Albert Mangwea (Special Thread)

So cow obama alijenga getho? Ngwair ni bonge la rapper.hapa nasikiliza aminia aliyopewa shavu na binamu!
 
Kama una akili nzuri huwezi kubisha ufalme wa Ngwea kwenye Hiphop.
Nikikumbuka alivyoichanachana biti ya majani akirap verse ya kwanza kwenye nyimbo MSELA aliyoshirikishwa na TMK Wanaume enzi hizo ni noumaaa!!!
Huwa narudiarudia verse ya Ngwea bila kuchoka.
 
Historia nzuri sana ,hawa jamaa nawakubali mpaka kesho . R.I.P Albert ,mara ya mwisho nimekutana naye 2010 alikuwa sio mtu mwenye furaha kwa udhalimu aliofanyiwa na Venture .

Huyu Nzeku Chipa ninamfahamu sana ,namtafuta muda sasa kama una contact zake naomba uniinbox tafadhali .
 

Mkuu hata sijui yupo wapi nzeku mara ya mwisho alikuwa anasoma chuo cha ushirika moshi
 
Nimeipenda hii,kumbe Majani ni kati ya watu waliomfanya Ngwea afe maskini sasa inakuwaje anawasema Cloudz?
 
Una lolote unalofaham kuhusu Huyu jamaa la kukumbukwa na kuenziwa .

Binafsi nafaham na naheshim Kwa mambo haya:-

1. Alikuwa ana uwezo mkubwa sana wa kughan mitindo huru (freestyle) kuliko msanii yeyote aliepata tokea hapa Africa mashariki.

2. Album yake ya A.k.a Mimi ni kati ya album chache kali sana kuwahi kutokea ktk historia ya music wa bongo.

3.Aliipaisha sana Dodoma, ,Area C na east zoo kupitia muziki ,kiasi cha kufanya Dom ikawa inasomeka kwenye Raman ya muziki ,Morogoro ambapo familia yao ilikuwepo na alipokuja zikwa pamoja na Songea chimbuko la ukoo wake kulibak undercover.

4 . Alikuwa mtu wa watu ,with friends waliokuwa wanamthamin sana.

5. Kama binadamu alikuwa na mapungufu yake .lakin hayafanyi niache kumpa heshima yake kila naposikiliza nyimbo zake na kukumbuka uwezo mkumbwa aliokuwa nao.

Pumzika unapostahili brother. Cowbama.
 
Noorah nilimkubali sana zamani kuliko Ngwea!
R.I.P Mangwea
 
Noorah nilimkubali sana zamani kuliko Ngwea!
R.I.P Mangwea

Kwa sauti na style Walipoanza Noorah alikuwa mkali.sema Heshima inakuja Kwa Ng wair uwezo Wake wa kuchange styles za michano , freestyle ulikuwa wa kipekee sana.
 
Kwa matumizi ya bangi madawa ya kulevya na kutoheshimu elimu hivyo hafai kuigwa lakini pia ni muwekezaji kipindi kileeeee alikuwa na bar karibu na lion hotel
 
Angekua mchezaji wa mpira basi anacheza namba zote kuanzia kipa paka forward...ntamkumbuka sana kuna mstari wake 1 alisema siku nikifa pengo halita zibika ni kweli kabisa RIP ngwea

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Nlposkia ngwear katutoka dunian nlitokwa na choZ.nlkuwa nampenda sana mangwear.nlkuwa nampenda alvyokuwa akiimba hasa akchana kwa ki inglishi..nyimbo yake ya.Alma inankumbusha enz zake nyingi.na nnapenda kumquote mistar yake kama vle "hukuwepo wakat nazsaka, so usinpangie kuspend.""cow obama, cow bwoy" rest in peace kaka.mbele yetu nyuma yako.nampenda sana ngwear, he still live inside me.
Return
If
Possible
 

Napenda " we Ngwair mbona huinekani?, vp hauna TV ,ungekuwa na faida nami ungeniona kwa 3D"

Kwenye wimbo No beef ft TID
 
Mwenye Tshirt au anaejua zinapouzwa zile zmeandikwa RIP NGWAIR(BLACK) naomba aniPM.Nahitaji
 
Kwa matumizi ya bangi madawa ya kulevya na kutoheshimu elimu hivyo hafai kuigwa lakini pia ni muwekezaji kipindi kileeeee alikuwa na bar karibu na lion hotel

We ni ----- na Zezeta mkubwa kama Mabwege na Mazezeta wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…