Album ya Harmonize yafutwa YouTube & Boomplay

Promo nyingi lakini cha maana àĺichokifanya hakuna ana team kubwa ya watu ambayo vichwani ni zero kazi kupiga umbea tu ikiongozwa na H baba.
 
Dah wabongo mnaongea sana....nimeifuta makusudi ili mnunue cd ambazo machinga wangu watakua wanasambaza very soon..endeleeni kusapoti
 
Hii post yaweza pia kuwa na lengo la kuboost views and listens huko YouTube na BoomPlay respectively.
 
Mbina boomplay album bado ipo??


Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
 
Tangu lini sampling ikawa crime kwenye sanaa
Kama wasanii husika walikuwa consulted before the release of Konde's album.
 
Ukisample lazima pate kibari toka kwa mtunzi na mwenye rekodi kisha ulipie royalities. Kama hakufuata hili itamcost.. sema dogo ana majanga hadi namuonea huruma ila anapambana
On the way to the top vikwazo huwa haviishi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…