Alexander Mnyeti Maji ya Shingo, miradi yake yaanza kufa mmoja baada ya mwingine

Alexander Mnyeti Maji ya Shingo, miradi yake yaanza kufa mmoja baada ya mwingine

Huwezi kufanikiwa maisha yako binafsi kwa kuwachukia waliofanikiwa kwenye maisha yao binafsi

Hii ndo tunasema uchawi wa bila mizizi
Hivi unamfaham mleta mada?. Ni kati ya mabilionea bongo. Ni billionaire mstaarab hana ngebe na sifa za kijinga. Kaajiri watu 300 wote na familia na koo zao wanaenda chooni na kubadilisha rangi ya mavi kwa ajili yake.
 
Huyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .

Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .

Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?

Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8

View attachment 2457682

Itaendelea ........
Balaza la mawaziri likifumuliwa vizuri huenda Singida Big Stars na namongo fc zikafa
 
kilichotokea uwanja wa gwambina umefungiwa hivyo kuwalazimu timu kutafuta uwanja sehemu nyingine na kupelekea gharama kupanda

sio porojo unazo sema
 
Magufuli alitengeneza matajiri wa kishamba sana wasukumasukuma flan ambao hawana exposure wakaanza kuchezea hela na kutoa conclusive statents kuhusu masuala ya nchi hii ambazo hazina utafiti.

Mfano: wazungu wametengeneza corona ili kutumaliza watu weusi
 
Yeremia 17 : 5-8
Namnukuu;

".....5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA. 6 Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. 7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea BWANA, Ambaye BWANA ni tumaini lake. 8 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda...."

YEREMIAH 17:5 - 8


That's means, Mnyeti aliishi kwa kumtegemea mtu na haya yanayomtokea ni matokeo yake maana tegemeo lake (mwanadamu) aitwaye Magufuli hayupo tena..

Si huyu tu. Wako wengi mno. Mfano yupo mwingine maarufu sana wakati ule kwa matendo maovu na ya kikatili tena kijana mdogo sana anaitwa Ole Lengai Sabaya, naye kosa hili la kuishi kwa kumtegemea mtu/mwanadamu kama kiini cha uhai wake kifedha na kimwili linamtafuna kwelikweli...

Na yupo mwingine vilevile maarufu sana nyakati hizo kwa matendo maovu na ya kikatili dhidi ya binadamu wenzake Paul Christian Makonda a.k.a Albert Bashite naye anacheza kwenye moto huu huu kwa kosa la kumtegemea binadamu kama kiini cha uhai wake kifedha na kimwili...
 
Ungeuliza baada ya Magufuli kutaka kumuua Lissu, sasa yuko kwenye hali gani? Mungu hadhihakiwi. Mshenzi alikuwa anajifanya mtu wa Mungu, kila siku analazimisha kupewa nafasi ya kuhubiria madhabahuni, kumbe ni muuaji!
Kaka yake mbowe alikufa pia
 
Huyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na uhusiano wa Kindugu na John Magufuli aliyekuwa Rais wa Tanzania .

Mnyeti aliokotwa kutoka kwenye ualimu na kupewa Ukuu wa Wilaya , ghafla akaanza kuwa Tajiri wa kutupwa na dharau na kejeli vikamwingia ( ulevi wa madaraka ) , akapandishwa cheo na kuwa RC , akaanza kumiliki miradi kadhaa ikiwemo timu ya soka inayoitwa Gwambina , akapewa na TCC CLUB na kuiita Gwambina , ili ajenge hostel kwa ajili ya timu yake , akajenga na uwanja wa soka , yaani RC anajenga uwanja wa soka ambao Taasisi nyingi za nchi hii hazina , alikopata hela anajua mwenyewe , japo inadaiwa alikuwa na kolabo na mkubwa kwenye mashimo ya madini (tetesi) , kukawa na mpango wa kupewa Uwaziri , ikabidi kwanza aanzie kwenye ubunge wa Misungwi , wapinzani wakahujumiwa , akapita bila kupingwa .

Waswahili wanasema ukiona ngedere mjini basi ufahamu kwamba kafugwa , mfugaji akifa huyo ngedere atarudi mwituni au atakufa njaa , Sasa kwa kufupisha ni kwamba , Timu ya soka ya Gwambina inayomiliki uwanja wake , ambayo ni Mali ya Mnyeti ,
sasa IMEJIONDOA KWENYE CHAMPIONSHIP kwa kile kinachodaiwa ni kuelemewa na gharama za uendeshaji , Yaani baada ya Magufuli kufa Mnyeti anashindwa kuendesha Timu ! Hivi mnanielewa lakini jamani ?

Neno la leo linatoka kwenye kitabu cha YEREMIA 17 : 5-8

View attachment 2457682

Itaendelea ........
tafuta hela , mnyeti sio wa kufilisika Leo Wala kesho,gwambina wamekataa kucheza home match away wakati wanao uwanja , na umefungiwa Kwa makusudi,usijiingize kwenye vitu usivyovijua , tafuta Hela utapunguza makasiriko Kwa wenye Hela. Lema Godbless alisema masikini hawezi kutajirika Kwa kuchukia matajiri.
 
Namnukuu;

".....5 Bwana asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu, Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA. 6 Maana atakuwa kama fukara nyikani, Hataona yatakapotokea mema; Bali atakaa jangwani palipo ukame, Katika nchi ya chumvi isiyokaliwa na watu. 7 Amebarikiwa mtu yule anayemtegemea BWANA, Ambaye BWANA ni tumaini lake. 8 Maana atakuwa kama mti uliopandwa kando ya maji, Uenezao mizizi yake karibu na mto; Hautaona hofu wakati wa hari ujapo, Bali jani lake litakuwa bichi; Wala hautahangaika mwaka wa uchache wa mvua, Wala hautaacha kuzaa matunda...."

YEREMIAH 17:5 - 8


That's means, Mnyeti aliishi kwa kumtegemea mtu na haya yanayomtokea ni matokeo yake maana tegemeo lake (mwanadamu) aitwaye Magufuli hayupo tena..

Si huyu tu. Wako wengi mno. Mfano yupo mwingine maarufu sana wakati ule kwa matendo maovu na ya kikatili tena kijana mdogo sana anaitwa Ole Lengai Sabaya, naye kosa hili la kuishi kwa kumtegemea mtu/mwanadamu kama kiini cha uhai wake kifedha na kimwili linamtafuna kwelikweli...

Na yupo mwingine vilevile maarufu sana nyakati hizo kwa matendo maovu na ya kikatili dhidi ya binadamu wenzake Paul Christian Makonda a.k.a Albert Bashite naye anacheza kwenye moto huu huu kwa kosa la kumtegemea binadamu kama kiini cha uhai wake kifedha na kimwili...
Hakuna aliyeishi kwa kumtegemea mtu isipokuwa mifumo ya kazi iliwalazimu kutegemeana.

Lakini wao walichofanya ni kutimiza wajibu wao kulingana na wakati waliokuwa nao. Kama uliona wamekugonga kwa namna moja au nyingine basi ilikuwa sehemu ya utendaji wao.

Hata Magufuli kilichombeba 2015 ni rekodi ya utendaji wake pamoja na kutofautiana na baadhi ya watu alipokuwa akitimiza wajibu wake kama waziri.

Usipotimiza wajibu utaitwa dhaifu kama mnavyomuita huyu mama kwa sasa kwa staili yake ya nendeni mkalitizame na ukitimiza wajibu utaitwa dikteta. Sasa kazi kwako.
 
Kaka yake mbowe alikufa pia
Hata aliyekuwa mfadhili wa chadema mzee ndesamburo alikufa. Na huyu toka afe chadema hawatumii chopa tena maana huyu ndio alikuwa mmiliki na alikuwa anaitoa muda wowote.
 
Back
Top Bottom