MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
CHADEMA wamteue kuwa mgombea wao wa urais.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuhhh Dunia ina vituko, wabongo nomaaNikikumbuka kipindi kile Ali Happi alipowabeza wazee wakae kimya maana muda wao wa kuzungumza umeisha lakini Mungu akampa somo kupitia mzee Kinana baada ya kuukwaa Umakamu Mwenyekiti wa CCM, tukajua Hilo ni somo kubwa sana maishani mwake.
Hilo likaisha. Likaja jingine tena la kujiuzulu Kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akarekodi video ikimuonesha akiimba Kwa kumsema mtu licha ya ujumbe wa maneno hayo hayakuelekezwa na muimbaji Moja Kwa Moja Kwa Chongolo lakini kulingana na upepo wa matukio ya kipindi kile na muda maneno Yale yanatolewa Moja Kwa Moja ilionesha mlengwa ni Chongolo. Leo Chongolo kateuliwa Tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.
Kijana huyu ana tatizo gani la kushindwa kujirekebisha?
Ni assumption zako,mwenzako anapatankipato wewe usione umefikaHappi anakitumia kilimo kumuweka karibu na mtawala ili siku yake ikifika akumbukwe, amegoma kuwa chawa mwepesi kama Lucas mwashambwa, yeye amejiongeza kidogo, kama hana shida vile.... kumbe anayo sana tu.
Mh! HapanaHapi ni mmachame aliye kama mswahili Swahili 😂😂
Nikikumbuka kipindi kile Ali Happi alipowabeza wazee wakae kimya maana muda wao wa kuzungumza umeisha lakini Mungu akampa somo kupitia mzee Kinana baada ya kuukwaa Umakamu Mwenyekiti wa CCM, tukajua Hilo ni somo kubwa sana maishani mwake.
Hilo likaisha. Likaja jingine tena la kujiuzulu Kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akarekodi video ikimuonesha akiimba Kwa kumsema mtu licha ya ujumbe wa maneno hayo hayakuelekezwa na muimbaji Moja Kwa Moja Kwa Chongolo lakini kulingana na upepo wa matukio ya kipindi kile na muda maneno Yale yanatolewa Moja Kwa Moja ilionesha mlengwa ni Chongolo. Leo Chongolo kateuliwa Tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.
Kijana huyu ana tatizo gani la kushindwa kujirekebisha?
Nikikumbuka kipindi kile Ali Happi alipowabeza wazee wakae kimya maana muda wao wa kuzungumza umeisha lakini Mungu akampa somo kupitia mzee Kinana baada ya kuukwaa Umakamu Mwenyekiti wa CCM, tukajua Hilo ni somo kubwa sana maishani mwake.
Hilo likaisha. Likaja jingine tena la kujiuzulu Kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akarekodi video ikimuonesha akiimba Kwa kumsema mtu licha ya ujumbe wa maneno hayo hayakuelekezwa na muimbaji Moja Kwa Moja Kwa Chongolo lakini kulingana na upepo wa matukio ya kipindi kile na muda maneno Yale yanatolewa Moja Kwa Moja ilionesha mlengwa ni Chongolo. Leo Chongolo kateuliwa Tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.
Kijana huyu ana tatizo gani la kushindwa kujirekebisha?
Maccm maisha hayaendi bila teuziAnajiamini na kilimo chake cha nyanya. Mwache aendelee na ajira yake binafsi
Maccm maisha hayaendi bila teuzi
Ni mrangi si mmachameHapi ni mmachame aliye kama mswahili Swahili 😂😂
Safi sanaAnajiamini na kilimo chake cha nyanya. Mwache aendelee na ajira yake binafsi
Ni mdogo ake dayamondiHappi ndio nani huko Dar?
HappiNikikumbuka kipindi kile Ali Happi alipowabeza wazee wakae kimya maana muda wao wa kuzungumza umeisha lakini Mungu akampa somo kupitia mzee Kinana baada ya kuukwaa Umakamu Mwenyekiti wa CCM, tukajua Hilo ni somo kubwa sana maishani mwake.
Hilo likaisha. Likaja jingine tena la kujiuzulu Kwa Katibu Mkuu wa CCM Daniel Chongolo akarekodi video ikimuonesha akiimba Kwa kumsema mtu licha ya ujumbe wa maneno hayo hayakuelekezwa na muimbaji Moja Kwa Moja Kwa Chongolo lakini kulingana na upepo wa matukio ya kipindi kile na muda maneno Yale yanatolewa Moja Kwa Moja ilionesha mlengwa ni Chongolo. Leo Chongolo kateuliwa Tena kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.
Kijana huyu ana tatizo gani la kushindwa kujirekebisha?