Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,174
- 3,804
Soma ulichoandika paleUkristo mzee usiwe kama hauna point.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma ulichoandika paleUkristo mzee usiwe kama hauna point.
Haijakishi upo dini gani,binadam wote tunataka majibu ya matatizo yetu,pesa,umaskini,ajira,magonjwa,tu,akipatikana mtu wa kutupa au kutuaminisha jinsi ya kuyatatua,tutamfata.Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza.
Itoshe tu kusema haya yote yanathibitisha kazi njema anayofanya Nabii na Mtume Mwamposa.
Yesu ndiye mponyaji!
Wafia dini ya waarabu watakupinga..mwamposa ni habari nyingine kwa hayo mapepo na majini..watu wa pwani wanafunguliwa sana.Nyumba nilikuwa napanga Happ kimar kibo Ni nyumba ya muislamu kulitokea changamoto wa bint ake kurukwa na akili wakt bint anajianda kwenda ujerumani bas wakapamban...
Acha uhafidhina mbona hizo dini zilivuna waumini wa imani za mababu zetu..wacha waendelee kuvuna tu kama dini zingine hazieleweki zimejaa mafundisho ya uongo chuki na utengano..dunia ya sasa watu sio wajinga wanatambua wapi kuna nguvu ya kweli wapi kuna ujinga.Naam sheikh kasema vyema kabisa,kila msikiti,kanisa yasaidie matatizo ya waumini wao,la sivyo hawa tunaowaona kama wasanii wataendelea kuvuna watu wa kutoka kwingine.
Kwani hujui!! au unatafuta line of weakness?Soma ulichoandika pale
😀😀😀mnafurahisha sanaNi kweli hajakosea kuna mwislamu jina ambaye msikiti wala mafunzo hayajui ye amezaliwa tu ktk uislamu
Ukisoma mafunzo (madrasa) huwezi fanya hivyo nakuhakikishia kaulize kote utaambiwa hivi nilivyokwambia
Kwa uislamu kuingia kanisani au kuombewa na mkristo ni kufuru kubwa sana
Alisema kipepeo kilimtoka ukeni nikaona huu sasa ni uchawi nikampotezea sikumuulizq tena..kwamba how kipepeo kitoke huko au mm sina imani. Mm kwakweli acha niamini Mungu anasaidia huko uliko ukisali kwa imani sio lazima kuombewa
Mbona unaongea vitu ambavyo havipo? Umechanganyikiwa au? Au Kurwani ishakuvuruga?Bado mnasubiria mwanzilishi wenu pale england afufuke, wendawazimu wakubwa!! 😂😂😂😂Kaimbeni ila kashakufa
Kwanini mnatumia nguvu sana,kumbadilisha mkristo,ku prove wrong ukristo.?Mwenyezi Mungu alikuwepo
Jibu ni hivi Qur'an yote ilishuka kipindi cha Muhammad,,,,,ilikuja kuandikwa ili ihifadhiwe Kwa maandishi.
Mwenyezi Mungu alikuwepo kabla ya Ulimwengu,,,,,na kupitia Qur'an kakumbusha tena kuwa "Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu"
Kwahiyo huo ushahidi unatosha ingawa unataka kunitoa kwenye reli,,,, kwangu Mimi maadam Mola wangu kasema hivyo basi inatosha kabisa.
Maswali yangu mbona hujibu mkuu?
Najua huna jibu kwasababu ukristo huwa hauna majibu siku zote,,,,ndio maana wanao jielewa husoma Uislamu na kusilimu.
Nimefurahi kujadiliana na wewe,nakiri Kwa dhati kabisa wewe hii mijadala ya kidini unaiweza kwakuwa hauna jazba na unatumia mantiki zaidi.
Kuna watu humu wamenikoti sitawajibu kama jiwe angavu kwakuwa nawajua huwa ni wapuuzi na hukurupuka Tu Kwa jazba,,,,watu kama hao sitapoteza Mda wangu kudili nao.
