Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mwenyewe...!!!
Ukweli husemwa...Msiba wa Ngwair Mlitaka kuutumia Kama PR REPAIR.......Wamekufa wasanii wangapi????...
Mbona Kanumba hatukusema.....sema karibuni...mmekaliwa vibaya sana ..
Alaa...basi wale wote walioshiriki katika huo msiba wa Ngwair....kuanzia wasanii wenzake, ubalozi wa Tanzania huko Afrika Kusini, Sugu kushiriki mazishi, vituo vyote vya redio vilivyoshiriki kuutanganza msiba wake, magazeti yote yaliyoshiriki kuandika habari zake, kampuni ya Global Publishers ambayo ilitoa mchango wa shilingi milioni moja, Bongo Records ambayo ilitoa mchango wa shilingi milioni tano, na wananchi binafsi waliochangia wote hao wameutumia msiba wa Ngwair kujipa promo za kuwanufaisha wao wenyewe na si kwa nia njema tu ya kusaidia binadamu mwenzao.
Mantiki ya kijinga na kijuha sijapata kuisikia. Wangejikalia kimya na kuamua kutojihusisha mngesema, wamefanya kitu mnasema. Ama kweli malimwengu ya walimwengu hayaachi kushangaza.