michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,915
Nick wa Pili ??
Kivipi Nikki wa Pili, wa Kwanza haijulikani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nick wa Pili ??
Sikiliza bwana Nikki wa Pili, ile ni album mbovu kwa kipindi hiki cha miaka mitano ya Magufuli, ukweli ni lazima useme ili wakati ujao mtengeneze ngoma nzuri. Album ni mbovu mno, nyimbo zote tuna forward tu
Anajiita hivyo yeye, sasa wewe unanihoji mimi ??!!🙂Kivipi Nikki wa Pili, wa Kwanza haijulikani?
mzee the weeknd umeanza kumsikilza lini Hadi useme Sasa hivi ndio anatrend?Ukiona kitu hakijakupendeza ujue hakiko kwa ajili yakok
Tutolee mfano ngoma inayochana mawimbi billboard ni drivers license mchukue mtu wa kawaida muulize ile ngoma ina uzuri gani sidhani kama majibu utayapenda
Haya kuna huyu msanii wanamuita the jmosi na jpili a.k.a the weekend anatrend sana kwa sasa ila tafuta raia umuulize kuhusu the weekend atakwambia hana chochote cha kutisha amini ya kuwa kila shetani na mbuyu wake
Kwangu mimi nnawapongeza weusi kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kutuletea mziki mzuri nimeipakua album nzima kupitia audio mack na mda nikiwa niko na bando kama ngoma inavyodai nnaingia spotify kustream atleast niwape company wanangu wa mabongonyoo daraja bela kwa mamaake nikki mdogo wakee jonii
Ahsante nnawasilisha
Kumbe Ni Nikki anajipigia pande[emoji2]Sikiliza bwana Nikki wa Pili, ile ni album mbovu kwa kipindi hiki cha miaka mitano ya Magufuli, ukweli ni lazima useme ili wakati ujao mtengeneze ngoma nzuri. Album ni mbovu mno, nyimbo zote tuna forward tu
hujaelewa, hiyo Ni line ya wimbo wa Nikki Mbishi[emoji2]Anajiita hivyo yeye, sasa wewe unanihoji mimi ??!![emoji846]
sanaTangu zamani?
Ya Mwana FA haikua inaitwa 'Toleo Lijalo'?Albums bora za wakati wote
1.Nitakufaje King crazy GK
2.Machozi lady Lady Jay
3.aka Mimi Albert Mangwea
4.machozi jasho na damu prof jay
5.binamu mwanafa
6.ugari juma Nature
7.J.O.S.E.P.H. prof jay
8.mtoto wa tandale diamond
9.slave become a king
10. mandojo na domokaya
Umetaja albam kali umeisahau moja tu ya B Love M yenye wimbo wa Nimekuchagua WeweAlbums bora za wakati wote
1.Nitakufaje King crazy GK
2.Machozi lady Lady Jay
3.aka Mimi Albert Mangwea
4.machozi jasho na damu prof jay
5.binamu mwanafa
6.ugari juma Nature
7.J.O.S.E.P.H. prof jay
8.mtoto wa tandale diamond
9.slave become a king
10. mandojo na domokaya
Hiyo number 9 huwezi kulinganisha album ya Afande ,Watu poli,Solo Thangs,Mwana Fa,Jay Mo na historia ya Juma nature,bado Ferooz yaani hiyo album ya Darasa labda kuanzia 30 huko.Albums bora za wakati wote
1.Nitakufaje King crazy GK
2.Machozi lady Lady Jay
3.aka Mimi Albert Mangwea
4.machozi jasho na damu prof jay
5.binamu mwanafa
6.ugari juma Nature
7.J.O.S.E.P.H. prof jay
8.mtoto wa tandale diamond
9.slave become a king
10. mandojo na domokaya
Kuna ile ameimba na King Kiba nayo kali sanaMimi napenda ule alioimba na marioo na nandy... Nyingine siskilizag maana anaimba same style kwenye beat tofauti
Mpaka sasa Album zangu bora kutoka mwaka jana mpaka sasa kwa bongo
1.Slave becomes a king -Darassa
2.Slaves becomes a king - Darassa
3.Slaves becimes a king -Darassa
4.Sound of afrika -Rayvanny
5.Afro east -Harmonize
6.Definition of love - Mbosso
Bonge moja ya Album,Mara ya mwisho kununua Album ilikua ni ya Daz Nundaz.
Acheni Mambo zenu albam ya weusi ni Kali. Acheni roho mbaya
Kama humtii wanamtia wengine" Bando" ww unatumia mmoja wenzako wanatumia miwil " Bando' , najisikia kufakufa wapi ufufuo"bando'....hili dude linaitwa penzi LA bando nalikubali sana