Albert Mangwea (Special Thread)

Albert Mangwea (Special Thread)

Usinione mi msela kisa jeans zangu kata k.

Nishazama nazo hadi ikulu we muulize hata JK.
 
Usinione mi msela kisa jeans zangu kata k.

Nishazama nazo hadi ikulu we muulize hata JK.

Nishawa ........ Watoto warefu zaid ya Lil TK. "Kimafia'

Ni kwenye huu wimbo Ndo ulisema adhima yake ya kutafuta hela Kwa njia zote halali na isivyo halali

" Na mama usijari ,ipo siku ntakujengea, iwe Kwa huu mziki drugs au meno ya Tembo.
 
Namkumbuka kwa kufa akiwa ambwia unga. Amechangia kuharibu vijana kwa kuwa muuza unga,amechangia kuua nguvu kazi na kurudisha nyuma uchumi wa nchi. Hafai kukumbukwa kwa zuri lolote.
 
"Sasa we una bati
usiku huu unenda wapi wakati hiyo bati
hata chai tu hupati,
asiye na kitu mi naona bora akabaki,
tusije mbele tukashikana mashati..."

Raha sana mkuu, memories never fade away
 
Namkumbuka kwa kufa akiwa ambwia unga. Amechangia kuharibu vijana kwa kuwa muuza unga,amechangia kuua nguvu kazi na kurudisha nyuma uchumi wa nchi. Hafai kukumbukwa kwa zuri lolote.

this is too much hata idd amin ana mazuri yake, kazi ya kuhukumu muachie Mungu mwenyewe.
 
Nishawa ........ Watoto warefu zaid ya Lil TK. "Kimafia'

Ni kwenye huu wimbo Ndo ulisema adhima yake ya kutafuta hela Kwa njia zote halali na isivyo halali

" Na mama usijari ,ipo siku ntakujengea, iwe Kwa huu mziki drugs au meno ya Tembo.

Nautafuta sana huu wimbo wa kimafia mkuu, fanya ku-upload twende sawa pinno
 
Last edited by a moderator:
Siku moja tu nililia pale baba aliponitoka

Na mzigo ulinipunguzia pale ulipogeuka nyoka.

So nakuona tu kama kicheche wangu wa zamani!
 
Nina machizi wenye hela zaidi ya huyo jacky pemba,

wenye realy love kama darkmaster mwanachemba.

sio masnitch flan,flan wanaongea ongea tu sijui kisa watoto wa flani,

wakati sisi tushawalea,tushawatoa,mara nyhngi sio chache
 
Nimeamua kuwa peke yangu nichape kazi,

nisaidie ndugu mwanangu na mama mzazi.
 
Alikuwa mtu wa watu asiyependa makuu.
Nyimbo zake zilibamba
Apunzike mahali pema peponi
 
Nina machizi wenye hela zaidi ya huyo jacky pemba,

wenye realy love kama darkmaster mwanachemba.

sio masnitch flan,flan wanaongea ongea tu sijui kisa watoto wa flani,

wakati sisi tushawalea,tushawatoa,mara nyhngi sio chache

Dark master aliumia sana ngwea alivyokufa.....walitoka mbali sana
 
nyi na madem nanyinyi
nsikilizeni kwa makini
hivi ni kwa nini mnakua hamjiamini
mnajua nyie mna nguvu zaidi ya sisi
mwanaume kwa demu ni km mfupa kwa fisi
 
Back
Top Bottom