Bunge lijalo niiwasilishe bungeni Sheria ya kuunda. Jeshi Usu ni katika maagizo......
 
Back
Top Bottom