Alcohol drinkers special thread

Mimi cjuagi kwa nn napenda kunywa bia pale dukan au kwenye kile kigrosari cha yule bi mkubwa kwenye meza 2 wakati jirani tu kuna baa ya maana!
Iyo inaitwaga Street vibez!
Ila sio siri ukiona unaingia baa za uchochoroni au chimbo unapenda kujificha au ww ni mchoyo
 
Iyo inaitwaga Street vibez!
Ila sio siri ukiona unaingia baa za uchochoroni au chimbo unapenda kujificha au ww ni mchoyo
Mbona tunakuwaga washkaji kibao na tena pako barabarani wazi,ila washkaji wakule bar tunakuwaga nao huko ila mara chache sana!
 
Mimi cjuagi kwa nn napenda kunywa bia pale dukan au kwenye kile kigrosari cha yule bi mkubwa kwenye meza 2 wakati jirani tu kuna baa ya maana!
Hizo ndio zangu pia mkuu..na wanywaji wa bia nyingi zao ndio hizo
 
Nimeamka natafuta chochote kitu cha kunywa ndani hamna..kumbe jana nimekomba vyote daaaah
 
Tunashusha faru John taratibu na wananguh, tunatoa baridi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…