Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Dogo kupelekwa Kamati ya Maadili maana yake akajieleze vizuri kwa ushahidi wa alichoandika. Akitoka ushahidi, hakuna kesi. Akikosa ushahidi inakula kwake!Sasa Hilo andiko la Ali Kamwe Lina shida Gani? Yeye katoa maoni yake kama mdau lilikuwa jukumu la wahusika ( Tff na bofi ya ligi) kutoa ufafanuzi na sio kuanza kutumia vitisho.