Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Nao ZNZ wakiongozwa na Waziri Shamhuna wamekwisha kwenda Zurich yalipo makao makuu ya FIFA wakiomba wawe wanachama huru ili wapeleke timu yao kwenye mashindano ya AFRICA na KOMBE LA DUNIA;wanataka kutambulika kama shirikisho huru la soka na wao!
Waarabu wamekuja Misri karne nyingi sana baada ya Mafirauni kuondoka, Mkuu wewe google tu kama una shaka.Junius;
Naoma ufafanuzi wako,wale Mafirauni wa Misri ya kale ina maana hawakuwa waarab?
haya wewe mwenye elimu twambie huo uhusiano wa waarabu na mafirauni?anakurupuka tu shauri ya ilimu yake kuwa ya magumashi, hajui hata analoliongea huyu
wewe nawe unaongea nini? kwa kuwa waafria ndiyo kuliwanyima kuwa waarabu kwa utaifa? nyie ni vipi? nani kawambia kuwa uarabu ni weupe?Mafirauni wa kale walikuwa waafrika weusi ndugu yangu Anyisile obheli, soma historia usiseme usiyoyajua.
hizo ni elimu zenu za michenzani tuWaarabu wamekuja Misri karne nyingi sana baada ya Mafirauni kuondoka, Mkuu wewe google tu kama una shaka.
haya wewe mwenye elimu twambie huo uhusiano wa waarabu na mafirauni?
hizo ni elimu zenu za michenzani tu
...nani kawambia kuwa uarabu ni weupe?
Mkuu huyu 'mlokole' atakusumbuwa, muulize habari za misukule atamwaga razi sasa ivi hapa...historia wapi na wapi!!Anyisile unajua historia wewe? mafirauni walikuwa waafrika weusi, niambie waarabu walivamia mwaka gani misri na mafirao walianza mwaka gani.Bila shaka hujui na sitashngaa kwamba hujui.
Jibu sasa hivi , waarabu walivamia misri mwaka gani?
himaya za mafirauni zilianza mwaka gani?
Mtabishaana na mshindi hapatikani! Turudi kwenye sehemu ya msingi Tanzania 1- 1 Algeria... Kazi wakija kwetu...
Mkuu karibu tena ututabirie mchezo unaofuata maana naona uko makini kwelikweli.
Mkuu karibu tena ututabirie mchezo unaofuata maana naona uko makini kwelikweli.
Duuh!huyu refa atakuwa na kadi ya ccm huyu ana kila dalili ya ufisadi
Mkuu karibu tena ututabirie mchezo unaofuata maana naona uko makini kwelikweli.