Album "Air Weusi" ya WEUSI ni utopolo, tumepigwa mchana kweupe

Album "Air Weusi" ya WEUSI ni utopolo, tumepigwa mchana kweupe

Producer Goncha kawanyongea bonge la beat,wenyewe wameishia kuweka maneno ya hovyo huku nikkwapili akirap kiwaki..

Weusi wanazingua.
Na G nako kawa overrated ngoma nzima anapayuka tu hamna lyrical

Aliposimamishwa kama jaji kwenye talents za UNI Nilikua namshangaa sana akiwatoa makosa madogo ilihali ye mwenyewe anahitaji msimamizi
 
ebu kuwa serious mkuu album ya darassa mbona utumbo mtupu
album nzima anaimba style moja
Darassa ni mbahatishaji, ni msanii mzuri ila amekosa creativity ukitaka kugundua hilo cheki ngoma yake ya maisha na mziki

Hiyo ngoma ndio inaonesha namna gani jamii ni mbahatishaji na hana ubunifu, mfululizo wa ngoma zilizofata baada ya maisha na mziki zote ziko katika mtindo huo huo 'flow moja, style moja, na beat linaloendana

Darasa alikuwa vizuri sana kipindi cha nyuma alikuwa akitoa single inakuwa imekidhi vigezo, sio hiki kipindi ambapo hana lyrical mpaka mbishi akamchana "Darasa bila elimu mambo ni bampa to bampa"
 
Sophia George
Mill vanilli
Black boxer
Kci n Jojo
Alpha blonde
Dah!! Sophia George.. Tape No 23 kwenye Library ya msure enzi hizo... " jamani sukari mbele" nilikua naimba hivyo sijui huo wimbo unaitwaje niutafute tena.
 
Darassa ni mbahatishaji, ni msanii mzuri ila amekosa creativity ukitaka kugundua hilo cheki ngoma yake ya maisha na mziki

Hiyo ngoma ndio inaonesha namna gani jamii ni mbahatishaji na hana ubunifu, mfululizo wa ngoma zilizofata baada ya maisha na mziki zote ziko katika mtindo huo huo 'flow moja, style moja, na beat linaloendana

Darasa alikuwa vizuri sana kipindi cha nyuma alikuwa akitoa single inakuwa imekidhi vigezo, sio hiki kipindi ambapo hana lyrical mpaka mbishi akamchana "Darasa bila elimu mambo ni bampa to bampa"
Nakuelewa kwa mfano huo... darasa kabadilishwa na maisha na mziki... kabaki na muendelezo wa verse zilezile yaani ni sawa ana verse kumi azigawe mara mbili atafute beat na chorus aseme ana nyimbo tano.

But pamoja na hayo album yake inasikilizika kutokana na ina rdha nzuri katika aliowashirikisha bila hivyo tusingejua hata jina la hiyo album..

Kwangu nyimbo zake bora ni Zile za kabla ya maisha na muziki na maisha na muziki yenyewe. Huku kwingine sipo sana na yeye.
 
Darassa ni mbahatishaji, ni msanii mzuri ila amekosa creativity ukitaka kugundua hilo cheki ngoma yake ya maisha na mziki

Hiyo ngoma ndio inaonesha namna gani jamii ni mbahatishaji na hana ubunifu, mfululizo wa ngoma zilizofata baada ya maisha na mziki zote ziko katika mtindo huo huo 'flow moja, style moja, na beat linaloendana

Darasa alikuwa vizuri sana kipindi cha nyuma alikuwa akitoa single inakuwa imekidhi vigezo, sio hiki kipindi ambapo hana lyrical mpaka mbishi akamchana "Darasa bila elimu mambo ni bampa to bampa"
amepoteza ubunifu kabisa
 
Umekosea Mimi sio uliye mtaja. Inaonekana una chuki binafsi na weusi na yamezekana airweusi hujaiskia Ila ushabiki umekujaa

Tutajie wimbo mkali kwenye album nzima, hata beat kali ya Mbupu wameinajisi bila haya!
 
Kipindi cha nyuma alikuwa akitoa single inakuwa imekidhi vigezo, sio hiki kipindi ambapo hana lyrical mpaka mbishi akamchana "Darasa bila elimu mambo ni bampa to bampa"
Hiphop imeokoa maisha yangu Lupe Fiasco, Achia njia Darassa wahuni tuje ki-hardcore!
 
Back
Top Bottom