Much respect kwako Amanitwin
Kwani humjua familia iliyoanzisha Aglican ? Hujitambui Toka kama unataka elimu nikupe!Mbona unaongea vitu ambavyo havipo? Umechanganyikiwa au? Au Kurwani ishakuvuruga?
Anglican ndo ukristo? Kwani Lutheran alianzisha nani? RC alianzisha nani? Sabato alianzisha nani? Kuna vitu huvijui ila unaforce kuviongea ili kutetea upande wako!! Haya siku njema! SalamalekoKwani humjua familia iliyoanzisha Aglican ? Hujitambui Toka kama unataka elimu nikupe!
Alhad nae!! Kuna tofauti kubwa sana kati ya KILINGE na MADHABAHUKama kichwa cha uzi kinavyojieleza.
Itoshe tu kusema haya yote yanathibitisha kazi njema anayofanya Nabii na Mtume Mwamposa.
Yesu ndiye mponyaji!
Lutheran ni martin Luther hujui, sabato waitaly, Rc uingereza vitu kama ivyo utajua wapi kichaa wewe!!Anglican ndo ukristo? Kwani Lutheran alianzisha nani? RC alianzisha nani? Sabato alianzisha nani? Kuna vitu huvijui ila unaforce kuviongea ili kutetea upande wako!! Haya siku njema! Salamaleko
Hata wewe waweza anzisha msikiti wako hakuna shida..ila sidhani kama utamaliza mwaka bila nduguzo kukulipua.Lutheran ni martin Luther hujui, sabato waitaly, Rc uingereza vitu kama ivyo utajua wapi kichaa wewe!!
Kuna tofauti kati ya Muislam na Muumini.Mimi Sina tatizo na uislamu ila waislamu wengi wana unafiki Sana naishi nao muda mwingi sana..
Kuna mtu mmoja akanijibu eti pale kwa mwamposa hakuna muislamu anayeenda hata mmoja wale ni mamluki tu Wala siyo waislamu.Muislamu halali hathubutu kukanyaga kanisani maana ni haram,nikaamua kumpotezea badala ya kubishana
Huyu shehe ndy ameona mbali na ameukubali ukweli kwamba Kuna wamama wengi Sana wa kiislamu wanaenda kwa mwamposa so tyr Kuna tatzo na wao Kama viongozi wa kiislamu na waislamu wote wanapaswa kulitatua..Hizi Mambo za kila linapotokea Jambo wasilolipenda wanasingizia hao siyo' waislamu halitawasaidia hata kidogo'
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kuna wale yesu ni mungu ,Kuna waabudu masanamu, Kuna nyie mnaabdu bikiri maria, Kuna wenye miungu watatu(mungu mwana ,baba na roho mtakatifu).Hata wewe waweza anzisha msikiti wako hakuna shida..ila sidhani kama utamaliza mwaka bila nduguzo kukulipua.
Usilo lijua utengamano huu katika ukristo ndio kasi ya ueneaji wa ukristo duniani..kila entity inayojiengua inakuwa na nguvu sana katika kueneza injili ili kupata washirika.
Hivyo hii hupelekea injili kuenea kwa kasi na wengi kujiunga na ukristo.
Pia kumbuka wote hawa wako chini ya Jina moja lipitalo majina yote Kristo Yesu...awe muuni wa rc..luther..angalcan n.k wote wako chini ya mwamvuli wa Ukristo.
Karibu kesho ukanyage mafuta na kula keki ya upako.
Kila goti narudia tena kila goti litapigwa mbele yake Kristo Yesu.
#MaendeleoHayanaChama
Kwamba Sheikh hataki wanawake wa kiislam waponywe!!?? Au wao ndo wanawaroga?Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza.
Itoshe tu kusema haya yote yanathibitisha kazi njema anayofanya Nabii na Mtume Mwamposa.
Yesu ndiye mponyaji!