Album "Air Weusi" ya WEUSI ni utopolo, tumepigwa mchana kweupe

Album "Air Weusi" ya WEUSI ni utopolo, tumepigwa mchana kweupe

Ncha Kali

JF-Expert Member
Joined
Sep 19, 2019
Posts
15,335
Reaction score
29,114
Ndugu zangu, hasa wale wapenda mziki mzuri.

Njooni hapa tusaidiane kushangaa, tumewakosea nini Weusi? Au ni mimi ndo nimezeeka? Au matarajio makubwa kutokana na majina yao?

Mimi naona ni kelele tu kama za watoto fulani hivi wasiojulikana, hamna KITU pale tumepigwa.

Weusi kuweni siriazi, JIPANGENI.
 
Mpaka sasa Album zangu bora kutoka mwaka jana mpaka sasa kwa bongo

1.Slave becomes a king -Darassa
2.Slaves becomes a king - Darassa
3.Slaves becimes a king -Darassa
4.Sound of afrika -Rayvanny
5.Afro east -Harmonize
6.Definition of love - Mbosso
 
Mpaka sasa Album zangu bora kutoka mwaka jana mpaka sasa kwa bongo

1.Slave becomes a king -Darassa
2.Slaves becomes a king - Darassa
3.Slaves becimes a king -Darassa
4.Sound of afrika -Rayvanny
5.Afro east -Harmonize
6.Definition of love - Mbosso
Albums bora za wakati wote

1.Nitakufaje King crazy GK
2.Machozi lady Lady Jay
3.aka Mimi Albert Mangwea
4.machozi jasho na damu prof jay
5.binamu mwanafa
6.ugari juma Nature
7.J.O.S.E.P.H. prof jay
8.mtoto wa tandale diamond
9.slave become a king
10. mandojo na domokaya
 
Albums bora za wakati wote

1.Nitakufaje King crazy GK
2.Machozi lady Lady Jay
3.aka Mimi Albert Mangwea
4.machozi jasho na damu prof jay
5.binamu mwanafa
6.ugari juma Nature
7.J.O.S.E.P.H. prof jay
8.mtoto wa tandale diamond
9.slave become a king
10. mandojo na domokaya
A. K.A mimi one of the greatest albums
 
Ndugu zangu, hasa wale wapenda mziki mzuri.

Njooni hapa tusaidiane kushangaa, tumewakosea nini Weusi? Au ni mimi ndo nimezeeka? Au matarajio makubwa kutokana na majina yao?

Mimi naona ni kelele tu kama za watoto fulani hivi wasiojulikana, hamna KITU pale tumepigwa.

Weusi kuweni siriazi, JIPANGENI.
Mayai mawili ni MBUPU.
 
Mpaka sasa Album zangu bora kutoka mwaka jana mpaka sasa kwa bongo

1.Slave becomes a king -Darassa
2.Slaves becomes a king - Darassa
3.Slaves becimes a king -Darassa
4.Sound of afrika -Rayvanny
5.Afro east -Harmonize
6.Definition of love - Mbosso
ebu kuwa serious mkuu album ya darassa mbona utumbo mtupu
album nzima anaimba style moja
 
Back
Top Bottom