Ali Kamwe apelekwa Kamati ya Maadili ya TFF, anatuhumiwa kwa uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira

Ali Kamwe apelekwa Kamati ya Maadili ya TFF, anatuhumiwa kwa uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira

Sasa Hilo andiko la Ali Kamwe Lina shida Gani? Yeye katoa maoni yake kama mdau lilikuwa jukumu la wahusika ( Tff na bofi ya ligi) kutoa ufafanuzi na sio kuanza kutumia vitisho.
Dogo kupelekwa Kamati ya Maadili maana yake akajieleze vizuri kwa ushahidi wa alichoandika. Akitoka ushahidi, hakuna kesi. Akikosa ushahidi inakula kwake!
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

Ninalioenda sana "Semaji la CAF". Lipo very professional. Sio kama wengine.
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

Ali kamwe afungiwe maisha
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

kwani hapa tatizo liko wapi? TFF wanajiabisha wenyewe. Je, vipi kuhusu yule msemaji wa Simba aliyekuja na kauli kuwa Simba inacheza mechi za Yanga. Je, amechukuliwa hatua gani kwa kukiri mwenyewe kuwa Simba huwa anafanya 'match fixing' kwa mechi za Yanga.
 
KWa hiyo penati hizo huwa zinatokea tu bila makosa ya timu pinzani ndani ya maguu 12?
Kwa nini usiisifu forwardline ya Simba kwa kufanya wapinzani kufanya makosa yanayopelekea penati kutokea ?
Takwimu hazidanganyi, hakuna timu iliyopatiwa penalty nyingi kama 5imba, Takwimu zinaonyesha 5imba inabebwa kwa kiasi kikubwa, Ingekuwa huo utata upo kwa Ligi nzima tungeona timu zingine pia zikiwa na penalty hata 10 kila moja!
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

Hamna kesi hapo
 
Maela mengi yapi? Unajua tofauti ya mashindano ya klabu bingwa na shirikisho? Kwa taarifa yako hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na nusu fainali ya shirikisho,,alafu mkwanja wa klabu bingwa hatua ya makundi ni sawa na mkwanja anaoupata yule aliyefika nusu fainali shirikisho upo hapo,,kwa maana iyo ayo maela unayosema ni yapi?
Sasa simba imefika robo fainali ya cafcl mara tano mfululizo wakati huo wewe hata makundi hukuwahi fika, kwahiyo hela alizopata huwezi fananisha na yanga iliyofika huko robo fainali mara moja, tatizo lenu mnapenda kukumbushia historia zenu tu ila simba wakikumbushia zao mnaleta nongwa
 
Katiba ya Nchi ambayo ndio sheria Mama kuliko kanuni zote za tahasisi na vikundi mbalimbali inatoa ruhusa kwa mtu kutoa maoni yake bila kukashfu au kuingilia uhuru wa mwingine.

Ally Kamwe ametoa maoni yake kama Mtanzania mwingine yoyote.

Kimsingi ameonge ukweli katika mambo yanayo tokea katika mpira wetu, Kuna mambo ya ajabu yanayo pelekea kuhoji ninkweli Ligi ya Tanzania inashika nafasi ya nne kwa ubora Africa??

Kama Aina hii ya vituko vya waamuzi vinaifanya ligi hii kushika nafasi yanne je!! Ligi inayoshika namba 30 kwa ubora kwa apa Africa hali itakuaje?
Kwa mujibu wa kanuni za ligi haruhusiwi
 
Wanamuoneaaa Kamwe....alichosema wangekijibu kwa hoja sio kumwita kumtisha yeye kwa mtazamo 2qk3 ameona vile kuna shida gani wakijibu ile hoja ?
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

Kamwe akiambiwa aoneshe penalty ambayo haikustahil kuwa penalty ataonesha?
 
Back
Top Bottom