Ali Kamwe: Sababu 8 zilizoifanya GSM kuvunja mkataba na TFF

Ali Kamwe: Sababu 8 zilizoifanya GSM kuvunja mkataba na TFF

Hivi unawezaje kumlaum mtu ambaye kaja na pesa kuwekeza na kapewa taratibu Zote zinazohitajika na akazifuata!!.

Km unajua TFF n tatizo hizo lawama kwa GSM n za nini au chuki?, Tuache ujuha kwa mambo yaliyo wazi.
Kwanini usimlaumu?

Anawezaje kwenda kuwekeza pesa nyingi sehemu ambayo anajua inaongozwa kwa kanuni na sheria ambazo zinapaswa kupitiwa ili kukamilisha mkataba?

Naposema TFF ni tatizo siishii hapo, naenda mbali nakusema hata GSM ni tatizo vile vile

Sasa wewe unataka tuongelee matatizo ya TFF na kuyafumbia macho matatizo ya GSM ndo kitu nacho kataa
 
Kwanini usimlaumu?

Anawezaje kwenda kuwekeza pesa nyingi sehemu ambayo anajua inaongozwa kwa kanuni na sheria ambazo zinapaswa kupitiwa ili kukamilisha mkataba?

Naposema TFF ni tatizo siishii hapo, naenda mbali nakusema hata GSM ni tatizo vile vile

Sasa wewe unataka tuongelee matatizo ya TFF na kuyafumbia macho matatizo ya GSM ndo kitu nacho kataa
TFF katoa terms and conditions kwa mwekezaje na mwekezaje akatoa conditions zake ili wafunge mkataba kati ya hao nani amefeli kutimiza matakwa ya mkataba?, Yaani unataka kumlaum mwajiri wako kwalutokulipa mshahara wakati hujatimiza wajibu wako?.

Anayepaswa kupondwa mawe n TFF coz kwanza kuzifanyia uhuni timu lakini pia amemdamganya mwekezaji pia amemwalibia Bland yake. Kama TFF alikubali huo mkataba unawezaje kumlaumu mwekezaji? Yule mfanyabiashara anapopata sehemu nafuu kwake ndio ulaji.
 
TFF katoa terms and conditions kwa mwekezaje na mwekezaje akatoa conditions zake ili wafunge mkataba kati ya hao nani amefeli kutimiza matakwa ya mkataba?, Yaani unataka kumlaum mwajiri wako kwalutokulipa mshahara wakati hujatimiza wajibu wako?.

Anayepaswa kupondwa mawe n TFF coz kwanza kuzifanyia uhuni timu lakini pia amemdamganya mwekezaji pia amemwalibia Bland yake. Kama TFF alikubali huo mkataba unawezaje kumlaumu mwekezaji? Yule mfanyabiashara anapopata sehemu nafuu kwake ndio ulaji.
Matakwa ya mkataba hayafatwi kwa kuangalia matamanio ya mwekezaji wala kiongozi wa TFF ana propose nini

Kila kitu kinafanyika kwa mujibu wa sheria elekezi ambayo imeweka muongozo wa nini kifanyike

Simba ilipokataa huo mkataba haikukataa kwa matamanio yake binafsi, iliukataa huo mkataba kwasababu ulikiuka sheria ambazo zimewekwa

Na hizo sheria sio kwamba GSM hazijui au alikuwa hana ufahamu nazo kipindi anafanya huo mkataba

Kuiongolelea vibaya TFF na kumuacha GSM ambaye aliweza kujua kila kitu kuwa kuna sheria zimekiukwa itakuwa ni unafki

Na kipindi hicho ambacho sisi wana Simba tunailaumu TFF kwamba ina diriki kupita njia za panya kusaini mkataba wa GSM tulishambuliwa sana na nyinyi wana yanga, leo hii mambo yamewageukia mnaanza kuwalaumu tena TFF. Sio poa na nyinyi mnastahili kebehi
 
Ajabu hii
Timu inayodai ina mashabiki wengi Tanzania, Imeingiza faida kuliko timu yoyote msimu uliopita, Ina pesa kuliko timu yoyote inayoshiriki ligi kuu.

Kulazimisha timu ndogo kama SIMBA ivae na kutangaza bidhaa zenu ni ujuha wa hali ya juu kwa nchi yetu kwani kwa YANGA mnapata hasara.
Business school inaonekana kwako ilikupita kushoto, hauna economic sense kabisa.
 
WAKATI mwingine tumia kichwa kuwaza sio ushabiki!! Taasisi yoyote inakuwa na miiko na taratibu zake ktk kuendesha mambo, yanga ni taasisi na Moja ya miiko yake nikutokumia rangi nyekundu.


NBC ni taasisi km ni taasisi ina rangi zaidi ya Moja ambazo hutumia Pale wanapofanya biashara na mtu au taasisi nyingine, lengo nikutokuathiriana kibiashara kwa pamoja. Ndio maana hata kwenye hili suala yanga akawa na option yakuchagua rangi na kisheria ni haki yao kimsingi.

Ujinga wetu wtz tunaendekeza ushabiki and not facts.
Dah! Hichi kichwa kitupu, no fact.
 
Utakuwa na akili fupi, yaan unawezaje kulipa wakati mkataba haujakamilika?.
kama mkataba haujakamilika kwanini waruhusu logo zao zibandikwe kwenye jezi za hivyo vilabu 15?
 
