Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
kufa kupo tu ! afya mgogoro utakwenda na maji.Watu wanakufa taarifa zinafichwa wananchi wanachukulia poa kwasababu ya waoga kama wewe mnaotaka taarifa zifichwe.
Albert ni Mataga ila akili imeanza kumkaa sawa baada ya kushuhudua vivyo kadhaa vya watu wanaomzunguka.
Sent using Jamii Forums mobile app