Ali Happi ni kijana asiyejifunza kutokana na makosa. Ilitakiwa ajifunze kipindi kile cha Mzee Kinana, akarudia makosa tena kwa Chongolo

Ali Happi ni kijana asiyejifunza kutokana na makosa. Ilitakiwa ajifunze kipindi kile cha Mzee Kinana, akarudia makosa tena kwa Chongolo

Nikikumbuka kipindi kile Ali Happi alipowabeza wazee wakae kimya maana muda wao wa kuzungumza umeisha lakini Mungu akampa somo kupitia mzee Kinana baada ya kuukwaa Umakamu Mwenyekiti wa CCM, tukajua Hilo ni somo kubwa sana maishani mwake.

Hilo likaisha. Likaja jingine tena la kujiuzulu Kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akarekodi video ikimuonesha akiimba Kwa kumsema mtu licha ya ujumbe wa maneno hayo hayakuelekezwa na muimbaji Moja Kwa Moja Kwa Chongolo lakini kulingana na upepo wa matukio ya kipindi kile na muda maneno Yale yanatolewa Moja Kwa Moja ilionesha mlengwa ni Chongolo. Leo Chongolo kateuliwa Tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.

Kijana huyu ana tatizo gani la kushindwa kujirekebisha?
Duuhhh Dunia ina vituko, wabongo nomaa
 
Happi anakitumia kilimo kumuweka karibu na mtawala ili siku yake ikifika akumbukwe, amegoma kuwa chawa mwepesi kama Lucas mwashambwa, yeye amejiongeza kidogo, kama hana shida vile.... kumbe anayo sana tu.
Ni assumption zako,mwenzako anapatankipato wewe usione umefika
 
Nikikumbuka kipindi kile Ali Happi alipowabeza wazee wakae kimya maana muda wao wa kuzungumza umeisha lakini Mungu akampa somo kupitia mzee Kinana baada ya kuukwaa Umakamu Mwenyekiti wa CCM, tukajua Hilo ni somo kubwa sana maishani mwake.

Hilo likaisha. Likaja jingine tena la kujiuzulu Kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akarekodi video ikimuonesha akiimba Kwa kumsema mtu licha ya ujumbe wa maneno hayo hayakuelekezwa na muimbaji Moja Kwa Moja Kwa Chongolo lakini kulingana na upepo wa matukio ya kipindi kile na muda maneno Yale yanatolewa Moja Kwa Moja ilionesha mlengwa ni Chongolo. Leo Chongolo kateuliwa Tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.

Kijana huyu ana tatizo gani la kushindwa kujirekebisha?

Makosa gani ya ajabu alifanya!!? Mbona mnapenda kuhukumu watu kwa vitu vidogo sanaaa?!! Zile ni siasa kama siasa zingine tu yeye sio wa kwanza wala wa mwisho..
Bashe alimtukana kikwete waziwazi bado kuna kina chalamila yeye tena alisema Makamo anaweza kua mchawi akamroga Rais hapo unahisi alimlenga nani!! Mbona bado wamepewa uwongozi!!
Haya mambo bwana ni wakti tu ukifika utapewa uwo uteuzi havina fomula so acheni nongwa zisizo na sababu.
Hapi wakati wake upo jua hilo
 
Nikikumbuka kipindi kile Ali Happi alipowabeza wazee wakae kimya maana muda wao wa kuzungumza umeisha lakini Mungu akampa somo kupitia mzee Kinana baada ya kuukwaa Umakamu Mwenyekiti wa CCM, tukajua Hilo ni somo kubwa sana maishani mwake.

Hilo likaisha. Likaja jingine tena la kujiuzulu Kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akarekodi video ikimuonesha akiimba Kwa kumsema mtu licha ya ujumbe wa maneno hayo hayakuelekezwa na muimbaji Moja Kwa Moja Kwa Chongolo lakini kulingana na upepo wa matukio ya kipindi kile na muda maneno Yale yanatolewa Moja Kwa Moja ilionesha mlengwa ni Chongolo. Leo Chongolo kateuliwa Tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.

Kijana huyu ana tatizo gani la kushindwa kujirekebisha?

Ali Hapi ni fisadi ,jizi ,anazuga na kilimo kumbe kipindi cha JIWE lilijikusanyia pesa za wizi sasa anazitakatisha kupitia kilimo....Kule Malindi Mbweni ana mtaa wake kabisa ameweka Mansion ya hatari hadi unajiuliza huyu Dogo amepata mabilioni wapi ya kujenga Mansion.
 
Maccm maisha hayaendi bila teuzi

Kabisa Kilimo ni kutakatisha pesa alizoiba kipindi cha JIWE...hapo ashapiga simu sana kuomba aingizwe kwenye list ya uteuzi ,ndiyo maana kwa kipindi hichi anapost clips za zamani akiwa anachukua hatua wakati alipokuwa RC/DC.
 
Happi hayupo kwenye teuzi mnamsema akiteuliwa pia mtamsema,acheni ugaigai wa kufafatilia maisha binafsi ya watu.
 
Nikikumbuka kipindi kile Ali Happi alipowabeza wazee wakae kimya maana muda wao wa kuzungumza umeisha lakini Mungu akampa somo kupitia mzee Kinana baada ya kuukwaa Umakamu Mwenyekiti wa CCM, tukajua Hilo ni somo kubwa sana maishani mwake.

Hilo likaisha. Likaja jingine tena la kujiuzulu Kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akarekodi video ikimuonesha akiimba Kwa kumsema mtu licha ya ujumbe wa maneno hayo hayakuelekezwa na muimbaji Moja Kwa Moja Kwa Chongolo lakini kulingana na upepo wa matukio ya kipindi kile na muda maneno Yale yanatolewa Moja Kwa Moja ilionesha mlengwa ni Chongolo. Leo Chongolo kateuliwa Tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.

Kijana huyu ana tatizo gani la kushindwa kujirekebisha?
Happi
Makonda
Sabaya
Kheri James

Vijana wa ovyo
 
Back
Top Bottom