Nisiwe mnafiki mimi sina imani na huyu kocha hasa kwa sababu zake za kutokumiata Msuva na Samata kwenye timu ya Taifa hadi wadau walipopaza sauti, tumeuona mchango wa Samata na Msuva.
Leo kama goli lingerudi angemezwa timu ameirudisha nyuma mapema sana dk 25 ni nyingi kwa timu zenye wabunifu huu mtindo wa mwalimu kujilinda kwa kutia mabeki wengi anakosea sana ni vyema timu imeshinda watu hawakuiona tena hayo mapungufu.
Tunakwenda afcon atakutana na Misri au senegal kwa mpango wake ule tunapigwa tu!