Msema yote
JF-Expert Member
- Mar 19, 2013
- 448
- 299
Mkuu sidhani kama kuna haja ya kutoa maneno makali na yasiyo na staha eti nisiye na akili, tasfiri ya kijinga, unanionya etc! wastaarabu huwa wanatumia hoja na sio maneno ya namna hii. Unless unataka kuniaminisha kuwa wewe sio mstaarabu. Narudi kwenye Hoja, Unauliza unamhukumu nani? Kwa michango yako umetoa hukumu kuwa the deceased ni Mhuni na by implication conducts zake sio safi. Ndipo ninapokuuliza wewe una mamlaka yapi ya kutoa hukumu? Hujanijibu zaidi ya kusema hii ni tasfiri yangu ya kijinga.
Sasa wewe unachongea kwenye mfano huu ni kipi? kosa ni kuwa mhuni au kosa ni kuvuta bangi? kaa chini rudia kuutazama mfano wako upya
mi nadhani tumwache huyu mwenzetu apumzike kwa amani.Ningefurahi kama tungetumia muda huu kuwasema wale ambao tunawafaham wanatumia na bado wanaishi.Tuwakemeee hawa kwa nguvu zote kuwaepusha kukatisha maisha yao
maoni yako yanafanana na avatar yako.
Masikini TANGANYIKA unapotea kwa kukosa maarifa na kupungukiwa utukufu wa Mungu, vijana wanao kulia vijiweni, wenyekiburi, wazinzi, wafiraji, wasiotii, waongo,wenyekupenda pesa (unga) kuliko kumupenda Mungu. Baba twaomba rehema zako zituokoe zambini
Upumbavu wake
Huyo ni TID nadhani maana ameonekana mzee.na km anatumia madawa kweli anahitaji msaada ama tutampoteza japo kifo hakichagui.Mimi ni mshaur nasaha wa kujitolea, weka wazi huyo pichani ni nani niweze kumsaidia kabla mambo hayajaharibika!
Mkuu nimekuelewa ila kumbuka:
Golikipa ukizuia dak 89 na ukaachia kizembedak ya 90 unataoneka mpumbavu mara mia ungefanya huo uzembe za mwanzoni, me na shuhuda 1 ambaye alikuw jiran kijiwe cha ngwea na wenzie walipokuwa wana vuta na kutumia madawa, sasa jiulize ni vijana wangap wameshapotea kw matumiz ya madawa?
Mkuu tafakar ki undanna sio juu juu, yeye angalau alikuw na uwezo kidogo ndio hata akaish kidogo, je hao alikuw nao hawana uwezo unajua wako wapi? Mungu atusamehe na tujitambue.
duh,huyu dada asife jamani!!bora afe huyo kakaSimply Ngweir amekufa kwa overdose ya heroin...
Ningekuwa mwanafamilia ningesoma report ya postmottum pale makaburi ili vijana wajifunze...
Unafki huu ulimshinda Nelson Mandela na kuamuwa kutangaza pale makaburini kwamba mwanaye alikufa kwa ukimwi.
Jiandaneni kwa majonzi zaidi kama hawa ndio role model wenu.....
View attachment 96788