Ali Kamwe apelekwa Kamati ya Maadili ya TFF, anatuhumiwa kwa uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira

Ali Kamwe apelekwa Kamati ya Maadili ya TFF, anatuhumiwa kwa uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira

Katiba ya Nchi ambayo ndio sheria Mama kuliko kanuni zote za tahasisi na vikundi mbalimbali inatoa ruhusa kwa mtu kutoa maoni yake bila kukashfu au kuingilia uhuru wa mwingine.

Ally Kamwe ametoa maoni yake kama Mtanzania mwingine yoyote.

Kimsingi ameonge ukweli katika mambo yanayo tokea katika mpira wetu, Kuna mambo ya ajabu yanayo pelekea kuhoji ninkweli Ligi ya Tanzania inashika nafasi ya nne kwa ubora Africa??

Kama Aina hii ya vituko vya waamuzi vinaifanya ligi hii kushika nafasi yanne je!! Ligi inayoshika namba 30 kwa ubora kwa apa Africa hali itakuaje?
 
Kwa kumpa adhabu kisa kaongea ukweli ndiyo wameongeza petroli juu ya moto! Hili andiko litasambaa vizuri na kuwafikia walengwa! Haiwezekani mechi 15 penalty 14! Haiwezekani magoli yanayofungwa mengi yana utata! Haiwezekanai zinaongezwa dakika 6 match inachezwa mpaka dkk ya 113'
Kwanini isiwezekane kwani wewe una kipimo cha idadi ya penati kwa mechi 15? Labda kama huangalii mechi ila kama unafuatilia mpira utagundua timu ndogo huwa zinapoteza muda kijinga sana hata ndani ya hizo hizo nyongeza. Magoli ya utata yapo kwa ligi nzima na kwa timu zote ,mbaya zaidi mkibebwa nyinyi mnaona sawa.
 
Kabisa.Yanga ilipata vidani vya kuendea kwenye mchiriku aka disco vumbi.Hao Simba kazi yao kupata mahela mengi na kuwa kwenye orodha ya timu bora Afrika tu.
Maela mengi yapi? Unajua tofauti ya mashindano ya klabu bingwa na shirikisho? Kwa taarifa yako hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na nusu fainali ya shirikisho,,alafu mkwanja wa klabu bingwa hatua ya makundi ni sawa na mkwanja anaoupata yule aliyefika nusu fainali shirikisho upo hapo,,kwa maana iyo ayo maela unayosema ni yapi?
 
Maela mengi yapi? Unajua tofauti ya mashindano ya klabu bingwa na shirikisho? Kwa taarifa yako hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na nusu fainali ya shirikisho,,alafu mkwanja wa klabu bingwa hatua ya makundi ni sawa na mkwanja anaoupata yule aliyefika nusu fainali shirikisho upo hapo,,kwa maana iyo ayo maela unayosema ni yapi?
Si ndiyo hivyo!Ndiyo maana Yanga wamefika robo fainali mwaka huu 2025 na Simba hawakufika mara tano na hawakupata mahela.Nani kakubishia?Simba wapo namba 26 na Yanga ni wa 6 kwenye rakings za ubora.Simba ni wajinga tu.
 
Bwana kamwe haoni Mfadhili wao Amedhamini Timu zaidi ya Moja kwenye ligi?

Tuache kuongea kisa Timu yako haina mwendelezo mzuri wa matokeo.

Nilazima tujue ligi yetu imekua na vilabu vinapigania kupata matoke.

Kama utaenda uwanjani na matokeo yako mfukoni itakula kwako.
 
Kwanini isiwezekane kwani wewe una kipimo cha idadi ya penati kwa mechi 15? Labda kama huangalii mechi ila kama unafuatilia mpira utagundua timu ndogo huwa zinapoteza muda kijinga sana hata ndani ya hizo hizo nyongeza. Magoli ya utata yapo kwa ligi nzima na kwa timu zote ,mbaya zaidi mkibebwa nyinyi mnaona sawa.
Takwimu hazidanganyi, hakuna timu iliyopatiwa penalty nyingi kama 5imba, Takwimu zinaonyesha 5imba inabebwa kwa kiasi kikubwa, Ingekuwa huo utata upo kwa Ligi nzima tungeona timu zingine pia zikiwa na penalty hata 10 kila moja!
 
