Albert Mangwea (Special Thread)

Wanafki wakujifanya wanakumbatia Biblia humu wamejaa sana...hata hiyo Biblia yenyewe hakuna wanachojua humo ndani kwasababu wao ndo wakwanza kutenda maovu...

Ngwea kazikwa na watu wanaompenda na ndo maliochangishana hizo hela zote za msiba(japo na wanafki kama wahumu walikuwepo),kasindikizwa na watu

Kama na wewe unataka ndugu yako azikwe kama Ngwea hakuna shida nani anakuzuia!

Ngwea aliamua kuishi maisha anayoona yalimfaa na wala hakuwahi kumshaur mtu aishi hayo maisha na hii habari ya msanii kioo cha jamii ni Ujinga ishi maisha yako...wote walioenda kumzika Ngwea wanakula unga...?!!

Ngwea alipenda kapendwa na ataendelea kupendwa kama inakuuma sana na wewe anza kula Madawa....HATERS!!!!!
 

Mtungiiiiii!!!!!!!!!!...........Mikasi!!!!!!!!!!!!>>>> Brunt!!!!!!!!!!!!!
Je ndio yalikuwa maisha yake???????
 
maoni yako yanafanana na avatar yako.
 
[TABLE="class: tr-caption-container, width: 1, align: center"]
[TR]
[TD]Mama wa Ngwair akizungumza na Mkuu wa Mkoa Morogoro, Joel Bendera, leo mjini Morogoro, kabla ya mazishi ya msanii huyo wa Hip Hop


[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Chunga sana wanasiasa. Wanaangalia maslahi ya kisiasa na kujionesha wanajali watu. naamini unaijua hiyo saikolojia ila unajifanya kama umeisahau vile!
 
watch yo back coz u neva know kwan we hujui aliesema usiue ndo aliesema usiseme uongo so to Him evr tng is equal acha kuyahesabu mabaya ya ngwea na ujiangalie wewe kwanza msipende kutafuta title kwenye mitandao ya kijamii mind yo own bzness
 
Kuvuta sigara, bange, cocain and the like ni tatizo la mtu binafsi na hata kunywa bia, gongo, wine, whisky and the like, lakini tabia zako ndio mazuri na mabaya yako. Hili ni sawa na ukila kunde, maharagwe, choroko, makande haitudhuru wala kutushibisha siye lakini ukinza kutoa hewa chafu ndio tunapohathirika wengine.

Mangweha umeshawahi kusikia kagombana au kawekwa ndani mara ngapi? Tukianza na wasanii wakongwe kama TID, Chidbenz, Kalapina, Duly, Afande Sele, Sugu, ProfJ, RayC na hata huyo Jide alianzaga kurusha ngumi na kurushiana maneno na hata wapenzi wake. Hivi kwani huyu alikuwa achezewi rafu? This guy need respect sio kumdisrespect kama unavyomsema.

Wewe tabia yako yakulakula tu inawachefua wenzio na hujui utakufa kwa kuvimbirwa unamsema mwenzio kafa kwa kujidunga. Acha kuhukumu usijehukumiwa na ni vyema kumsema mtu akiwa hai kuliko keshakufa unafungulia uzi ukae unamsuta marehemu. Si ajabu wewe utafia gesti tena ukiwa umeokota Ambiance kona bar
 

Ona hii!, kwa vyovyote vile, alikuwa kipenzi cha watu.
 

Kumbe kinachokukera ndio hicho cha kuona mademu wamebana mat. ko na kujirusha kwenye ma pub?
Wewe unataka uwapangia watu namna ya kuishi?

Hao wadogo zako unaouliza marehemu amewafunza nini, ulishindwa kuwafunza wewe ukasubiri marehemu ndio awafunze?

Unauliza mimi ni mpagani au?,Kwani kuwa mpagani ni kosa au hairuhusiwi?, Dini yangu wewe inakuhusu nini?, Au wewe hiyo dini yako inatuhusu nini sisi?, Au nyie ndio waasisi wa udini?

Tanzania haina dini, kama unataka kulazimisha watu kufuata dini nenda kaishi VATICAN au IRANI.
 

goooooood coment!!
 

good coment!!safi sn!!
 