Aligomea au alivaa? Mbona anavaa mpaka leo, Simba naye avae logo ya GSM, Kama shida ni rangi, abadili yake lakini avae.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
kwa pesa gani alioweka gsm?
hako ka milioni 3 kwa mwezi ndo tuvae jezi zenye logo ya gsm afu iyo mil3 ni mshahara wa mchezaji mmoja wa simba kwa mwezi utachukuaje hako ka hela hebu changamsha akili yako
 
Una shida ya uelewea or una chuki binafs, haya unayoyasema kawaulize TFF ndio wenye mandate yakuamua haya, GSM alikuwa mdhamini na alikuja na condition zake ambazo TFF walikubali kuzitekeleza. Kwahiyo km TFF ameshindwa kutumia terms za mkataba unawezaje kumdai GSM??, Aliyefeli ni TFF timu zinapaswa kuihoji TFF and not GSM.
uharo mtupu
 
mnafanya upuuzi wenu gizani na TFF halafu mnataka Simba itekeleze? huo ni upunguani

Matakwa ya mkataba hayafatwi kwa kuangalia matamanio ya mwekezaji wala kiongozi wa TFF ana propose nini

Kila kitu kinafanyika kwa mujibu wa sheria elekezi ambayo imeweka muongozo wa nini kifanyike

Simba ilipokataa huo mkataba haikukataa kwa matamanio yake binafsi, iliukataa huo mkataba kwasababu ulikiuka sheria ambazo zimewekwa

Na hizo sheria sio kwamba GSM hazijui au alikuwa hana ufahamu nazo kipindi anafanya huo mkataba

Kuiongolelea vibaya TFF na kumuacha GSM ambaye aliweza kujua kila kitu kuwa kuna sheria zimekiukwa itakuwa ni unafki

Na kipindi hicho ambacho sisi wana Simba tunailaumu TFF kwamba ina diriki kupita njia za panya kusaini mkataba wa GSM tulishambuliwa sana na nyinyi wana yanga, leo hii mambo yamewageukia mnaanza kuwalaumu tena TFF. Sio poa na nyinyi

Dah! Hichi kichwa kitupu, no fact.
We ndio kichwa tupu,
Dah! Hichi kichwa kitupu, no fact.
 
Matakwa ya mkataba hayafatwi kwa kuangalia matamanio ya mwekezaji wala kiongozi wa TFF ana propose nini

Kila kitu kinafanyika kwa mujibu wa sheria elekezi ambayo imeweka muongozo wa nini kifanyike

Simba ilipokataa huo mkataba haikukataa kwa matamanio yake binafsi, iliukataa huo mkataba kwasababu ulikiuka sheria ambazo zimewekwa

Na hizo sheria sio kwamba GSM hazijui au alikuwa hana ufahamu nazo kipindi anafanya huo mkataba

Kuiongolelea vibaya TFF na kumuacha GSM ambaye aliweza kujua kila kitu kuwa kuna sheria zimekiukwa itakuwa ni unafki

Na kipindi hicho ambacho sisi wana Simba tunailaumu TFF kwamba ina diriki kupita njia za panya kusaini mkataba wa GSM tulishambuliwa sana na nyinyi wana yanga, leo hii mambo yamewageukia mnaanza kuwalaumu tena TFF. Sio poa na nyinyi mnastahili kebehi
Huyo jamaa anajikuta mjuaji Sana Ila ukisoma comments zake unamwona kabisa alivyo mweupe kichwani ,so achana nae usipoteze muda wako bure.
 
Andiko la Ali Kamwe

1. Mechi zote za nyumbani zinazoihusisha Simba zimekuwa zikichezwa bila ya nembo ya GSM kwenye mbao za matangazo hii ni kunyume na kifungu namba 4.1 na 4.8 cha makubaliano ya udhamini

2. GSM kwa makusudi imenyimwa haki ya kuonekana kwenye bango la mandhari la wadhamini kwa mikutano yote inayohusisha Simba hii ni kinyume na kifungu namba 4.8 cha makubaliano ya mkataba

3. GSM kwa makusudi imenyimwa haki ya kuonekana kwenye mabango ya mikutano ya kabla na baada ya mechi mwenye mechi zinazoihusisha Simba

4. GSM kwa makusudi imenyimwa haki ya kuonekana kwenye bega la kushoto la jezi za Simba

5. TFF wameshindwa kujibu juu ya malalamiko yetu na kushindwa kurekebisha ukiukwaji wa makubaliano kama tulivyowasilisha taarifa ya ukiukwaji tarehe 14 Desemba 2021

6. TFF imeshindwa kutimiza kanuni zake juu wadhamini

7. Nembo za GSM na Chapa yake zimekuwa haziheshimiwi na maafisa wa TFF mara kwa mara

8. TFF imeshindwa kuweka usawa kwenye mechi za ligi kuu
Sawa aligomea,
Mbona yanga waliwahi kugomea mkataba wa haji.za matangazo mwaka 2013 mbona AZAM hakujitoa aliendelwa na mkataba wake akihudumia zile timu ambazo zilikubali Kirui mkataba ..sasa iweje hawa jiesiumu waing'ang'anie Simba ...?
 
Na kwa timu zilizotii kuvaa nembo ya GSM mbona hazijalipwa mafao yao?
Mkataba ni all inclusive mkuu siyo kwa timu moja moja. So hapo lawama ni kwa tff kushindwa kumsimamia simba atekeleze matakwa ya mkataba
 
Utakuwa na akili fupi, yaan unawezaje kulipa wakati mkataba haujakamilika?.
GSM ni kubwa kuliko NBC [emoji125][emoji125][emoji125] siku mkipata akili mkaacha ushabiki usiokua na Faida soka lenu litakua maradufu!!!.... Kwahiyo GSM aliidhamini ligi kwasababu Simba ipo kwenye ligi hii!!..
 
Back
Top Bottom