Alexander Mnyeti amepata wapi utajiri wa kuinunua TCC CLUB ya Chang'ombe?

Kuna mahali inakatazwa kitajirika ndani ya mida mfupi?
 
Watu wanaunganisha matukio.

Mnyeti na Sabaya ndio watu wa kwanza kujihusisha na biashara ya madiwani na wabunge.

Vile vile Mnyeti alikuwa Manyara, kwenye Tanzanite. Huko wa Magu walikuwa wanajibebea tu.
Jana nilikutana na mtu mmoja mwenyeji was Manyara....sikujua kuwa U Dc na U RC Mkoa kama MANYARA ni Lulu...!
 
Hata kwa Sabaya nami nilikuwa kama unavyo hisi..ila nilikuja amini muda ni hakimu.
Kuwa na subira boss,hawa vijana wa magufuli tuliwaamini lakinikumbe nyuma ya pazia ni washenzi tu
 
Watu wanaunganisha matukio.

Mnyeti na Sabaya ndio watu wa kwanza kujihusisha na biashara ya madiwani na wabunge.

Vile vile Mnyeti alikuwa Manyara, kwenye Tanzanite. Huko wa Magu walikuwa wanajibebea tu.
endeleeni kuunganisha tu huku yenu yakizidi kutengana.
 
Watu wanaunganisha matukio.

Mnyeti na Sabaya ndio watu wa kwanza kujihusisha na biashara ya madiwani na wabunge.

Vile vile Mnyeti alikuwa Manyara, kwenye Tanzanite. Huko wa Magu walikuwa wanajibebea tu.
Unachamba kuliko Asha Boko
 
Jana nilikutana na mtu mmoja mwenyeji was Manyara....sikujua kuwa U Dc na U RC Mkoa kama MANYARA ni Lulu...!
Manyara ni hot keki. Imagine Samia mwenyewe alisema, wakiyaona madini ndio yanaoneshwa wasipoyaona yanaibwa tu ingawa waliweka wanajeshi. Kwanza Magu genge lake lote aliliweka sehemu nzuri nzuri ili waibe, hakuna cycle ya Magu yoyote ambaye bado masikini.
 
Yaani mtu kama ana tuhuma asichunguzwe kwa sababu atawapa kiki CHADEMA? Hii akili ya wapi hii. Mmejimilikisha nchi sasa?
 
Kupata pesa kwa muda mfupi hiyo inawezekana kwenye ulimwengu wa teknolojia.....
tusiishi maisha ya zamani sana....!
Sio vibaya akahojiwa atoe maelezo
 
Hapa naona kama kuna ukweli. Vijana wa Magu wote matajiri kwa sasa
 
Ache kiherehere subiri kama ni kweli tume ifanye kazi yake zaidi ya hapo utakuwa hutendi haki
 
Wivu wa kike,angejenga kilimanjaro wala hizi kelele huwezi sikia
 
Kwani akiwa tajiri Kuna shida gani,si atawekeza hapa hapa tu.au nasema uongo jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…