Nadhani hakuna tena haja ya kumzungumzia marehemu, kama ni fundisho basi limeshapatikana cha kufanya wazungumziwe waliobakia wanaotumia madawa ya kulevya ili waweze kusaidiwa nina imani wapo wanaotaka kuacha kutumia lakini hawawezi bila kusaidiwa... Mkimsema marehemu sasa hv haisaidii.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Whitney Huston amekufa kwa Cocaine maiti yake ilipelekwa mahakamani ikahukumiwa kifungo jela au kuchapwa viboko?
Usilete ulimbukeni wako hapa!
Wakati tunamchangua kaka mkuu mwaka ule kwa kura 80% alikuwa ametenda mazuri yepi?
He is just a human being!
 
mi nadhani tumwache huyu mwenzetu apumzike kwa amani.Ningefurahi kama tungetumia muda huu kuwasema wale ambao tunawafaham wanatumia na bado wanaishi.Tuwakemeee hawa kwa nguvu zote kuwaepusha kukatisha maisha yao
 

Ningeshangaa sana kama asingejitokeza mtu wa kuilaumu Clouds kuhusu aina ya mazishi aliyopata Ngwair.

Sasa sijui hata ukijamba nayo unailaumu Clouds....SMFH!
 

Haya nayo ni maoni. Tanzania ina watu.....!
 

PATHETIC FOOL!


Habari za hujafa hujaumbika hazihusiani na mtu aliyekufa kwa upumbavu wake. Sina hakika na umri wako, lkn kama umefika miaka 30 na bado hizo ndio akili zako basi umekuwa mwili na miaka lakini umri huna.

Ngwea hakufa kwa natural disaster kiasi utuonye kwamba hatujafa hatujaumbika. Huyu mtoto amekufa sababu ya kukosa maonyo. Mnapoanza kutoboa masikio, kuvaa suruali chini ya ------ na kuweka curl kwenye nywele huwa hamjui hatma yake?

Nani alikwambia kuwa ni advantage msiba wako ukihudhuriwa na watu wengi? Idiot, amsha kichwa.

Wewe unategemea aje mtakatifu kutuonya? Eti no one is perfect, YES, that is true na ndio maana nashauri tuonyane wenyewe kwa wenyewe. Mweke pema peponi hata zikisemwa na watu elfu 90, hazikusaidii kitu kwa Mungu.

Jamii ielezwe kwamba Mangwea amekufa kifo cha kijinga, sababu ya kukosa maonyo. Na kwako wewe unayeishi kwa hisia, kumsemea vizuri marehemu hakukufanyi wewe usife. Utakufa TU kwa hiyo tumia muda huu kujiwekea mazingira ya kutokufa kipumbavu kama huyu mwenzetu aliyekosa maonyo.
 
Ningesgangaa sana kama asingejitokeza mtu wa kuilaumu Clouds kuhusu aina ya mazishi aliyopata Ngwair.

Sasa sijui hata ukijamba nayo unailaumu Clouds....SMFH!

Mwenyewe...!!!

Ukweli husemwa...Msiba wa Ngwair Mlitaka kuutumia Kama PR REPAIR.......Wamekufa wasanii wangapi????...
Mbona Kanumba hatukusema.....sema karibuni...mmekaliwa vibaya sana ..
 
Ngwea hakufa kwa natural disaster kiasi utuonye kwamba hatujafa hatujaumbika.

Kwanza umejuaje hajafa kwa "natural disaster?"

Pili, kufa kwa "natural disaster" ndo kukoje?

Tatu, hivi wewe unajua maana ya "natural disaster" kweli?

Huyu mtoto amekufa sababu ya kukosa maonyo.

Una ithibati juu ya hilo dai lako au unaropoka tu kama mlevi wa dengerua? Kama unayo tuwekee hapa.

Mnapoanza kutoboa masikio, kuvaa suruali chini ya ------ na kuweka curl kwenye nywele huwa hamjui hatma yake?

Wamasai wanatoboa masikio na kuvaa yale malubega yao ambapo wengine huwa hawavai hata nguo za ndani na hivyo kuziweka nyeti zao katika hali ya kuweza kuonekana kirahisi. Wao hatma yao nini?

Jamii ielezwe kwamba Mangwea amekufa kifo cha kijinga, sababu ya kukosa maonyo.

Bila shaka yoyote wewe ndiyo jinga, zuzu, zumbukuku, na juha la majuha wote ulimwenguni. Ngwair amekufa kifo cha kijinga kwani unakijua kichomuua? Ulimfanyia wewe hiyo autopsy?

Na kwako wewe unayeishi kwa hisia, kumsemea vizuri marehemu hakukufanyi wewe usife. Utakufa TU kwa hiyo tumia muda huu kujiwekea mazingira ya kutokufa kipumbavu kama huyu mwenzetu aliyekosa maonyo.

Hivi wewe unajua utakufaje hadi uanze kuhukumu vifo vya wenzio kuwa ni vya kipumbavu kana kwamba unajua kwa uhakika wa asilimia 100 kilichomuua?

Ni mtu aina gani wewe? Ebo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…