Album "Air Weusi" ya WEUSI ni utopolo, tumepigwa mchana kweupe

Album "Air Weusi" ya WEUSI ni utopolo, tumepigwa mchana kweupe

Ukiona kitu hakijakupendeza ujue hakiko kwa ajili yakok
Tutolee mfano ngoma inayochana mawimbi billboard ni drivers license mchukue mtu wa kawaida muulize ile ngoma ina uzuri gani sidhani kama majibu utayapenda
Haya kuna huyu msanii wanamuita the jmosi na jpili a.k.a the weekend anatrend sana kwa sasa ila tafuta raia umuulize kuhusu the weekend atakwambia hana chochote cha kutisha amini ya kuwa kila shetani na mbuyu wake
Kwangu mimi nnawapongeza weusi kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kutuletea mziki mzuri nimeipakua album nzima kupitia audio mack na mda nikiwa niko na bando kama ngoma inavyodai nnaingia spotify kustream atleast niwape company wanangu wa mabongonyoo daraja bela kwa mamaake nikki mdogo wakee jonii


Ahsante nnawasilisha
Haitwi the weekend, ni The Weeknd.
Halafu muombe msamaha huyo jamaa.
Wajukuu zangu wakiniuliza ni akina nani walikuwa watoto wa Michael Jackson, nitawataja The Weeknd na Bruno Mars.
 
Hapana Darassa sio Mbahatishaji mkuu...

Mfano kwangu mimi naona hizi ni hits song zake

Kama utanipenda - Darassa ft Rich mavoko
Sikati Tamaa - darassa x ben pol
I like it ft sho madjozi
Muziki ft ben pol
Proud of you ft alikiba

Kwako wewe ni zipi?

Kilichopo hapo ni nyimbo gani unapenda ipi huipendi... so ni mapendeleo ya mtu tu!
Hapo nyimbo ni; sikati tamaa, kama utanipenda na maisha na muziki ambao ulibebwa na hype. Huo like it, sho madjozi anabweka kama mbwa kapigwa jiwe......
 
Haitwi the weekend, ni The Weeknd.
Halafu muombe msamaha huyo jamaa.
Wajukuu zangu wakiniuliza ni akina nani walikuwa watoto wa Michael Jackson, nitawataja The Weend na Bruno Mars.

The weend ndio msanii gani?! Au na wewe ndio wale wale ujuaji mwingi alafu kichwani umebeba kapu la funza?!

Watakukuta au utakuwa ushakufa kwa ugumu wa maisha?!
 
Albums bora za wakati wote

1.Nitakufaje King crazy GK
2.Machozi lady Lady Jay
3.aka Mimi Albert Mangwea
4.machozi jasho na damu prof jay
5.binamu mwanafa
6.ugari juma Nature
7.J.O.S.E.P.H. prof jay
8.mtoto wa tandale diamond
9.slave become a king
10. mandojo na domokaya
Umesahau Album za
Wachuja nafaka
Wagosi wa kaya
 
Mpaka sasa Album zangu bora kutoka mwaka jana mpaka sasa kwa bongo

1.Slave becomes a king -Darassa
2.Slaves becomes a king - Darassa
3.Slaves becimes a king -Darassa
4.Sound of afrika -Rayvanny
5.Afro east -Harmonize
6.Definition of love - Mbosso

1 mpaka 3 sawa kuanzia mpaka 6 hamna album hapo ni mkusanyiko wa nyimbo tu album gani hazina theme
 
Huyu jamaaa
IMG_4343.jpg
 
A.k.A Mimi
Soga za mzawa
Machozi Jasho na damu
Ulimwengu ndo Mama
Wachuja nafaka
Funga kazi 2000
Nini Chanzo
Deiwaka
Elimu Dunia
Machozi
Huo ni mfano wa kipindi ambacho kulikua na albums,kipindi hiki kuna collection ya hit songs,hakuna albums.
 
Hii album ni mbovu sana, ni mbovu zaidi ya utopolo wenyewe.

Niliacha kuwasikiliza weusi kitambo kidogo ila baada ya kusikia wametoa album nikawapa benefit of the doubt; nikaishia kujilaumu kwa kupotezewa muda tu.

Weusi wanaimba kitu ninachoita baby rhymes yani mistari ya kitoto sana. Hawaeleweki, hakuna mpangilio na beats nazo ni mbovu. Album lazima iwe na theme na cohesion kitu ambacho hakipo kabisa kwenye hii album yao.

Joh Makini ndo rapper ambaye inawezekana alifikia peak na kushuka haraka kuliko rapper mwingine yeyote yule duniani. Ukimsikiliza Joh wa niaje ni vp, kilimanjaro, blue magic, chochote popote, higher, show za joh, everytime na huyu wa hii miaka ya karibuni tofauti yao ni mbngu na ardhi.
 
Hii album ni mbovu sana, ni mbovu zaidi ya utopolo wenyewe.

Niliacha kuwasikiliza weusi kitambo kidogo ila baada ya kusikia wametoa album nikawapa benefit of the doubt; nikaishia kujilaumu kwa kupotezewa muda tu.

Weusi wanaimba kitu ninachoita baby rhymes yani mistari ya kitoto sana. Hawaeleweki, hakuna mpangilio na beats nazo ni mbovu. Album lazima iwe na theme na cohesion kitu ambacho hakipo kabisa kwenye hii album yao.

Joh Makini ndo rapper ambaye inawezekana alifikia peak na kushuka haraka kuliko rapper mwingine yeyote yule duniani. Ukimsikiliza Joh wa niaje ni vp, kilimanjaro, blue magic, chochote popote, higher, show za joh, everytime na huyu wa hii miaka ya karibuni tofauti yao ni mbngu na ardhi.

Unajua kwa nini media kama mawingu zinawapa sifa mwisho wa siku wanaropoka mitandaoni wakijiona wanajua kumbe vilaza
 
Unajua kwa nini media kama mawingu zinawapa sifa mwisho wa siku wanaropoka mitandaoni wakijiona wanajua kumbe vilaza

Sijui mkuu sijui nini kinaendelea redioni.
 
“WEHU - SI - SISI”.......kikosi kazi
Hao jamaa ni wazinguaji kitambo tu.Joh aliacha kufanya muziki zamaani,Lord Eyez mnako nafikiri alistaafu game,huyu wa sasa wa kichina,G nako nafikiri anafanya genre tofauti na anayitakiwa kufanya na yule “msomi” nadhani aendelee kutafiti tu kama Dubai huwa wanafanya uchaguzi au vipi.
MIZINGUO TU
 
Je, tuwaambie ukweli au tuwaache tu?

Kwa maoni yangu tuwaache tu, wanajifanya wajuaji mno kumbe walishapotea kitambo.... Bahati yao I got respect for Watengwa na Vato!

The so called msomi wa shahada sijajua amesoma nini.!
 
Kama humtii wanamtia wengine" Bando" ww unatumia mmoja wenzako wanatumia miwil " Bando' , najisikia kufakufa wapi ufufuo"bando'....hili dude linaitwa penzi LA bando nalikubali sana

Nakula hiyo pini hapa
 
Back
Top Bottom