GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwa niliyohakikishiwa GENTAMYCINE kwa wale Wenzangu ( wana Simba SC ) nawaombeni Mechi ya Alhamisi ya Simba SC dhidi ya Prisons FC msiende na Matokeo yenu na mjiandae mapema Kisaikolojia kwani kuna Miwili Kufungwa au kutoka Sare ila Kushinda tusahau labda tu Mpango huu Usitishwe rasmi Usiku huu ( Leo hii )
Kocha Mkuu Mbrazili Roberto Oliveira hatakiwi tena Kikosini Simba SC hivyo anatengenezewa Mazingira ya Kuchomeshwa ( Kuhujumiwa ) kisha Mashabiki tuchukie na Presha ipande kwa Viongozi na haraka sana Waachane nae aje Kocha Mzawa ambaye Wachezaji wanampenda kwakuwa huwa anawaruhusu Kunywa Bia, kuvuta Bangi na Kutoroka Kambini Usiku kwenda Juliana, Didiz na Beach Kidimbwi na ni Mshikaji wao mno.
Mchana niliahidi kuja na Exclusive Mbili kuhusu yanayojiri Simba SC na hii ni ya Pili na ya mwisho na ichukueni kwa 100% nikimaanisha ni ya uhakika kwani Mfalme wa Taarifa GENTAMYCINE sijawahi Kubahatisha na kamwe sitokuja Kubahatisha.
Haya Wazee wa Kukopi Taarifa zangu hizi GENTAMYCINE The King akina Ricardo Momo, Edo Kumwembe na Watangazaji hadi Wachambuzi wa Habari za Michezo mkiitumia / mkiichukua hapa tafadhali msisahau kutoa Credits kwa niliyeileta mkaijua na kwa Mtandao huu pendwa na tukuka wa JamiiForums sawa?
Nimemaliza.
Kocha Mkuu Mbrazili Roberto Oliveira hatakiwi tena Kikosini Simba SC hivyo anatengenezewa Mazingira ya Kuchomeshwa ( Kuhujumiwa ) kisha Mashabiki tuchukie na Presha ipande kwa Viongozi na haraka sana Waachane nae aje Kocha Mzawa ambaye Wachezaji wanampenda kwakuwa huwa anawaruhusu Kunywa Bia, kuvuta Bangi na Kutoroka Kambini Usiku kwenda Juliana, Didiz na Beach Kidimbwi na ni Mshikaji wao mno.
Mchana niliahidi kuja na Exclusive Mbili kuhusu yanayojiri Simba SC na hii ni ya Pili na ya mwisho na ichukueni kwa 100% nikimaanisha ni ya uhakika kwani Mfalme wa Taarifa GENTAMYCINE sijawahi Kubahatisha na kamwe sitokuja Kubahatisha.
Haya Wazee wa Kukopi Taarifa zangu hizi GENTAMYCINE The King akina Ricardo Momo, Edo Kumwembe na Watangazaji hadi Wachambuzi wa Habari za Michezo mkiitumia / mkiichukua hapa tafadhali msisahau kutoa Credits kwa niliyeileta mkaijua na kwa Mtandao huu pendwa na tukuka wa JamiiForums sawa?
Nimemaliza.