Rapherl
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 3,504
- 2,256
Wanafki wakujifanya wanakumbatia Biblia humu wamejaa sana...hata hiyo Biblia yenyewe hakuna wanachojua humo ndani kwasababu wao ndo wakwanza kutenda maovu...
Ngwea kazikwa na watu wanaompenda na ndo maliochangishana hizo hela zote za msiba(japo na wanafki kama wahumu walikuwepo),kasindikizwa na watu
Kama na wewe unataka ndugu yako azikwe kama Ngwea hakuna shida nani anakuzuia!
Ngwea aliamua kuishi maisha anayoona yalimfaa na wala hakuwahi kumshaur mtu aishi hayo maisha na hii habari ya msanii kioo cha jamii ni Ujinga ishi maisha yako...wote walioenda kumzika Ngwea wanakula unga...?!!
Ngwea alipenda kapendwa na ataendelea kupendwa kama inakuuma sana na wewe anza kula Madawa....HATERS!!!!!
Ngwea kazikwa na watu wanaompenda na ndo maliochangishana hizo hela zote za msiba(japo na wanafki kama wahumu walikuwepo),kasindikizwa na watu
Kama na wewe unataka ndugu yako azikwe kama Ngwea hakuna shida nani anakuzuia!
Ngwea aliamua kuishi maisha anayoona yalimfaa na wala hakuwahi kumshaur mtu aishi hayo maisha na hii habari ya msanii kioo cha jamii ni Ujinga ishi maisha yako...wote walioenda kumzika Ngwea wanakula unga...?!!
Ngwea alipenda kapendwa na ataendelea kupendwa kama inakuuma sana na wewe anza kula Madawa....HATERS!!!!!