Algeria vs taifa stars

Algeria vs taifa stars

Lol Dk ya 70 Algeria 1 Tanzania 1. Tuombe Mungu japo tutoe draw
 
Yes, Danny anatoka ni kweli alionyesha kucho sana...
 
Acid huko ulipo ndo kumekucha nini?! au mtandao nao mashaka!! hapo bolded unamaanisha draw au?
senator... u have made my day, huku saa hii usiku ndo natoka chadibwa... dronu si ndio droo aisee, umesahahu chandimu?
 
Kwa kweli golikipa ni mzuri. Ila tu waliomo ndani ya uwanja wanaonekana kuchanganyikiwa. wanapiga tu mipira ilimradi kupiga
 
Hii one touch pass wanayoitumia waarabu inaweza kutumaliza kabisa
 
dakika ya 80 hapa bado ngoma ipo nare nare...ila starz wametulia na wacheza kama timu...namsifu nyanda kwa juhudi zake..
 
Tanzania haijapiga kona yoyote hadi sasa dakika ya 80

watangazaji wanatoa wasifu wa ngassa kuwa anchezea azm ila alikuwa yanga, mji mkuu wetu ni dodoma na ndo kunapatikana mlima kilimanjaro

asanteni kwa kutuendelezea utalii
 
hee, hivi humo uwanjani kuna referee au kivuli? yaani mpira umetoka kabisa ukarudishwa uwanjani ukaendea
 
wrabu wamechemsha sasa wanaanza ugomvi, ingekua mbongo pale red card
 
Back
Top Bottom