Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,806
- 4,670
Bibi bomba wetu hawezi kabisa kujieleza,amejikanyaga sana kwenye press conference...ndo mana akaamua kutumia kifaransa broken ili wadanganyika tumbwelembwele...Ila kwenye press wadanganyika wamemchanganya kabisa na maswali ya kiswahili...I wonder wangemulliza kwa ngeli nn kingetokea??