Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Bunge liko wapi, wao ndio wanaoipa pesa serikali na miradi yote hiyo, wanatakiwa kulazimisha na kuwaita wote waliohusika na kuwahoji hadharani waseme pesa imetumikaje, wana report zote za CAG, Takururu na mikataba yote, sijui kwanini hawafanyi kazi yao?Kwa ile ripoti ya CAG jana na ule msimamo laini wa Samia baada ya pale, kazi ilibaki kwetu watanzania kuamua kuwaondoa wezi wote na chama chao madarakani, lakini bahati mbaya...
Inawezekana Samia anaujua ujinga wetu ndio maana sasa anatusukumia mizigo ya serikali yake, sababu anatujua "makondoo" hatutafanya chochote!.
Palikuwa na uzi humu:Kwa ile ripoti ya CAG jana na ule msimamo laini wa Samia baada ya pale, kazi ilibaki kwetu watanzania kuamua kuwaondoa wezi wote na chama chao madarakani, lakini bahati mbaya...
Inawezekana Samia anaujua ujinga wetu ndio maana sasa anatusukumia mizigo ya serikali yake, sababu anatujua "makondoo" hatutafanya chochote!.
Vipi huko kenya unashangilia upande gani?Anza wewe uone- kumtoa Mbowe tu mmeshindwa sembuse serikali
Bunge liko wapi, wao ndio wanaoipa pesa serikali na miradi yote hiyo, wanatakiwa kulazimisha na kuwaita wote waliohusika na kuwahoji hadharani waseme pesa imetumikaje, wana report zote za CAG, Takururu na mikataba yote, sijui kwanini hawafanyi kazi yao?
Unaopingana na CHADEMA-Kenya KWANZAVipi huko kenya unashangilia upande gani?
Serikali ya CCM inaongoza ng’ombe, hakuna raiya atandamana hapa.
Watanzania hata uhamasishe vipi ni kazi bure.Tofauti yetu nao ni kuwa wenzetu wamehamasishwa vilivyo. Bila hivyo tutasubiri sana dodo kwenye mnazi.
Watanzania hata uhamasishe vipi ni kazi bure.
[emoji377]
Mara ngapi hao raiya wamehamasishwa alafu wakaishiabkujificha majumbani baadaKumtegemea raia kuandamana bila kuhamasishwa vilivyo na bila ya kuwa naye bega kwa bega kuisukuma agenda hiyo mbele, ni sawa na kusubiria dodo chini ya mnazi:
CHADEMA Nyomi si Habari Tena, Tujidhatiti kumaliza Mchecho
Tunapolalama badala ya kuwakomalia wezi wetu
Upo azimio ehh??Unaopingana na CHADEMA-Kenya KWANZA
Media kitambo zipo kwenye payroll ya Mr. Nepi Nauye mtoto wa njeHata media za bongo ni kama hazioni iyo kitu
Ukiona hivyo hawajahamasishwa ya kutosha. Odinga hana watu 1,000 kwenye hili:Mara ngapi hao raiya wamehamasishwa alafu wakaishiabkujificha majumbani baada
Ya mikwara ya afande muroto.
Matanzania mengi ni majingammesomewa report na CAG mmeona jinsi kodi zenu zinatafunwa ila hamchukui hatua watu wamebaki kuwa washangiliaji wa maandamano ya kenya.
Matanzania mengi ni majinga
Matanzania bado hayajawa binadamu sawa-sawa.Matanzania mengi ni majinga