Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikiliza pia kibao cha kumekuchaa, hakika mwamba alitisha sanaMimi elimu ya mjinga ni majungu, mtaji wa masikini nazikubali sana.
Actually kila alichoimba Banza nakipenda isipokuwa angurumapo simba.
Yani mziki ulikuwa mzuri kuanzia kwenye kutunga, kuimba na kucheza.Umenikumbusha mbali sana mziki wa zamani ulikuwa mziki kweli
Kikubwa uzima... GRID noma.. watu wakaondoka mapemaa na vipaji vyaoMwinjuma nilimkuta huku Mwanza anapiga live band. Nilisikitika sana kwa kipaji kama kile kukata mapema
SijaelewaGRID noma..
Asante Mbuzingombe kwa kunikumbusha kibao hiki nilichokisahau kidogo.Sikiliza pia kibao cha kumekuchaa, hakika mwamba alitisha sana
Kuna wimbo alijitabiria kifo chake, unaitwa Hujafa hujasifiwa,Asante Mbuzingombe kwa kunikumbusha kibao hiki nilichokisahau kidogo.
Umepatia mwana 👍Ramadhani masanja, mwalimu wa walimu, ticha wa maticha, mzee wa sinza kwa wajanja.
Alikuwa fundi haswaa, kipaji maridhawa kabisa.. Anaimba, anarap, mtunzi wa tungo matata kabisa, ni bora sana huyu jamaa, katika playlist yangu.
1.mtu pesa
2.elimu ya mjinga
3.mwenye kwenu kwaheri
4.kumekucha
5.mtaji wa masikini
SUPERB kabisa.
Kama hiko kibao cha mwenye kwemu kwaheri ni cha moto kweli kweli aisee..Umepatia mwana 👍
Kwenye mtu pesa alimaliza kabisa. Upe wimbo utaishi, nilimsikia akisema that was the best selling album of all time in TZHuwa nafurahi sana kuona Banza anapewa heshima yake stahiki, nimekuwa nikisema mara nyingi yeye ndiye msanii bora wa dansi wa muda wote hapa nchini.
Aendelee kupumzika kwa amani.
Aaaaaata ukila kwa ugaliiii ni taaaaamuuuu saaanaaa 🔥🔥🔥🔥kama kuna wimbo banza stone alijua kucheza na sauti yake basi ni kwenye 'supu ya kuku wa kienyeji', ameondoka na kipaji chake kwa kweli.
Huu wimbo umenikumbusha maigizo ya Kidedea na MaishaKama hiko kibao cha mwenye kwemu kwaheri ni cha moto kweli kweli aisee..
Yani mziki ulikuwa mzuri kuanzia kwenye kutunga, kuimba na kucheza.
Siku hizi msanii anaimba wimbo sijui wa kumchungulia mtu chooni na upuuzi mungine wa ajabu ajabu 😀😀😀
bandeko francokama kuna wimbo banza stone alijua kucheza na sauti yake basi ni kwenye 'supu ya kuku wa kienyeji', ameondoka na kipaji chake kwa kweli.
Ally bado yupo... kwenye wimbo wa jirani ananifurahisha sana😂 kwamba akiomba kinu mpatie akiomba mchi mpatieHalafu sasa cha kushangaza wasanii wa siku hizi ndio wanatajirika. Hao kina banza na ally choki wamekufa maskini