Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #41
Kwanini unadhani siwezi kuwa na jibu ? wabongo wengi bado mnaamini kwenye wizi , ushirikina , kuweka misukule watoto wenu au mama zenu na kutembea na mifupa ya Albino ili mtajirike , bali wako matajiri wa halali nikiwemo mimiHawezi kuwa na jibu huyo. Matajiri wengi ni wevi wakwepa kodi
mnyeti hajawahi kuwa tajiri, ni fisadi kwa kusaidiwa na mekoMasikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Mbona unaongea ushubwada ufisadi ni njia moja wapo ya kuwa tajirimnyeti hajawahi kuwa tajiri, ni fisadi kwa kusaidiwa na meko
Mkuu johnthebaptist ule uzi wako wa nabii Suguye mbona umefutwa na moderators. Kunani? Ulikuwa unatuingiza mjini?Anafuatilia miradi ya Wanaume
Hatari sana!
Roho ya kimasikini hufurahi matajiri walivyokuwa wakisulubiwa na mungu mtu.Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Haikuongezei wewe kipato maskini mkubwaHuyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .
Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?
Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8
View attachment 2457682
Itaendelea ........
Hapo kwenye picha yeye ni yupi maana wengi hatumjuiHuyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .
Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .
Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?
Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8
View attachment 2457682
Itaendelea ........
Nchi ya hovyo hiiMasikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Umeunganishwa, kuna uzi ulishafunguliwaMkuu johnthebaptist ule uzi wako wa nabii Suguye mbona umefutwa na moderators. Kunani? Ulikuwa unatuingiza mjini?
Ok sawaUmeunganishwa, kuna uzi ulishafunguliwa
Yaani mtu alikuwa mwalimu. Akateuliwa ndani ya miaka 5 akawa bilionea, ndio matajiri mnaowashangilia nyie wafuasi wa Magufuli?Masikini hufurahia kufilisika kwa matajiri!
Pole kwa maumivuHaikuongezei wewe kipato maskini mkubwa
Kama MagufuliTajiri wa halali ni kama nani
Mbona nyie misukule ya jiwe mnamchukia Kikwete na familia yake?Huwezi kufanikiwa maisha yako binafsi kwa kuwachukia waliofanikiwa kwenye maisha yao binafsi
Hii ndo tunasema uchawi wa bila mizizi
Sasa mbona nyie misukule ya jiwe mnaichukia familia ya Kikwete?Mbona unaongea ushubwada ufisadi ni njia moja wapo ya kuwa tajiri
kumbe unajua uaneume wake very nice.Anafuatilia miradi ya Wanaume
Hatari sana!
na siaimiz hata akinenepa vipi hawezi kuwa kama temboTafuta ela, Acha makasiriko, Tafuta elaaaaaa
Tembo hata akikonda vipi, hawez kuwa Sawa na sisimizi
Ndiyo maana nilikupigia kura kuwa member bora kwenye jukwaa hili.Utajiri wa Halali hatuna shida nao , hoja ni ile ile kwanini wafilisike baada ya waliokuwa viongozi kufa ?
Kuwachukia waliofanikiwa kwa njia za wizi ni kiungo muhimu kwa maskni kufanikiwa. Trust me. Kila maskini anatakiwa kuwa na chuki ya hali ya juu kwa mafisadi ili nchi iendelee.Huwezi kufanikiwa maisha yako binafsi kwa kuwachukia waliofanikiwa kwenye maisha yao binafsi
Hii ndo tunasema uchawi wa bila mizizi