Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.
Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"
Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.
Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo
Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"
Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.
Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo