brave_3
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 1,186
- 705
nafikili hili swala BASATA wanatakiwa waingilie kati. kama wakikaa kimya basi hakuna haja ya kuwa na chombo kama hiki Tanzania. Kama BASATA lime weza kuwa angalia wasanii wanao vaa miligezo na video zisizo na maadili wanazifungia. sasa kwanini swala hili wamelinyamazia?