Alhamisi 1 ya Maandamano imekamilika, Nyomi ni Kazi si kuuza Sura

Alhamisi 1 ya Maandamano imekamilika, Nyomi ni Kazi si kuuza Sura

Kwa ile ripoti ya CAG jana na ule msimamo laini wa Samia baada ya pale, kazi ilibaki kwetu watanzania kuamua kuwaondoa wezi wote na chama chao madarakani, lakini bahati mbaya...

Inawezekana Samia anaujua ujinga wetu ndio maana sasa anatusukumia mizigo ya serikali yake, sababu anatujua "makondoo" hatutafanya chochote!.
Bunge liko wapi, wao ndio wanaoipa pesa serikali na miradi yote hiyo, wanatakiwa kulazimisha na kuwaita wote waliohusika na kuwahoji hadharani waseme pesa imetumikaje, wana report zote za CAG, Takururu na mikataba yote, sijui kwanini hawafanyi kazi yao?
 
Kwa ile ripoti ya CAG jana na ule msimamo laini wa Samia baada ya pale, kazi ilibaki kwetu watanzania kuamua kuwaondoa wezi wote na chama chao madarakani, lakini bahati mbaya...

Inawezekana Samia anaujua ujinga wetu ndio maana sasa anatusukumia mizigo ya serikali yake, sababu anatujua "makondoo" hatutafanya chochote!.
Palikuwa na uzi humu:

Tunapolalama badala ya kuwakomalia wezi wetu
 
Bunge liko wapi, wao ndio wanaoipa pesa serikali na miradi yote hiyo, wanatakiwa kulazimisha na kuwaita wote waliohusika na kuwahoji hadharani waseme pesa imetumikaje, wana report zote za CAG, Takururu na mikataba yote, sijui kwanini hawafanyi kazi yao?

Palikuwa na uzi wenye kuliangazia hilo:

Tunapolalama badala ya kuwakomalia wezi wetu

Zingatia hawa ni wale wale. Hawawezi kuwajibishana.

Hawa ni wa kufurusha.
 
[emoji377]
Screenshot_20230330-202912.jpg
 
Na imagine Yule mashavu CAG ndo angekua wa Kenya baada ya kutoa iyo ripoti ikulu ingetiwa kibiriti
 
Matanzania mengi ni majinga

Hata hawa ni watanzania:



Ukiona vyaelea vimeundwa.

Kwa mawazo kama Yako huoni ni sawa na kutaka kuvuna usipo panda?
 
Waandishi wa habari walikuwa kwenye gari hili:



Tusipende kutaka kuvuna tusipopanda.
 
Ni vizuri sana kwa watanzania kutoandama. Sifa zote njema zinamstahiki Allah. Tunamshukuru Allah kwa amani katika miji yetu.
 
Back
Top Bottom