Ali Kamwe bila kuicharura Simba ondoka Yanga nenda Azam

Ali Kamwe bila kuicharura Simba ondoka Yanga nenda Azam

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Tanzania ushabiki wa mpira uko juu sana kuliko nchi nyingine zinazotuzunguuka kutokana na aina yetu ya kutaniana kwa kucharurana bila kupigana kati ya Simba na Yanga.

Timu hizi ziko hivyo tangu kuanzishwa kwake na kuingia katika sura mpya wakati wa Jerry Muro na Manara. Leo hii Tanzania inavutia wadau wengi ndani na nje ya Tanzania, kutokana na aina yetu unique ya kushabikia.

Kama Ali Kamwe hataki mpira huu wa kusemana kati ya Simba na Yanga, atafute timu ambayo iko baridi kidogo kama Azam, Ihefu, au Singida big stars, maana hatakubalika kabisa hapo Yanga.

Yeye ni nani hadi abadilishe utamaduni huu unaovutia wawekezaji wengi na mashabiki wengi viwanjani kwenye club hizi?

Ninamtahadharisha kijana wangu ili asije akasema hatujamwambia.

 
Tanzania ushabiki wa mpira uko juu sana kuliko nchi nyingine zinazotuzunguuka kutokana na aina yetu ya kutaniana kwa kucharurana bila kupigana kati ya Simba na Yanga.

Timu hizi ziko hivyo tangu kuanzishwa kwake na kuingia katika sura mpya wakati wa Jerry Muro na Manara. Leo hii Tanzania inavutia wadau wengi ndani na nje ya Tanzania, kutokana na aina yetu unique ya kushabikia.

Kama Ali Kamwe hataki mpira huu wa kusemana kati ya Simba na Yanga, atafute timu ambayo iko baridi kidogo kama Azam, Ihefu, au Singida big stars, maana hatakubalika kabisa hapo Yanga.

Yeye ni nani hadi abadilishe utamaduni huu unaovutia wawekezaji wengi na mashabiki wengi viwanjani kwenye club hizi?

Ninamtahadharisha kijana wangu ili asije akasema hatujamwambia.
Ashura cheupe haya mambo baki nayo mwenyewe maana umeshakataliwa huko Yanga na Simba ndiyo wameshakusahau.
 
Kuna kipindi utni ulipitiliza uka anza kujenga chuki
sIdhani, shida inakuja pale kiongozi wa TFF atakapofanyakazi kwa misingi ya Yanga na Simba na kuacha professionalism.
 
Siungi mkono hoja iliyopo mezani. Ally Kamwe, endelea hivyo hivyo! Mambo ya taarab na mipasho, waachie wenyewe. Wewe chapa tu kazi
utamponza kijana. Simba na yanga bila utani huo hutadumu hapo. Ni watu wangapi wana smart phones, pcs na bando la kuangalia Yanga na Simba Apps? wengi hadi kule vijijini wanategemea kumsikia Ally Kamwe akijimwambafai kwenye redio na tv kwenye vibanda umiza.
 
Kuna kipindi utni ulipitiliza uka anza kujenga chuki
Ali hakwenda pale kuitangua torati bali kuitimiliza tu. Kumbuka kuwa shida ya Simba na Yanga haikuwa utani wao "uliopitiliza" bali ukosefu wa pesa ya kuendeshea timu zao, uongozi safi na viwanja vya mpira, utani wao ni sehemu ya amshaamsha kwa mashabiki wao kwenda uwanjani, kununua jezi na kuzichangia timu zao.
 
Tanzania ushabiki wa mpira uko juu sana kuliko nchi nyingine zinazotuzunguuka kutokana na aina yetu ya kutaniana kwa kucharurana bila kupigana kati ya Simba na Yanga.

Timu hizi ziko hivyo tangu kuanzishwa kwake na kuingia katika sura mpya wakati wa Jerry Muro na Manara. Leo hii Tanzania inavutia wadau wengi ndani na nje ya Tanzania, kutokana na aina yetu unique ya kushabikia.

