Ali Choki na Muumin Mwinjuma walikuwa wasanii wazuri mno miaka ya 2000 lakini itoshe kusema kuwa Banza Stone alikuwa mwalimu wao

Banza si chochote si lolote.
 
Umenikumbusha mbali sana mkuu, dah... mzee wa Sinza kwa wajanja.
 
Namba 3 Banza alifanya zaidi ya muziki. Aliupanga wimbo wote, na akaacha wengine waimbe sana. Ni zaidi ya wimbo.

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…