Takwimu hazidanganyi, hakuna timu iliyopatiwa penalty nyingi kama 5imba, Takwimu zinaonyesha 5imba inabebwa kwa kiasi kikubwa, Ingekuwa huo utata upo kwa Ligi nzima tungeona timu zingine pia zikiwa na penalty hata 10 kila moja!
Timu kupata penati nyingi ndio kubebwa?
 
Nyumamwiko wameshanusa kukosa ubingwa ndiyo maana mayowe mengi, wao wanafunga hadi magoli ya mkono lakini sisi hatulalamiki, hawa watu ni wapumbavu sana.
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

This boy is very stupid, nashangaa kwa nini alipewa kuongoza Mambo ya mpira
 
Ndo akadhibitishe huko huko kwny kamati...atoe vidhibitisho aseme yy angekua refa angetumia kanuni zipi...
Kitoto kipumbavu sana kile...
Ndo shida ya kuwapa madaraka failures....
 
Takwimu hazidanganyi, hakuna timu iliyopatiwa penalty nyingi kama 5imba, Takwimu zinaonyesha 5imba inabebwa kwa kiasi kikubwa, Ingekuwa huo utata upo kwa Ligi nzima tungeona timu zingine pia zikiwa na penalty hata 10 kila moja!
Leta ushahidi wa kuonyesha penati walizopata simba hazikuwa sahihi na sio kutaka kuleta usawa . Penati zinatolewa kutokana na foul na sio eti mbona timu fulani ina penati nyingi. Mechi moja inaweza kutoa penati hata tano kama kuna foul za kuadhibu hivyo. Hakuna mambo ya usawa.
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

Haji manara alipotea ki mzaha mzaha nae njia ni moja!7
 
Katiba ya Nchi ambayo ndio sheria Mama kuliko kanuni zote za tahasisi na vikundi mbalimbali inatoa ruhusa kwa mtu kutoa maoni yake bila kukashfu au kuingilia uhuru wa mwingine.

Ally Kamwe ametoa maoni yake kama Mtanzania mwingine yoyote.

Kimsingi ameonge ukweli katika mambo yanayo tokea katika mpira wetu, Kuna mambo ya ajabu yanayo pelekea kuhoji ninkweli Ligi ya Tanzania inashika nafasi ya nne kwa ubora Africa??

Kama Aina hii ya vituko vya waamuzi vinaifanya ligi hii kushika nafasi yanne je!! Ligi inayoshika namba 30 kwa ubora kwa apa Africa hali itakuaje?
Vipi mdhamini mmoja kudhamini team 6 si utakatishaji kwa utopolo iweze kuchukua league chura wewe
 
Mleta Mada Niulizie Kwa Ally Komwe Kuna Ligi Mdhamini Mkuu Wa Timu Moja Kuzizamini Timu Zaidi Ya Nne Zingine Zinazoshiriki Ligi Moja Hiyo Hiyo

Wananchi Acheni Milio Kila Mtu Achimbe Matokeo Kwa Njia Anayoijua.
 
Ali Kamwe afungwe miaka 16 jela yenye ulinzi mkali na mateso mengi hadi aache kamdomo.
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

Hao tff wana timu inayoitwa Kolo? Nani mwenye Locus stand kwenye hilo lalamiko?
 
Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.

Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"

Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.

Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo

Mbona ukisoma hayo maelezo mi kama vile jiwe limerushwa gizani!! Kwenye haya maelezo yake naona ameitaja timu ya KOLO/MAKOLO! Kwani ndiyo timu gani hiyo!!! Halafu hakuna mahali ameitaja TFF! Isipokuwa umetajwa tu mpira wa Afrika!! Sasa hao waliomshataki wametumia kigezo kipi?
 
Back
Top Bottom