Ali Kamwe: Sababu 8 zilizoifanya GSM kuvunja mkataba na TFF

Wapi uliona logo tofauti ya NBC au wewe umekatwa kichwa?
 
Kwahiyo team zihoji TFF sio Mdhamini tena[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
GSM ana shindwa kimaslahi Hadi na Vunja Bei hata Emirates [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Masharti ya mkataba yanaseme timu 16 zote zivae nembo ya mdhamini na sio timu 15 ....kwa hpo gsm ana haki kutolipa izo hela.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Masharti ya mkataba kupitia kanuni za sheria gani zinazosema timu moja isipo tiii agizo basi hizo timu zingine zilizo vaa nembo hazitalipwa?

Unaelewa sheria ya 16 ya udhamini inaseamje?

Ni kwamba nembo ya mdhamini mkuu wa ligi kuu itawekwa kwa rangi zake halisi katika mkono wa kulia kwenye sare (jezi) za timu za kuchezea na timu zitalazimika kufanya hivyo kwa michezo yake yote ya Ligi Kuu.

Mdhamini mkuu ambaye ni NBC na logo yake wote tunaijua kua ni nyekundu lakini Yanga walinajisi sheria kwa kubadili rangi

Angalia hii picha nimeitoa kwenye official page ya Yanga huko Insta


 
Mkataba ni all inclusive mkuu siyo kwa timu moja moja. So hapo lawama ni kwa tff kushindwa kumsimamia simba atekeleze matakwa ya mkataba
Kwa hiyo kuna sheria inayosema pesa zitalipwa endapo club zote zitatii agizo, ila hakuna sheria ya kuiwajibisha club moja kama haijatii agizo badala yake ni kwamba kwa club zingine zote zilizotii zita dhurumiwa haki zao kwa kosa la club moja?
 
tafuta pa kulala usiku huyo

Sasa mabango ya GSM ilikwaje yanaingia uwanjani na timu zingine kuvaa logo Kama mkataba haujakamilika
Huwa unatumia kichwa hata kwa mambo ya kawaida??, Mkataba ili ukamilike lazima terms and conditions Zote zitekelezwe. TFF kashindwa kutekeleza Aliyoyasema kwenye mkataba so far mwekezaji hawezi kuweka pesa. Mo amewahi kuweka ile 20B?
 
Kwahiyo team zihoji TFF sio Mdhamini tena[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
😀 Utakuwa mpuuzi kufikiri timu ndio imeingia mkataba na GSM, Sheria Zote zimempa mandate TFF kuamua atakalo, ndio maana alisaini mkataba bila kushirikisha vilabu. Vilabu vina haki yakuhoji TFF coz ndio msimamizi kwann aingie mkataba bila kuwashirikisha na wanawezaje kupata haki zao.
 
Hahahaha Leo Waende kuhoji TFF sio GSM kwahiyo ule mkataba ulikua sio wa team ni Tff na GSM!!..ukiwa mjinga utakua mjinga Tu!!..
 
ukipitia post nyingi unaona jinsi gani watu wasivojua mikataba inakuaje! Hivi unapoambiwa mkataba haujakamilika unaelewaje?
unaambiwa walitia saini gsm na tff kuwe na mabango uwanjani, tff hawakuweka, wewe unataka gsm walipe miezi mitatu, hivi hujui ukikiuka kipengele cha mkataba hauwi halali, gsm walikuwa wanawasubiri tff warekebishe dosari hizo, hebu tuone wansheria watakavochuana
 
Na kwa timu zilizotii kuvaa nembo ya GSM mbona hazijalipwa mafao yao?
Kwani uliambiwa ule mkataba GSM na TFF ulikuwa unavihusu vilabu?
TFF ilishasema wazi mkataba ule ulikuwa ni kati ya TFF na GSM, vilabu viwadai TFF kama vinaona vinapunjwa.

Kumbuka tu, ligi ni mali ya TFF na klabu yoyote inayotaka kushiriki ligi inapaswa kukubaliana na matakwa ya kanuni za TFF (kama kuvaa nembo ya mdhamini), klabu ikiwa haikubaliana na hizo kanuni ni vyema ikajitoa kwenye ligi.
 
Kuna timu iliitwa kufanya makubaliano ya huo mkataba km sio TFF?, Poor thinking capacity.
It is a poor thinking capacity kwasababu mmeshindwa nadhani hujui hata mwanzo wa Mjadala huu wa GSM kuwa Mdhamini ulikua unaandika nini!!.. Poor you!!.. Angalia kwenye mijadala yako huko Nyuma kisha rudi hapa na matako yako!!
 
Miiko au ushamba na kukosa exposure?
 
Yanga wamegoma kuvaa nembo? Au wamegoma kuvaa nembo yenye rangi nyekundu?
Katika kusajiiwa NBC nembo yao wameielezea kwa rangi miongoni mwake ni hiyo nyekundu (twiga mwekundu). Hiyo nyeusi mlioweka nyie ni fake. Hiyo nyeusi haitambuliki kisheria.
 
Hatumtangazii mtu magodoro yake.
Manara mbona msemaji mzuri tu, mpeni mkataba wa kutangaza biashara hiyo.
 
TFF wamesema kwa kitendo cha GSM kutolipa pesa hizo wanalifikisha hili swala kwa mawakili wao

Ngoja tuone nani muongo kati ya GSM au TFF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…