Ali Kamwe: Azizi Ki aliona jiwe akipiga penati

Kwa ule uvutaji wa mashisha kwanini asione jiwe, bado atakuna aone mjegeje
 
Reactions: Tui
Uk
Uko sahihi. Mwathirika nambari 1 ni Aziz Ki. Inaonesha m'bongo Hamissa atakuwa anampelekesha mchakamchaka kwelikweli, maana concentration yake ya kawaida akiwa uwanjani imeshuka mno.
 
Breaking News
Tabora United nao wameomba kwa Bodi ya ligi wahamishie michezo yao ya nyumbani Uwanja wa KMC Mwenge.
Hao Tabora United sijui wanatafuta nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…