MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Me nashangaa... Pengine hafuatilii, Mwananchi katika wiki mbili hiz walikuwa na fukuza fukuza kufurahisha serikali. Prince Bagenda tunasikia alikuwa ndani toka Friday.Waandishi wanapenda kwani kupewa kesi za kuhujumu uchumi?
Serikali ilisem wao ndo watahusik n taatifa zote waandishinwanazipnda familia zao musoma wiki imepita sasa kuna kifo cha korona awajasem watu mpk video tunazo ila una mute kimya
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ushaidi wa kimazingira Mkuu.!!Hao maofisa afya ndiyo wamemtonya Albert kuwa hali ni tete watu wanakufa kama mchezo.
ccm hao wameanza kampeni tiyariHii siyo kampeni?
Watu wanakufa taarifa zinafichwa wananchi wanachukulia poa kwasababu ya waoga kama wewe mnaotaka taarifa zifichwe.
Amefanya kosa gani?Akamatwe uyo
Bora alete taharuku watu wajue kabisa hawapo salama Yani saivi watu wameanza kurelux tayari aisee huu ugonjwa bila taarifa za ukweli watu watakuwa na amani na watasahau hata kunawa mikono
Serikali imeshakupa taarifa zote muhimu ni jukumu lako sasa kuchukua hatua, mengine sasa ni kufanya siasa tu.Hivi kwanini mamlaka zinaficha ukweli? Wanafanya hivi kwa maslahi ya nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
wanaficha kipi? idadi ya wagonjwa?case zilizopokelewa? vifo? au wanasema ugonjwa haupoooo? covid-19 kwa taarifa yako (ugonjwa) upo sana . idadi haitusaidi tuchukue tahadhari..Hivi kwanini mamlaka zinaficha ukweli? Wanafanya hivi kwa maslahi ya nani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanzoni walipokuwa wanatoa zilikuwa zinatusaidia nini?wanaficha kipi? idadi ya wagonjwa?case zilizopokelewa? vifo? au wanasema ugonjwa haupoooo? covid-19 kwa taarifa yako (ugonjwa) upo sana . idadi haitusaidi tuchukue tahadhari..
Wanachukua hatua kwa kusogeleana hivyo isitoshe wengine hapo hata barakoa hawajavaa.
Mwandishi wa habari atapata wapi mamlaka ya kutoa habari ya Corona? Wakati Kuna mamlaka zilizopewa jukumu.?