Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Nao ZNZ wakiongozwa na Waziri Shamhuna wamekwisha kwenda Zurich yalipo makao makuu ya FIFA wakiomba wawe wanachama huru ili wapeleke timu yao kwenye mashindano ya AFRICA na KOMBE LA DUNIA;wanataka kutambulika kama shirikisho huru la soka na wao!
sasa kama na mikoa inataka kuomba uanachama fifa hii sasa ni baraaa kubwa, basi na mwanza nao waombe tehe tehe heeeeeee