Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Dogo kupelekwa Kamati ya Maadili maana yake akajieleze vizuri kwa ushahidi wa alichoandika. Akitoka ushahidi, hakuna kesi. Akikosa ushahidi inakula kwake!Sasa Hilo andiko la Ali Kamwe Lina shida Gani? Yeye katoa maoni yake kama mdau lilikuwa jukumu la wahusika ( Tff na bofi ya ligi) kutoa ufafanuzi na sio kuanza kutumia vitisho.
Ninalioenda sana "Semaji la CAF". Lipo very professional. Sio kama wengine.Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.
Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"
Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.
Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo
Yanga kapata penati ngapi kwa mechi 19Fikiria tu Simba kacheza mechi 18 ...
Kapata penalty 14 [emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ali kamwe afungiwe maishaAli Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.
Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"
Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.
Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo
kwani hapa tatizo liko wapi? TFF wanajiabisha wenyewe. Je, vipi kuhusu yule msemaji wa Simba aliyekuja na kauli kuwa Simba inacheza mechi za Yanga. Je, amechukuliwa hatua gani kwa kukiri mwenyewe kuwa Simba huwa anafanya 'match fixing' kwa mechi za Yanga.Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.
Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"
Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.
Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo
Takwimu hazidanganyi, hakuna timu iliyopatiwa penalty nyingi kama 5imba, Takwimu zinaonyesha 5imba inabebwa kwa kiasi kikubwa, Ingekuwa huo utata upo kwa Ligi nzima tungeona timu zingine pia zikiwa na penalty hata 10 kila moja!
Hamna kesi hapoAli Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.
Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"
Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.
Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo
Sasa simba imefika robo fainali ya cafcl mara tano mfululizo wakati huo wewe hata makundi hukuwahi fika, kwahiyo hela alizopata huwezi fananisha na yanga iliyofika huko robo fainali mara moja, tatizo lenu mnapenda kukumbushia historia zenu tu ila simba wakikumbushia zao mnaleta nongwaMaela mengi yapi? Unajua tofauti ya mashindano ya klabu bingwa na shirikisho? Kwa taarifa yako hatua ya makundi klabu bingwa ni sawa na nusu fainali ya shirikisho,,alafu mkwanja wa klabu bingwa hatua ya makundi ni sawa na mkwanja anaoupata yule aliyefika nusu fainali shirikisho upo hapo,,kwa maana iyo ayo maela unayosema ni yapi?
NakaziaSIMBA BINGWA
HaruhusiwiSasa Hilo andiko la Ali Kamwe Lina shida Gani? Yeye katoa maoni yake kama mdau lilikuwa jukumu la wahusika ( Tff na bofi ya ligi) kutoa ufafanuzi na sio kuanza kutumia vitisho.
Kwa mujibu wa kanuni za ligi haruhusiwiKatiba ya Nchi ambayo ndio sheria Mama kuliko kanuni zote za tahasisi na vikundi mbalimbali inatoa ruhusa kwa mtu kutoa maoni yake bila kukashfu au kuingilia uhuru wa mwingine.
Ally Kamwe ametoa maoni yake kama Mtanzania mwingine yoyote.
Kimsingi ameonge ukweli katika mambo yanayo tokea katika mpira wetu, Kuna mambo ya ajabu yanayo pelekea kuhoji ninkweli Ligi ya Tanzania inashika nafasi ya nne kwa ubora Africa??
Kama Aina hii ya vituko vya waamuzi vinaifanya ligi hii kushika nafasi yanne je!! Ligi inayoshika namba 30 kwa ubora kwa apa Africa hali itakuaje?
This boy is very stupid, nashangaa kwa nini alipewa kuongoza Mambo ya mpira
Kwani uongo gani ameongeaThis boy is very stupid, nashangaa kwa nini alipewa kuongoza Mambo ya mpira
Kamwe akiambiwa aoneshe penalty ambayo haikustahil kuwa penalty ataonesha?Ali Kamwe ambaye ni Afisa Habari wa Klabu ya Yanga amepelekwa kwenye Kamati ya Maadili ya TFF kutokana na kutenda kosa kupitia mitandao yake ya Kijamii akituhumiwa kuchapisha maandiko kinyume na Maadili ya Viongozi na Maafisa wa Klabu ambayo yanadaiwa kuleta uchonganishi na kuchafua taswira ya mpira.
Soma, Pia: Ahmed Ally amjibu Ally Kamwe tuhuma za mbeleko: "Simba Kubebwa? Mbona Kimataifa Tumeongoza Kundi?"
Aidha pia Afisa Habari wa Kagera Sugar, Hamis Mazanzala nae amepelekwa kwenye Kamati kwa makosa hayo hayo.
Andiko la Ali Kamwe ambalo anatuhumiwa nalo