Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata media za bongo ni kama hazioni iyo kitummesomewa report na CAG mmeona jinsi kodi zenu zinatafunwa ila hamchukui hatua watu wamebaki kuwa washangiliaji wa maandamano ya kenya.
mmesomewa report na CAG mmeona jinsi kodi zenu zinatafunwa ila hamchukui hatua watu wamebaki kuwa washangiliaji wa maandamano ya kenya.
Bora wenzetu, sisi huku tupo zaidi ya mazezeta.
Serikali ya CCM inaongoza ng’ombe, hakuna raiya atandamana hapa.Kwa ile ripoti ya CAG jana na ule msimamo laini wa Samia baada ya pale, kazi ilibaki kwetu watanzania kuamua kuwaondoa wezi wote na chama chao madarakani, lakini bahati mbaya...
Inawezekana Samia anaujua ujinga wetu ndio maana sasa anatusukumia mizigo ya serikali yake, sababu anatujua "makondoo" hatutafanya chochote!.
Ila US yuko nyuma ya hii kitu,So sad .
mmesomewa report na CAG mmeona jinsi kodi zenu zinatafunwa ila hamchukui hatua watu wamebaki kuwa washangiliaji wa maandamano ya kenya.
Bavicha mwenzako huyo bwashee 😄!mmesomewa report na CAG mmeona jinsi kodi zenu zinatafunwa ila hamchukui hatua watu wamebaki kuwa washangiliaji wa maandamano ya kenya.
Ng'ombe wanalamba asaliSerikali ya CCM inaongoza ng’ombe, hakuna raiya atandamana hapa.
Bavicha mwenzako huyo bwashee 😄!
cc: Daudi MchambuziKushindwa kusoma mabandiko vyema tu.
Nyomi si kuuza sura. Nyomi ni kazi. Kazi kuna kulipa gharama.
Tuwahamasishe watu kwa kazi si kuuza sura.
Kipi usichoelewa hapo chawa wewe au awaye yote?
Wananchi wanaishi kulalamika mitandaoni then next week watasahau wasubiri tukio lingine waliongelee
cc: Daudi Mchambuzi
Huu ni ujumbe wako.Bavicha mwenzako huyo bwashee 😄!
Anza wewe uone- kumtoa Mbowe tu mmeshindwa sembuse serikaliSerikali ya CCM inaongoza ng’ombe, hakuna raiya atandamana hapa.