Kama Ali Kamwe hataki mpira huu wa kusemana kati ya Simba na Yanga, atafute timu ambayo iko baridi kidogo kama Azam, Ihefu, au Singida big stars, maana hatakubalika kabisa hapo Yanga.

Yeye ni nani hadi abadilishe utamaduni huu unaovutia wawekezaji wengi na mashabiki wengi viwanjani kwenye club hizi?

Ninamtahadharisha kijana wangu ili asije akasema hatujamwambia.
kamwe asipangiwe afanye vp kazi yake cha umuhm atimize majukum yake ipasvy bila kuvuka mipaka
 
Kuna kipindi utni ulipitiliza uka anza kujenga chuki
shida ya simba na yanga sio utani wao uliopitiliza, bali pesa, wachezaji bora kabisa, waamuzi bora, wachambuzi bora kabisa professional, uongozi safi, na viwanja bora vya mpira. Ali Kamwe aende akasaidie kutafuta majibu ya shida hizo sio kuzima amshaamsha za timu hizo mbili. Utani wao haujawahi kuua mtu na unaishia hapohapo siku ya mechi. Mimi naona shida iko kwa viongozi wa TFF, waamuzi, wanahabari na wachambuzi wa mpira wasio na taaluma sawasawa. Kijana lazima ajue kuwa utani na kucharurana ni culture ya simba na yanga, na kubadilisha culture ni ngumu sana kuliko ngamia kupita kwenye tundu la sindano na ni sawa na kuyapandisha maji kwenye mlima, sio rahisi kama anavyodhani.

 
kamwe asipangiwe afanye vp kazi yake cha umuhm atimize majukum yake ipasvy bila kuvuka mipaka
weee, Yanga ni timu ya wananchi, huwezi kuachwa utende unavyojisikia, ni tofauti kabisa na Gwambina, Azam au Ihefu. Ni timu ambayo mashabiki wanaweza kususia kwenda uwanjani au kununua jezi.
 
weee, Yanga ni timu ya wananchi, huwezi kuachwa utende unavyojisikia, ni tofauti kabisa na Gwambina, Azam au Ihefu.
lzm aachwe afanye kazi yake km avunji sheria ... au kuna sehem umemona kamwe kavunja sheria.
 
NDYO TUPO BUSY ILA WANA SIMBA TUSISAHAU KUMPIGIA KURA BOULAYE DIA[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Tanzania ushabiki wa mpira uko juu sana kuliko nchi nyingine zinazotuzunguuka kutokana na aina yetu ya kutaniana kwa kucharurana bila kupigana kati ya Simba na Yanga.

Timu hizi ziko hivyo tangu kuanzishwa kwake na kuingia katika sura mpya wakati wa Jerry Muro na Manara. Leo hii Tanzania inavutia wadau wengi ndani na nje ya Tanzania, kutokana na aina yetu unique ya kushabikia.

Kama Ali Kamwe hataki mpira huu wa kusemana kati ya Simba na Yanga, atafute timu ambayo iko baridi kidogo kama Azam, Ihefu, au Singida big stars, maana hatakubalika kabisa hapo Yanga.

Yeye ni nani hadi abadilishe utamaduni huu unaovutia wawekezaji wengi na mashabiki wengi viwanjani kwenye club hizi?

Ninamtahadharisha kijana wangu ili asije akasema hatujamwambia.

Kwani huwezi promote timu yako bila kuwasema wengine? Hayo mambo ya kizamani ndio yanasabaisha watu wanatukanana bila sababu ya msingi kila mtu apambanie timu yake tuta taniana siku tukiwa na mechi inayo tukutanisha huwezi kua msemaji wa Yanga kila siku unaiongelea Simba huo ujinga wa wa Manara hatutaki
 
Back
Top Bottom